BREAKING NEWZZZ......MAJAMBAZI YATIKISA KATIKATI YA JIJI LA DAR LEO MCHANA, YATIWA NGUVUNI NA JESHI LA POLISI
Mmoja wa watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi akiwa mikononi mwa polisi baada ya kutiwa mbaroni Mnara wa Saa maeneo ya Stesheni Dar es Salaam leo mchana kwa madai ya kupora kiasi kikubwa cha fedha. Watu hao wanadaiwa kuwa walikuwa wanne.
Kijana mwingine anayedaiwa kuwa ni jambazi akiwa amekamatwa.
Watuhumiwa hao wanne wa ujambazi wakiwa ndani ya Noah kabla ya kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi. Kulia ni askari Polisi.
Askari kanzu (katikati), ndiye anadaiwa kuwadhibiti majambazi hayo kabla ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog13 Jul
Majambazi yatikisa katikati ya jiji la Dar leo mchana yatiwa mbaroni
Picha ya 1-2 ni mmoja wa watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi akiwa mikononi mwa polisi baada ya kutiwa mbaroni Mnara wa Saa maeneo ya Stesheni Dar es Salaam leo mchana kwa madai ya kupora kiasi kikubwa cha fedha. Watu hao wanadaiwa kuwa walikuwa wanne.
Kijana mwingine anayedaiwa kuwa ni jambazi akiwa amekamatwa.
Watuhumiwa hao wanne wa ujambazi wakiwa ndani ya Noah kabla ya kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi. Kulia ni askari Polisi.
Askari kanzu (katikati), ndiye anadaiwa...
10 years ago
VijimamboMAJAMBAZI YATIKISA KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM LEO MCHANA YATIWA MBARONI
10 years ago
GPLMAJAMBAZI YATIKISA KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM, YATIWA MBARONI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YFKpWo8xoJQ/VMOMrmLWPyI/AAAAAAAG_Uw/l-2FcASe20k/s72-c/kova18_232_300.jpg)
TAARIFA YA POLISI JIJINI DAR: MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA DAR WAKATI WA MAPAMBANO KATI YAO NA ASKARI WA JESHI LA POLISI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YFKpWo8xoJQ/VMOMrmLWPyI/AAAAAAAG_Uw/l-2FcASe20k/s1600/kova18_232_300.jpg)
Tukio hilo lilitokea eneo la Kariakoo mtaa wa Mkunguni na Livingstone saa 3.00hrs usiku. Wakati wa tukio hilo umeme ulikuwa hakuna na mlalamikaji alikuwa anatumia taa za...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eBRjXOiKulo/VUuWwJvLWVI/AAAAAAAHWKw/IBamjaB6RcI/s72-c/DSCF2387.jpg)
FOLENI YANOGA MAENEO YA KATIKATI YA JIJI LA DAR HII LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-eBRjXOiKulo/VUuWwJvLWVI/AAAAAAAHWKw/IBamjaB6RcI/s1600/DSCF2387.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-skeiykNRIs8/VUuWxj6dC0I/AAAAAAAHWLA/ciKGUS1M0Vs/s640/DSCF2402.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bsEJgQFImOI/VUuWx5wnHOI/AAAAAAAHWLE/nrBkGJcalL0/s640/DSCF2408.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kXHFGLjFp0Q/VUuWvA5TuRI/AAAAAAAHWKo/R21bcLnihR0/s640/DSCF2384.jpg)
Mzee wa Feva kaamua kukaa kando, maana hakuna hata anaetaka kumsikiliza.
![](http://3.bp.blogspot.com/-FPxDG_yoLS0/VUuWx1WdAaI/AAAAAAAHWLI/cIREEpj2BOA/s640/DSCF2455.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Yf0esgbb5PE/VTZIX0Vl3II/AAAAAAAAgAk/MU6YjYt-IWQ/s72-c/2.jpg)
MAJAMBAZI WANASWA NA JESHI LA POLISI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-Yf0esgbb5PE/VTZIX0Vl3II/AAAAAAAAgAk/MU6YjYt-IWQ/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-babicy_5ZKg/VTZIYtLlQSI/AAAAAAAAgAo/v37Kxj-8Jbs/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SgGWc4iJ_0A/VTZIYtOw3YI/AAAAAAAAgAs/YbCzTWqZ0D8/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NcOrYZ-TmV0/VTZIX4G6-xI/AAAAAAAAgAg/NZUqjGwifNU/s1600/1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-eGixQ_qOPzw/VVndLWWzo-I/AAAAAAAAw6U/oQXI1TLaCvc/s72-c/WEZI%2B1.jpg)
Majambazi Sugu Wakamatwa Mchana Wa Leo Jijini Dar Wakitaka Kuiba Benki Ya NMB
![](http://2.bp.blogspot.com/-eGixQ_qOPzw/VVndLWWzo-I/AAAAAAAAw6U/oQXI1TLaCvc/s640/WEZI%2B1.jpg)
Majambazi hao wakiwa wametiwa pingu baada ya kukamatwa na jeshi la Polisi jijini Dar.
![](http://1.bp.blogspot.com/-h9roXUDTsgU/VVndLbb-7EI/AAAAAAAAw6Q/QhhQLSPwXJ8/s1600/WEZI%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qczRbbtLbS0/VJFatyIVm8I/AAAAAAAG3w8/9Wk2tcgyxKY/s72-c/images.jpg)
BREAKING NEWZZZ: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI MHE. JOSHUA NASSARI ASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA UTEKAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-qczRbbtLbS0/VJFatyIVm8I/AAAAAAAG3w8/9Wk2tcgyxKY/s1600/images.jpg)
MBUNGE wa jimbo la Arumeru Mashariki mkoani Arusha Mhe. Joshua Nassari (pichani) anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kutuhumiwa na tukio la kumteka mtendaji wa kata ya makiba.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Lebaratus Sabas alisema kuwa Mhe Nassari huyu alikamatwa majira ya saa moja usiku December 16 katika eneo la Doli lililopo katika kijiji cha UsaRiver kwenye gari aina ya Land cruiser lenye namba za usajili T 753...
11 years ago
Michuzi28 Jul
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10