Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


4 hatiani kwa jaribio la kumuua Nyamwasa

Wanaume 4 walioshitakiwa kwa jaribio la kumuua aliyekuwa jasusi wa Rwanda Generali Faustin Kayumba Nyamwasa wapatikana na hatia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Madiwani Iramba wataka Jeshi la Polisi kuwasaka waliofanya jaribio la kumuua DED kwa bomu

DSC03499

Katibu wa madiwani wa CCM wilaya ya Iramba na diwani wa kata ya Urughu, Simon Tyosela, akizungumza na waandishi wa habari juu ya tamko lao la kulaani vikali jaribio la kutaka kumuawa Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Iramba, Halima Mpita Januari 2 mwaka huu saa 1.15 asubui akiwa nyumbani kwake.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

MADIWANI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Iramba mkoa wa Singida,wamelaani vikali jaribio la kutaka kumuawa kwa bomu mkurugenzi...

 

10 years ago

Mwananchi

Madiwani walaani jaribio la kumuua mkurugenzi

 Madiwani wa CCM wilayani Iramba wamelaani vikali jaribio la kutaka kuuawa kwa bomu mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jaribio la kumuua waziri Libya latibuka

Kumekuwa na jaribio lililotibuka la kumuua kaimu waziri wa mambo ya ndani nchini Libya Al-Sidik Abdel-Karim.

 

10 years ago

GPL

WANAJESHI WA JARIBIO LA JARIBIO LA MAPINDUZI-BURUNDI WALIVYOKAMATWA

Baadhi ya wanajeshi walioasi na kufanya jaribio la mapinduzi dhidi ya serikali ya Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi, walivyokamatwa nchini humo, wakati kiongozi wao akiendelea kusakwa na wanajeshi watiifu wa serikali ya Nkurunzinza. CREDIT: BBC SWAHILI

 

11 years ago

BBCSwahili

3 hatiani kwa kumbaka mtawa India

Mahakama nchini India imewapata na hatia watu 3 waliombaka mtawa wa kikatoliki wakati wa ghasia za kupinga dini ya kikristo mwaka 2008

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanajeshi wa UK hatiani kwa kumbaka mtoto

Mwanajeshi mwingereza ameshtakiwa kwa kosa la kumbaka na kumdhalilisha mtoto mwenye umri wa miaka 6 nchini Austria.

 

11 years ago

BBCSwahili

4 hatiani kwa kumbaka mpigapicha India

Mahakama moja katika mji wa Mumbai nchini india imewapata na hatia watu wanne kwa kosa la kumbaka mpiga picha

 

10 years ago

BBCSwahili

Oscar hatiani kwa kuua bila kukusudia

Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp kwa kutokusudia

 

10 years ago

BBCSwahili

Video:Aliyeruka kwa puto ajipata hatiani

Raia mmoja wa Canada aliyeruka kwa puto alijipata hatiani aliposhtakiwa kwa kuwa mtundu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani