Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Drake adaiwa kulazwa hospitali baada ya kupewa kichapo na P.Diddy

Baada ya kuhusishwa kwenye drama ya Chris Brown na Karrueche Tran weekend iliyopita, sasa inadaiwa kuwa rapper wa Canada, Drake amelazwa hospitali baada ya kujihusisha kwenye ugomvi na P.Diddy. Kwa mujibu wa TMZ, Diddy alimfunza adabu Drake nje ya club ya Miami Jumatatu asubuhi ambapo wote walikuwa wamehudhuria birthday ya Dj Khalid. Mwanzo ilisemekana kuwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

Sababu Ya Diddy Kumpiga Drake Ndiyo Hii

Tmz imeripoti kuwa wimbo uliomfanya Drake apigwe na Puff Daddy ni “0 to 100/ The Catch Up” ambao mpaka sasa umetajwa kuwania tuzo mbili za Grammy kama Best Rap Performance na Best Rap Song.
Diddy aligombana na Drake jumatatu asubuhi baada ya sherehe ya siku ya kuzaliwa na Dj Khaled nje ya club ya LIV huko Miami Beach na sababu ikiwa Diddy alihisi amekosewa heshima na Drake.

Producer maarufu Boi-1da aliwapa Diddy na Drake wimbo huu ili warekodi miezi nane iliyopita ila Drake alikwenda...

 

10 years ago

Bongo5

Dr Dre aongoza tena ‘ 2014 Hip Hop Cash Kings’, akifuatiwa na Jay Z, Diddy na Drake

Jarida la Forbes limetoa orodha yake ya wasanii wa Hip Hop wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani kwa mwaka huu, ‘The 2014 Hip-Hop Cash Kings’ na Dr Dre amekamata nafasi ya kwanza kwa mara nyingine. Dre Dre amepewa ufalme huo kwa kutengeneza $620 million kupitia biashara zake, na kumfanya arudi kwenye nafasi ya kwanza aliyoikamata mwaka […]

 

9 years ago

Bongo5

Diddy aongoza ‘Forbes Hip-Hop Cash Kings 2015’, akifuatiwa na Jay Z na Drake (Orodha kamili)

Jarida la Forbes limetoa orodha mpya ya wasanii wa Hip Hop wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani kwa mwaka 2015. Sean “Diddy” Combs ndiye anayeongoza orodha ya mwaka huu (Kutoka nafasi ya pili aliyoshika mwaka jana) na kufanikiwa kumuengua Dr. Dre kwa kutengeneza $60 million. Fedha nyingi za Diddy zimetokana na miradi yake ya Ciroc vodka […]

 

9 years ago

MillardAyo

Pata picha Jay Z, Drake, Rick Ross, P Diddy na Chris Brown wanatokea kama machifu wa Nigeria.. (+Pichaz)

Ubunifu wa michoro umekuwa maarufu sana siku hizi na ni kitu kinachovutia… najua hawa mastaa wote hawajawahi kuonekana wakiwa na mavazi ya kiafrika, pata picha eti Chris Brown anatupia nguo za kiafrika itakuwaje??!! Hapa nimepata picha za ubunifu ambazo wanaonekana Drake, Jay Z, P Diddy, Rick Ross na Chris Brown kwenye muonekano wa nguo ambazo mara […]

The post Pata picha Jay Z, Drake, Rick Ross, P Diddy na Chris Brown wanatokea kama machifu wa Nigeria.. (+Pichaz) appeared first on...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha Hizi Za Wastara Za Kulazwa Hospitali Zawaacha Mashabiki Njia Panda

Picha hizi za muigizaji, Wastara Juma,akiwa hospitali amelazwa baada ya kufanyiwa vipimo zimewaacha mashabiki katika njia panda, wengine wakiamini anaumwa na kuanza kuampa pole huku wengine wakiamini yupo kazini yaani anatengeneza filamu.

Picha hizi aliziweka Wastara mwenyewe mtandaoni bila ya kuandika chochote, na hadi sasa ajajibu hata comment moja kutoka kwa followers wake ambao wanataka athibitisha kama kweli ni mgojwa.

Bongomovies.com haikufanikiwa kumpata Wastara kwa njia ya simu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nuhu Mziwanda afunguka tuhuma za kupewa kichapo kizito na Shilole

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda amefunguka kuwa  watu wanaomsema vibaya kuhusu yeye kupewa kichapo na mpenzi wake, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ wanakosea kwani anaamini kufanywa hivyo ni mahaba.

Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Mziwanda alisema kuna taarifa zimeenea kuwa huwa anapigwa na Shilole pindi anapokosea lakini ukweli si kupigwa ‘live’ bali ni kupigwa kimahaba.

‘Shilole’ akiwa na mpenzi wake 'Nuh Mziwanda'.

‘Shilole’ akiwa na mpenzi wake ‘Nuh Mziwanda’.

“Jamani kupigwa wanakozungumzia watu sielewi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kijana aliyetuhumiwa kufanya jaribio la wizi aambulia kipigo cha ‘Mbwa mwizi’ na kulazwa Hospitali ya Wilaya ya Igunga

SAM_0331

Kijana aliyefanya jaribio la kuiba na kutofanikiwa zaidi ya kuambulia kipigo cha ‘Mbwa mwizi’ kutoka kwa wananchi wenye hasira kali mjini Igunga akipatiwa huduma ya kwanza mara tu baada ya kufikishwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga.(Picha zote na Jumbe Ismailly).

SAM_0330

SAM_0329

Mtuhumiwa huyo kabla ya kushushwa kwenye gari la polisi.

Na Jumbe Ismailly, Igunga                                        

KIJANA mmoja ambaye hakuweza kutambulika mara moja amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanablogu taabani baada ya kichapo

Saudi Arabia imaeahirisha adhabu ya kumchapa viboko mwanablogu Raif Badawi kwa sababu ya afya yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani