Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EAC yalaani jaribio mapinduzi Burundi

Rais Jakaya Kikwete ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana baada ya kumalizika mazungumzo ya kutafuta suluhu ya Burundi. Kutoka kushoto ni Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, Rais Paul Kagame wa Rwanda na Makamu wa Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa. (Na Mpigapicha Wetu).WAKUU wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wamelaani jaribio la mapinduzi ya kumng’oa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi na kutaka Katiba ya nchi hiyo ifuatwe ili kudumisha amani na utulivu nchini humo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WANAJESHI WA JARIBIO LA JARIBIO LA MAPINDUZI-BURUNDI WALIVYOKAMATWA

Baadhi ya wanajeshi walioasi na kufanya jaribio la mapinduzi dhidi ya serikali ya Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi, walivyokamatwa nchini humo, wakati kiongozi wao akiendelea kusakwa na wanajeshi watiifu wa serikali ya Nkurunzinza. CREDIT: BBC SWAHILI

 

10 years ago

Michuzi

JUST IN: VIONGOZI WA JARIBIO LA MAPINDUZI NCHINI BURUNDI WATIWA MBARORONI

Majenerali wawili waliotekeleza jaribio la mapinduzi nchini Burundi dhidi ya rais Pierre Nkurunziza wametiwa mbaroni baada kushidwa kwa jaribio lao hilo, huku kiongozi mkuu wa mapinduzi hayo jenerali Godefroid Niyombare akidaiwa kuingia mititi na sasa anasakwa.
Hayo yemeelezwa leo hii na Msemaji wa Rais Nkurunziza,Willy Nyamitwe.
Awali Jenerali Niyombare alikaririwa akikiambia chombo cha habari cha AFP kwamba yeye na wafuasi wake watajisalimisha kwa serikali ya Rais Nkurunziza, huku akiongezea...

 

9 years ago

BBCSwahili

Jaribio la mapinduzi latibuliwa Niger

Rais wa Niger Mahamadou Issoufou amesema serikali yake imetibua njama ya kupindua serikali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jaribio la mapinduzi latibuliwa Sudan.K

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir, anasema vikosi vyake vimefanikiwa kutibua jaribio la mapinduzi, baada ya usiku mzima wa mapigano katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba.

 

11 years ago

BBCSwahili

Machar: Sihusiki na jaribio la Mapinduzi

Aliyekuwa makamu wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar amekataa madai kuwa amehusika katika jaribio la mapinduzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

A Kusini yalaani mapinduzi Lesotho

Afrika Kusini, ambayo inazunguka Lesotho, yasema yaliyotokea Lesotho ni mapinduzi na hayakubaliki

 

9 years ago

BBCSwahili

UN yalaani mauaji Burundi

Baraza la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio kulaani mauaji nchini Burundi na kutaka kupelekwa kwa kikosi cha kulinda amani.

 

11 years ago

BBCSwahili

UN yalaani mvutano wa kisiasa Burundi

UN na EU zimeelezea wasiwasi kuhusu mvutano wa kisiasa unaozidi kutokota kati ya serikali na vyama vya upinzani nchini Burundi.

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Burundi: Emergency Meeting of the Ministers of EAC Affairs On Burundi Held in ...


East African Business Week
Burundi: Emergency Meeting of the Ministers of EAC Affairs On Burundi Held in ...
AllAfrica.com
Arusha — The Ministers of East African Community Affairs on 18th May 2015 in Arusha, held an emergency meeting to address matters emerging in the Republic of Burundi. The meeting was called following the directive issued by the EAC Heads of the State ...
East African leaders to mediate Burundi crisisShanghai Daily (subscription)
E. African ministers to visit...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani