Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UFUGAJI MBWA WAMPA UTAJIRI KIJANA MKOANI KAGERA

Kijana Evance Kamenge akisimulia alivyopambana na ajira

Na Lydia Lugakila Kagera
Kijana mkoani Kagera aliyepambana na ukosefu wa ajira  kwa muda mrefu afanikiwa kujiajiri na kutoa ajira kwa vijana 1000 asimulia ufugaji wa mbwa na kilimo cha miti kumpatia utajiri atoa neno kwa serikali.

Kijana huyo Evance Kamenge amebainisha hayo mbele ya Naibu waziri ofisi waziri mkuu Kazi, Vijana, Ajira Sera na watu wenye ulemavu Anthony Mavunde katika kongamano la umoja wa vijana CCM mkoani Kagera...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

UFUGAJI MBWA WAMPA KIJANA UTAJIRI MKOANI KAGERA

Na Lydia Lugakila Kagera:-

Kijana mkoani Kagera aliyepambana na ukosefu wa ajira  kwa muda mrefu afanikiwa kujiajiri na kutoa ajira kwa vijana 1000 asimulia ufugaji wa mbwa na kilimo cha miti kumpatia utajiri atoa neno kwa serikali.

Kijana huyo Evance Kamenge amebainisha hayo mbele ya Naibu waziri ofisi waziri mkuu Kazi, Vijana, Ajira Sera na watu wenye ulemavu Anthony Mavunde katika kongamano la umoja wa vijana CCM mkoani Kagera lililofanyika katika ukumbi wa Linas uliopo manispaa ya Bukoba...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ufugaji wa mbwa ulianza Asia, utafiti waonyesha

Utafiti mpya unaonyesha kuwa mbwa walianza kufugwa kwa mara ya kwanza katikati mwa bara Asia.

 

5 years ago

Michuzi

MSAFARA WA KIJINSIA WAMPA SHAVU KIJANA MJASIRIAMALI

  Mwakilishi wa Katibu Mkuu Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bi. Imelda Kamugisha akizungumza na wananchi wa mkoa wa Shinyanga wakati wa mapokezi ya msafara wa kijinsia ulifika mkoani humo kwa lengo la kutoa elimu ya kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia. Wasanii Shetta na G nako wakitumbuiza katika Eneo la Nguzo nane Mkoani Shinyanga wakati Msafara wa kijinsia unaolenga kutoa elimu ya mapambano dhidi ya vitendo vya kikatili uliposimama mkoani hapo. Msafara wa Kijinsia ukiongozwa na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kijana aliyetuhumiwa kufanya jaribio la wizi aambulia kipigo cha ‘Mbwa mwizi’ na kulazwa Hospitali ya Wilaya ya Igunga

SAM_0331

Kijana aliyefanya jaribio la kuiba na kutofanikiwa zaidi ya kuambulia kipigo cha ‘Mbwa mwizi’ kutoka kwa wananchi wenye hasira kali mjini Igunga akipatiwa huduma ya kwanza mara tu baada ya kufikishwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga.(Picha zote na Jumbe Ismailly).

SAM_0330

SAM_0329

Mtuhumiwa huyo kabla ya kushushwa kwenye gari la polisi.

Na Jumbe Ismailly, Igunga                                        

KIJANA mmoja ambaye hakuweza kutambulika mara moja amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga,...

 

10 years ago

Vijimambo

MAONESHO YA KILIMO NA UFUGAJI YAZINDULIWA MKOANI ARUSHA

Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima Kanda ya Kaskazini(Taso)Arthur Kitonga akisoma taarifa ya Taso inayojumuisha mikoa ya Kilimanjaro,Manyara na Arusha.Mkuu wa Mkoa wa Manyara ambao ni wanachama wa Taso Kanda ya Kaskazini,Mh Joel Bendera akisistiza jambo kwenye mkutano wa ufunguzi uliofanyika kwenye viwanja ya Nanaenane Njiro jijini Arusha,anayesikiliza kwa makini ni Mkuu wa mkoa wa Arusha,Felix Ntibenda(wa pili kushoto).
Meneja wa Shama la Mbegu la Serikali mkoa wa Arusha,Zawadiel Mrinji...

 

5 years ago

Mwananchi

Diwani Mkoani Kagera afariki

Diwani wa Kata ya Keza Wilaya ya Ngara mkoani Kagera, Roman Ntabalo (66) amefariki  baada ya kuugua kwa muda mrefu.

 

11 years ago

CloudsFM

MWILI WA KIJANA ALIYEFUKIWA NA KIFUSI MKOANI KILIMANJARO ULIVYOTOLEWA NA WANANCHI

Licha ya kukabiliwa na changamoto ya zana hafifu kwa ajili ya zoezi la ufukuaji wa vifusi katika tukio hilo la kufukiwa kwa watu wawili,lakini vijana wa eneo hilo la Rongoma,mkoani Kilimanjaro walifanya shughuli hiyo ya ufukuaji kwa ushirikiano mkubwa.Hatimaye mwili wa kijana huyo ukaonekana.Shughuli za kufukua kifusi katika eneo hilo ukaendelea.Hatimaye mwili ukaopolewa toka katika kifusi.

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA AANZA KAMPENI MKOANI KAGERA

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi waliosimamisha msafara wake katika eneo la Buseresere, wakati akiwa njiani kutoka Geita kwenda Bukoba kuendelea na kampeni leoVijana wa Buseresere, wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samaia Suluhu Hassan, msafara wake uliposimamishwa na vijana katika eneo hilo wakati akiwa  njiani kutoka Geita kwenda Bukoba mkoani Kagera leoWananchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ziara ya Tigo Welcome Pack yatikisa Mkoani Kagera

11-2

Msanii wa Bongo fleva Sunday Mjeda maarufu Linex akitoa burudani kwenye tamasha la Tigo welcome pack lililofanyika kwenye uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba, kampeni ya welcome pack inawawezesha wateja wa Tigo kujua huduma mbalimbali zitolewazo na kampuni ya Tigo.

mjeda

42

Wasanii Emmanuel Mgaya Maarufu Masanja Mkandamizaji  na Slivery Mujuni maarufu Mpoki wakitoa burudani kwa wakazi wa Bukoba waliofurika kwenye uwanja wa Kaitaba wakati wa onesho la Tigo welcome pack.

26

Wasanii wa kundi la Original...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani