JUST IN: VIONGOZI WA JARIBIO LA MAPINDUZI NCHINI BURUNDI WATIWA MBARORONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-F186mEYFDeg/VVWxbTggJXI/AAAAAAAHXa8/qYs2xsmLnVk/s72-c/150513153201_burundi_military_coup_624x351_ap.jpg)
Majenerali wawili waliotekeleza jaribio la mapinduzi nchini Burundi dhidi ya rais Pierre Nkurunziza wametiwa mbaroni baada kushidwa kwa jaribio lao hilo, huku kiongozi mkuu wa mapinduzi hayo jenerali Godefroid Niyombare akidaiwa kuingia mititi na sasa anasakwa.
Hayo yemeelezwa leo hii na Msemaji wa Rais Nkurunziza,Willy Nyamitwe.
Awali Jenerali Niyombare alikaririwa akikiambia chombo cha habari cha AFP kwamba yeye na wafuasi wake watajisalimisha kwa serikali ya Rais Nkurunziza, huku akiongezea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL16 May
WANAJESHI WA JARIBIO LA JARIBIO LA MAPINDUZI-BURUNDI WALIVYOKAMATWA
10 years ago
Habarileo14 May
EAC yalaani jaribio mapinduzi Burundi
WAKUU wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wamelaani jaribio la mapinduzi ya kumng’oa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi na kutaka Katiba ya nchi hiyo ifuatwe ili kudumisha amani na utulivu nchini humo.
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-k2Z0pYjYk38/VVndLYFgyYI/AAAAAAAAw6A/dAgUzx88Td0/s72-c/WEZI%2B3.jpg)
MAJAMBAZI WATIWA NGUVUNI BAADA YA KUFANYA JARIBIO LA KUIBA BENKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-k2Z0pYjYk38/VVndLYFgyYI/AAAAAAAAw6A/dAgUzx88Td0/s640/WEZI%2B3.jpg)
11 years ago
BBCSwahili16 Dec
Jaribio la mapinduzi latibuliwa Sudan.K
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
Jaribio la mapinduzi latibuliwa Niger
11 years ago
BBCSwahili18 Dec
Machar: Sihusiki na jaribio la Mapinduzi
10 years ago
BBCSwahili14 May
''MAPINDUZI BURUNDI''
10 years ago
BBCSwahili15 May
MAPINDUZI YAFELI BURUNDI
10 years ago
BBCSwahili15 May
Mapinduzi yaliofeli Burundi