Jaribio la mapinduzi latibuliwa Sudan.K
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir, anasema vikosi vyake vimefanikiwa kutibua jaribio la mapinduzi, baada ya usiku mzima wa mapigano katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
Jaribio la mapinduzi latibuliwa Niger
10 years ago
GPL16 May
WANAJESHI WA JARIBIO LA JARIBIO LA MAPINDUZI-BURUNDI WALIVYOKAMATWA
11 years ago
BBCSwahili18 Dec
Machar: Sihusiki na jaribio la Mapinduzi
10 years ago
Habarileo14 May
EAC yalaani jaribio mapinduzi Burundi
WAKUU wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wamelaani jaribio la mapinduzi ya kumng’oa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi na kutaka Katiba ya nchi hiyo ifuatwe ili kudumisha amani na utulivu nchini humo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F186mEYFDeg/VVWxbTggJXI/AAAAAAAHXa8/qYs2xsmLnVk/s72-c/150513153201_burundi_military_coup_624x351_ap.jpg)
JUST IN: VIONGOZI WA JARIBIO LA MAPINDUZI NCHINI BURUNDI WATIWA MBARORONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-F186mEYFDeg/VVWxbTggJXI/AAAAAAAHXa8/qYs2xsmLnVk/s640/150513153201_burundi_military_coup_624x351_ap.jpg)
Hayo yemeelezwa leo hii na Msemaji wa Rais Nkurunziza,Willy Nyamitwe.
Awali Jenerali Niyombare alikaririwa akikiambia chombo cha habari cha AFP kwamba yeye na wafuasi wake watajisalimisha kwa serikali ya Rais Nkurunziza, huku akiongezea...
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Wasomi: Mapinduzi Z’bar yawe mapinduzi ya fikra
10 years ago
Habarileo30 Mar
15 mbaroni jaribio la kumtorosha Gwajima
JESHI la Polisi linawashikilia na kuwahoji watu 15 kwa tuhuma za kutaka kumtorosha kutoka Hospitali ya TMJ Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo jijini, Dar es Salaam, Joseph Gwajima aliyelazwa hapo tangu usiku wa kuamkia juzi.
10 years ago
BBCSwahili29 Aug
4 hatiani kwa jaribio la kumuua Nyamwasa
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Korea Kaskazini yafanya jaribio la bomu