EAC yalaani jaribio mapinduzi Burundi
WAKUU wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wamelaani jaribio la mapinduzi ya kumng’oa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi na kutaka Katiba ya nchi hiyo ifuatwe ili kudumisha amani na utulivu nchini humo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL16 May
WANAJESHI WA JARIBIO LA JARIBIO LA MAPINDUZI-BURUNDI WALIVYOKAMATWA
Baadhi ya wanajeshi walioasi na kufanya jaribio la mapinduzi dhidi ya serikali ya Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi, walivyokamatwa nchini humo, wakati kiongozi wao akiendelea kusakwa na wanajeshi watiifu wa serikali ya Nkurunzinza. CREDIT: BBC SWAHILI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F186mEYFDeg/VVWxbTggJXI/AAAAAAAHXa8/qYs2xsmLnVk/s72-c/150513153201_burundi_military_coup_624x351_ap.jpg)
JUST IN: VIONGOZI WA JARIBIO LA MAPINDUZI NCHINI BURUNDI WATIWA MBARORONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-F186mEYFDeg/VVWxbTggJXI/AAAAAAAHXa8/qYs2xsmLnVk/s640/150513153201_burundi_military_coup_624x351_ap.jpg)
Hayo yemeelezwa leo hii na Msemaji wa Rais Nkurunziza,Willy Nyamitwe.
Awali Jenerali Niyombare alikaririwa akikiambia chombo cha habari cha AFP kwamba yeye na wafuasi wake watajisalimisha kwa serikali ya Rais Nkurunziza, huku akiongezea...
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
Jaribio la mapinduzi latibuliwa Niger
Rais wa Niger Mahamadou Issoufou amesema serikali yake imetibua njama ya kupindua serikali.
11 years ago
BBCSwahili16 Dec
Jaribio la mapinduzi latibuliwa Sudan.K
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir, anasema vikosi vyake vimefanikiwa kutibua jaribio la mapinduzi, baada ya usiku mzima wa mapigano katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba.
11 years ago
BBCSwahili18 Dec
Machar: Sihusiki na jaribio la Mapinduzi
Aliyekuwa makamu wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar amekataa madai kuwa amehusika katika jaribio la mapinduzi.
10 years ago
BBCSwahili30 Aug
A Kusini yalaani mapinduzi Lesotho
Afrika Kusini, ambayo inazunguka Lesotho, yasema yaliyotokea Lesotho ni mapinduzi na hayakubaliki
9 years ago
BBCSwahili13 Nov
UN yalaani mauaji Burundi
Baraza la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio kulaani mauaji nchini Burundi na kutaka kupelekwa kwa kikosi cha kulinda amani.
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
UN yalaani mvutano wa kisiasa Burundi
UN na EU zimeelezea wasiwasi kuhusu mvutano wa kisiasa unaozidi kutokota kati ya serikali na vyama vya upinzani nchini Burundi.
10 years ago
AllAfrica.Com19 May
Burundi: Emergency Meeting of the Ministers of EAC Affairs On Burundi Held in ...
East African Business Week
AllAfrica.com
Arusha — The Ministers of East African Community Affairs on 18th May 2015 in Arusha, held an emergency meeting to address matters emerging in the Republic of Burundi. The meeting was called following the directive issued by the EAC Heads of the State ...
East African leaders to mediate Burundi crisisShanghai Daily (subscription)
E. African ministers to visit...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania