Mwanajeshi wa UK hatiani kwa kumbaka mtoto
Mwanajeshi mwingereza ameshtakiwa kwa kosa la kumbaka na kumdhalilisha mtoto mwenye umri wa miaka 6 nchini Austria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili14 Mar
3 hatiani kwa kumbaka mtawa India
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
4 hatiani kwa kumbaka mpigapicha India
11 years ago
Habarileo19 Jun
Miaka 30 kwa kumbaka mtoto
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, imemhukumu mkazi wa Kitunda, Ally Suna (60) kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka tisa.
10 years ago
Mwananchi02 May
Jela kwa kumbaka mtoto wake
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Mbaroni kwa kumbaka mtoto wa jirani yake
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa dada yao
10 years ago
Habarileo23 Feb
Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka mitano
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora imemhukumu kifungo cha maisha Kashindje Shija (50), baada ya kupatikana na kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka mitano.
10 years ago
StarTV12 Dec
Mtoto wa Rais Zuma atiwa hatiani Afrika Kusini.
Jopokazi moja nchini Afrika Kusini limesema kua mwanawe Jacob Zuma hakua makini alipokuwa anaendesha gari hadi kusababisha ajali ya barabarani ambapo mwanamke mmoja alifariki.
Awali kiongozi wa mashitaka hakuwa tayari kumchukulia hatua zozote za kisheria mwanawe Zuma.
Sasa atakabiliwa na shinikizo za kumfungulia mashitaka.
Gari la Duduzane Zuma aina ya Porsche iligonga gari dogo la abiria mjini Johannesburg mwezi Februari, na kumuua mwanamke huyo papo hapo.
Mwandishi wa BBC Pumza Fihlani...
10 years ago
Habarileo11 Apr
Ushirikina wa kumbaka mtoto wamtupa jela maisha
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi wilaya ya Shinyanga imemhukumu kifungo cha maisha jela mkazi wa mtaa wa Kitangili katika manispaa ya Shinyanga baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka na kumpa ujauzito mtoto wake wa kambo, mwanafunzi wa darasa la tatu.