Kijana aliyetuhumiwa kufanya jaribio la wizi aambulia kipigo cha ‘Mbwa mwizi’ na kulazwa Hospitali ya Wilaya ya Igunga
Kijana aliyefanya jaribio la kuiba na kutofanikiwa zaidi ya kuambulia kipigo cha ‘Mbwa mwizi’ kutoka kwa wananchi wenye hasira kali mjini Igunga akipatiwa huduma ya kwanza mara tu baada ya kufikishwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Mtuhumiwa huyo kabla ya kushushwa kwenye gari la polisi.
Na Jumbe Ismailly, Igunga
KIJANA mmoja ambaye hakuweza kutambulika mara moja amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV24 Aug
Timu ya Ngassa yapata kipigo cha mbwa mwizi cha 4-0
![](http://2.bp.blogspot.com/-O3yxJUEbx6U/VdmZnmQQGuI/AAAAAAABm1I/-CU5iUl2nIw/s640/13dc4207e53088253da60d7926d652d7.jpg)
TIMU ya Free State Stars yenye Mtanzania, Mrisho Khalfan Ngassa imefungwa mabao 4-0 jana na Kaizer Chiefs katika mchezo wa Ligi Kuu ya ABSA Afrika Kusini Uwanja wa FNB, Johannesburg.
Huo unakuwa mchezo wa pili Free State kufungwa, baada ya wiki mbili zilizopita kufungwa 1-0 nyumbani na Mpumalanga Blac Aces.
Katika mchezo wa jana ambao Ngassa hakucheza, mabao ya Kaizer Chiefs yalifungwa na Siboniso Gaxa dakika ya 34,...
11 years ago
MichuziNEW YORK YAPATA KIPIGO CHA MBWA MWIZI, YAPACHIKWA 5-0 NA DMV, PBZ WADHAMINI MECHI HIYO
Timua New York siku ya Jumamosi ilizima fegi mbele ya timu ya DMV kwenye mtanange uliokuwa ukisubiliwa kwa hamu na mashabiki wa DMV wakiongozwa na wachezaji wa timu zote mbili kwa kutambiana kwenye mitandao ya kijamii kabla ya mtanange huo kuhitimishwa hapo jana siku ya Jumamosi May 24, 2014 katika uwanja wa Walker Mills Park uliopo Capitol Heights.
Mbali na mechi hiyo kuwa nzuri...
10 years ago
Bongo509 Dec
Drake adaiwa kulazwa hospitali baada ya kupewa kichapo na P.Diddy
10 years ago
Bongo Movies15 Dec
Picha Hizi Za Wastara Za Kulazwa Hospitali Zawaacha Mashabiki Njia Panda
Picha hizi za muigizaji, Wastara Juma,akiwa hospitali amelazwa baada ya kufanyiwa vipimo zimewaacha mashabiki katika njia panda, wengine wakiamini anaumwa na kuanza kuampa pole huku wengine wakiamini yupo kazini yaani anatengeneza filamu.
Picha hizi aliziweka Wastara mwenyewe mtandaoni bila ya kuandika chochote, na hadi sasa ajajibu hata comment moja kutoka kwa followers wake ambao wanataka athibitisha kama kweli ni mgojwa.
Bongomovies.com haikufanikiwa kumpata Wastara kwa njia ya simu...
10 years ago
BBCSwahili20 Nov
Korea Kaskazini kufanya jaribio la nuklia
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qKjE6YZWhvo/XkjftnixESI/AAAAAAAAmtk/cWbe51ysNoM2vPqG1fT8OCO9bHypskA2QCLcBGAsYHQ/s72-c/e6580657-8f26-44b8-80cf-8c59d38c8b0d.jpg)
UFUGAJI MBWA WAMPA UTAJIRI KIJANA MKOANI KAGERA
![](https://1.bp.blogspot.com/-qKjE6YZWhvo/XkjftnixESI/AAAAAAAAmtk/cWbe51ysNoM2vPqG1fT8OCO9bHypskA2QCLcBGAsYHQ/s400/e6580657-8f26-44b8-80cf-8c59d38c8b0d.jpg)
Na Lydia Lugakila Kagera
Kijana mkoani Kagera aliyepambana na ukosefu wa ajira kwa muda mrefu afanikiwa kujiajiri na kutoa ajira kwa vijana 1000 asimulia ufugaji wa mbwa na kilimo cha miti kumpatia utajiri atoa neno kwa serikali.
Kijana huyo Evance Kamenge amebainisha hayo mbele ya Naibu waziri ofisi waziri mkuu Kazi, Vijana, Ajira Sera na watu wenye ulemavu Anthony Mavunde katika kongamano la umoja wa vijana CCM mkoani Kagera...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-e01f6OhrUow/Xkki692h0rI/AAAAAAAAmuQ/ZRmfs2WYQoUpuF_ii2fCnJpOidvOVp9fACLcBGAsYHQ/s72-c/e6580657-8f26-44b8-80cf-8c59d38c8b0d.jpg)
UFUGAJI MBWA WAMPA KIJANA UTAJIRI MKOANI KAGERA
![](https://1.bp.blogspot.com/-e01f6OhrUow/Xkki692h0rI/AAAAAAAAmuQ/ZRmfs2WYQoUpuF_ii2fCnJpOidvOVp9fACLcBGAsYHQ/s640/e6580657-8f26-44b8-80cf-8c59d38c8b0d.jpg)
Kijana mkoani Kagera aliyepambana na ukosefu wa ajira kwa muda mrefu afanikiwa kujiajiri na kutoa ajira kwa vijana 1000 asimulia ufugaji wa mbwa na kilimo cha miti kumpatia utajiri atoa neno kwa serikali.
Kijana huyo Evance Kamenge amebainisha hayo mbele ya Naibu waziri ofisi waziri mkuu Kazi, Vijana, Ajira Sera na watu wenye ulemavu Anthony Mavunde katika kongamano la umoja wa vijana CCM mkoani Kagera lililofanyika katika ukumbi wa Linas uliopo manispaa ya Bukoba...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-k2Z0pYjYk38/VVndLYFgyYI/AAAAAAAAw6A/dAgUzx88Td0/s72-c/WEZI%2B3.jpg)
MAJAMBAZI WATIWA NGUVUNI BAADA YA KUFANYA JARIBIO LA KUIBA BENKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-k2Z0pYjYk38/VVndLYFgyYI/AAAAAAAAw6A/dAgUzx88Td0/s640/WEZI%2B3.jpg)
10 years ago
MichuziMBOWE AKABIDHI AMBULANCE MBILI KWA HOSPITALI YA WILAYA YA HAI NA HOSPITALI YA MACHAME