MAJAMBAZI WATIWA NGUVUNI BAADA YA KUFANYA JARIBIO LA KUIBA BENKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-k2Z0pYjYk38/VVndLYFgyYI/AAAAAAAAw6A/dAgUzx88Td0/s72-c/WEZI%2B3.jpg)
Majambazi wakiwa wametiwa pingu baada ya kukamatwa na jeshi laPolisi jijini Dar baada ya kufanya jaribio la kuiba pesa kwenye benki ya NMB Sinza Mori. Pembeni ni wananchi wakiwa eneo la Benki ya NMB Sinza-Mori, Dar wakifuatilia tukio hilo. Polisi jijini Dar wamewakamata watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi wakiwa katika jaribio la kuiba pesa katika benki ya NMB iliyopo Sinza-Mori, Dar es Salaam.Tukio hilo limetokea mchana wa leo tarehe 18/09/2015 katika Benki ya NMB tawi la Sinza-Mori jijini...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM18 Jun
MAJAMBAZI WAUAWA NA WANANCHI KATIKA JARIBIO LA KUPORA BENKI, DAR
Watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wakiwa katika jaribio la kutaka kupora fedha kwa mmoja wa wateja aliyekuwa ndani ya benki ya NMB tawi la uwanja wa ndege,wakiwa na pikipiki aina ya Boxer wameuawa na wananchi waliamua kujichukulia sheria mkononi,huku jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar-es-Salaam likiwashikilia watu watatu mmoja akiwa ni mganga aliyekuwa akiwatibu kwa nguvu za giza na kudai kuwapa nguvu.
Kamanda wa polisi kanda ya maalumu ya Dar-es-salaam,kamishana wa polisi Selemani...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-eGixQ_qOPzw/VVndLWWzo-I/AAAAAAAAw6U/oQXI1TLaCvc/s72-c/WEZI%2B1.jpg)
Majambazi Sugu Wakamatwa Mchana Wa Leo Jijini Dar Wakitaka Kuiba Benki Ya NMB
![](http://2.bp.blogspot.com/-eGixQ_qOPzw/VVndLWWzo-I/AAAAAAAAw6U/oQXI1TLaCvc/s640/WEZI%2B1.jpg)
Majambazi hao wakiwa wametiwa pingu baada ya kukamatwa na jeshi la Polisi jijini Dar.
![](http://1.bp.blogspot.com/-h9roXUDTsgU/VVndLbb-7EI/AAAAAAAAw6Q/QhhQLSPwXJ8/s1600/WEZI%2B2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKkXjxb27jdW9-WzoyL7yA*Y7peCKPAb2H2JR3fwK9uuCypElmYME7-lLZWdRrIF9Dp6uj4baq77HO*PZZZPiKy1/WEZI5.jpg?width=640)
MAJAMBAZI WAKAMATWA WAKITAKA KUIBA KATIKA BENKI YA NMB TAWI LA SINZA-MORI, DAR
11 years ago
BBCSwahili17 Dec
Sudan.K: Mawaziri wanne watiwa nguvuni
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Nguvuni akidaiwa kuiba mtoto
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Polisi 14 nguvuni kwa kuiba mali ya Sh900 mil
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F186mEYFDeg/VVWxbTggJXI/AAAAAAAHXa8/qYs2xsmLnVk/s72-c/150513153201_burundi_military_coup_624x351_ap.jpg)
JUST IN: VIONGOZI WA JARIBIO LA MAPINDUZI NCHINI BURUNDI WATIWA MBARORONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-F186mEYFDeg/VVWxbTggJXI/AAAAAAAHXa8/qYs2xsmLnVk/s640/150513153201_burundi_military_coup_624x351_ap.jpg)
Hayo yemeelezwa leo hii na Msemaji wa Rais Nkurunziza,Willy Nyamitwe.
Awali Jenerali Niyombare alikaririwa akikiambia chombo cha habari cha AFP kwamba yeye na wafuasi wake watajisalimisha kwa serikali ya Rais Nkurunziza, huku akiongezea...
9 years ago
StarTV27 Nov
 Mratibu Maabara Korogwe kukamatwa  kwa Jaribio La Kuiba Vipimo Vya Malaria
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga Hafsa Mtasiwa ameagiza kukamatwa kwa mratibu wa maabara wa halmashauri ya mji huo kwa madai ya kufanya jaribio la wizi wa vipimo vya kupimia ugonjwa wa Malaria MRDT.
Basondole anatuhumiwa kuchukua boksi la vifaa hivyo kutoka halmashauri ya wilaya ya Korogwe vijijini akidai Halmashauri ya Mji wa Korogwe anakofanya kazi kuna upungufu wa vifaa hivyo.
Ofisa wa dawa wa halmashauri ya wilaya ya Korogwe Issa Mkwawa amesema tukili lilo limetokea Novemba 11 na...
10 years ago
MichuziBREAKING NEWZZZ......MAJAMBAZI YATIKISA KATIKATI YA JIJI LA DAR LEO MCHANA, YATIWA NGUVUNI NA JESHI LA POLISI