Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pata picha Jay Z, Drake, Rick Ross, P Diddy na Chris Brown wanatokea kama machifu wa Nigeria.. (+Pichaz)

Ubunifu wa michoro umekuwa maarufu sana siku hizi na ni kitu kinachovutia… najua hawa mastaa wote hawajawahi kuonekana wakiwa na mavazi ya kiafrika, pata picha eti Chris Brown anatupia nguo za kiafrika itakuwaje??!! Hapa nimepata picha za ubunifu ambazo wanaonekana Drake, Jay Z, P Diddy, Rick Ross na Chris Brown kwenye muonekano wa nguo ambazo mara […]

The post Pata picha Jay Z, Drake, Rick Ross, P Diddy na Chris Brown wanatokea kama machifu wa Nigeria.. (+Pichaz) appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

New Music: Rick Ross Feat. Chris Brown — Sorry

Rick Ross ameachia wimbo wa kwanza kutoka kwenye album yake mpya na ya nane ‘Black Market’ inayotarajiwa kutoka mwezi December. Single mpya inaitwa ‘Sorry’ akiwa amemshirikisha Chris Brown. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka […]

 

9 years ago

Bongo5

Trailer: Rick Ross Feat. Chris Brown — Sorry (video)

Rick Ross ameachia trailer ya video ya single yake aliyomshirikisha Chris Brown ‘Sorry’. Audio ya wimbo huo ilitoka mwanzoni mwa mwezi huu. ‘Sorry’ ni wimbo utakaopatikana katika album ya Rozay ‘Black Market’. Huu ni mwaka ambao Rozay ameshambulia vya kutosha kwa kuachia kazi (nyimbo na video) nyingi kwa kipindi kifupi kifupi. Wiki hii pia ametoa […]

 

10 years ago

GPL

RICK ROSS ACHIMBWA MKWARA KUTUMIA PICHA ZA JAY Z

Rapa Rick Ross ‘Ricky Rozay’. New York, Marekani
MPIGA picha maarufu nchini Marekani, Armen Djerrahian, anaweza kujikuta katika vita ya maneno na rapa Rick Ross ‘Ricky Rozay’ baada ya kumpiga mkwara rapa huyo juu ya matumizi ya picha za Jay Z.Ross na Jay Z wamekuwa ni marafiki wa muda mrefu huku wakishirikiana kufanya kazi kadhaa pamoja. Mpiga picha maarufu nchini Marekani, Armen Djerrahian. Lakini...

 

10 years ago

Bongo5

New Music Video: Chris Brown aachia video mpya ya ‘New Flame’ Feat. Usher & Rick Ross

Baada ya kutangaza tarehe mpya (Sept 16) ya kutoka kwa album yake ya ‘X’ ambayo iliahirishwa kwa zaidi ya mwaka, Chris Brow ameachia video mpya ya wimbo wake ‘New Flame’ ambao amewashirikisha Usher na Rick Ross. Itazame

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Drake na Chris Brown wamaliza beef yao, waonekana studio pamoja

Miaka michache iliyopita rapper Drake na Chris Brown walikua ni maadui wasiopikika chungu kimoja kutokana na penzi la mtoto Rihanna ambaye amewahi kuwa mpenzi wa kila mmoja wao. Picha mpya inayowaonesha Drake na Chris Brown wakiwa studio ni kiashirio tosha cha kumalizika kwa beef yao iliyopelekea ugomvi uliotokea kwenye club moja mwaka 2012. Kwa mujibu […]

 

10 years ago

Bongo5

Dr Dre aongoza tena ‘ 2014 Hip Hop Cash Kings’, akifuatiwa na Jay Z, Diddy na Drake

Jarida la Forbes limetoa orodha yake ya wasanii wa Hip Hop wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani kwa mwaka huu, ‘The 2014 Hip-Hop Cash Kings’ na Dr Dre amekamata nafasi ya kwanza kwa mara nyingine. Dre Dre amepewa ufalme huo kwa kutengeneza $620 million kupitia biashara zake, na kumfanya arudi kwenye nafasi ya kwanza aliyoikamata mwaka […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani