3 hatiani kwa kumbaka mtawa India
Mahakama nchini India imewapata na hatia watu 3 waliombaka mtawa wa kikatoliki wakati wa ghasia za kupinga dini ya kikristo mwaka 2008
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
4 hatiani kwa kumbaka mpigapicha India
Mahakama moja katika mji wa Mumbai nchini india imewapata na hatia watu wanne kwa kosa la kumbaka mpiga picha
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Mwanajeshi wa UK hatiani kwa kumbaka mtoto
Mwanajeshi mwingereza ameshtakiwa kwa kosa la kumbaka na kumdhalilisha mtoto mwenye umri wa miaka 6 nchini Austria.
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
India: Wanaume wanne wanyongwa kwa kumbaka mwanamke ndani ya basi
Wanaume hao walishitakiwa kwa kumbaka na kumuua mwanamke katika mji mkuu wa India
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Aliyebaka mtawa India akamatwa
Polisi nchini India wamemtia mbaroni mtu aliyedaiwa kubaka mtawa mmoja wa Kanisa Katoliki Magharibi mwa Bengal.
11 years ago
Uhuru Newspaper15 Jul
Mtawa, dereva kizimbani kwa ukatili wa kijinsia
NA SHAABAN MDOE, ARUSHA
MTAWA wa Kanisa Katoliki la Shirika la Watawa la Wamisionari wa Augustino, Flora Karimi (38), amepandishwa kizimbani kwa tuhuma za udhalilishaji wa kijinsia.
Flora (38), ambaye ni Mkuu wa Shule ya Mtakatifu Monica ya Moshono, jijini Arusha, na dereva wa shule hiyo, Yasin Mswaiki (36), walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Arusha.
Wakili wa Serikali, Sabina Silayo, alidai mbele ya Hakimu Mkazi Jasmin Abdul kuwa Mswaki, ambayec ni mshitakiwa wa kwanza...
11 years ago
BBCSwahili29 Aug
4 hatiani kwa jaribio la kumuua Nyamwasa
Wanaume 4 walioshitakiwa kwa jaribio la kumuua aliyekuwa jasusi wa Rwanda Generali Faustin Kayumba Nyamwasa wapatikana na hatia
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Mwingerea hatiani kwa kuwalawiti watoto Kenya
Mwalimu wa shule ya umma nchini Uingereza amepatikana na hatia ya kuwalawiti watoto wanaorandaranda mitaani nchini Kenya.
11 years ago
BBCSwahili12 Sep
Oscar hatiani kwa kuua bila kukusudia
Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp kwa kutokusudia
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
Video:Aliyeruka kwa puto ajipata hatiani
Raia mmoja wa Canada aliyeruka kwa puto alijipata hatiani aliposhtakiwa kwa kuwa mtundu
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania