Mbaroni kwa kumbaka mtoto wa jirani yake
Mtoto wa miaka (5) mkazi wa Kijiji cha Kabuhima Kata ya Uyovu Wilaya ya Bukombe mkoani Geita amefanyiwa ukatili wa kinyama baada ya kubakwa na jirani yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper27 Jun
Mbaroni kwa kumbaka bintiye
NA DOROTHY CHAGULA, MUSOMA MKAZI wa Musoma mkoani Mara, Emmanuel Lucas, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumbaka kwa nyakati tofauti binti yake wa miaka 19 (jina linahifadhiwa) na kumwambukiza ukimwi. Lucas (52), anatuhumiwa kufanya kitendo hicho kuanzia mwaka 2007 na kumsababishia binti yake kupata maambukizi ya ukimwi. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Paul Kasabago, alisema mtuhumiwa huyo alikuwa akimbaka binti yake huyo mara kwa mara hadi kupata ujauzito, ambapo mtoto...
9 years ago
Habarileo07 Sep
Mbaroni kwa kumbaka mwanawe
MKAZI wa Mtaa wa Lizaboni katika Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, Abdallah Bakari (43) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma ya kumwingilia kimapenzi mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka 11.
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Mbaroni kwa tuhuma za kumbaka mlemavu
JESHI la Polisi mkoani hapa, linamshikilia Hamad Banda (42), Mkazi wa Ligula B, kwa tuhumu ya kumbaka msichana wa miaka 17 (jina linahifadhiwa), ambaye ni mlemavu wa akili. Akizungumza na...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/j9ENopHMH04/default.jpg)
11 years ago
Habarileo19 Jun
Miaka 30 kwa kumbaka mtoto
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, imemhukumu mkazi wa Kitunda, Ally Suna (60) kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka tisa.
10 years ago
Mwananchi02 May
Jela kwa kumbaka mtoto wake
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Mwanajeshi wa UK hatiani kwa kumbaka mtoto
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Fti2MBZBnhk/XrqJ7R9j9UI/AAAAAAAAJVc/rP7f8gDFR5csyDd_VFfpx7dfdD2g5FowQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200512_121139_693.jpg)
WAWILI MBARONI KWA KUJARIBU KUINGIA MBUGA ZA WANYAMA KWA UJANGILI HUKU WENGINE WAKIMBILIA NCHI JIRANI YA KENYA Inbox x
![](https://1.bp.blogspot.com/-Fti2MBZBnhk/XrqJ7R9j9UI/AAAAAAAAJVc/rP7f8gDFR5csyDd_VFfpx7dfdD2g5FowQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_121139_693.jpg)
Bunduki ya kivita aina ya AK47 ambayo imekamatwa wilayani Ngorongoro na Jeshi la polisi wakishirikiana pamoja na kikosi cha ujangili kanda ya Ziwa huko Oloshoo Kata ya Enguserosambu picha Zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-kF7ADwejNSQ/XrqJ6wo15hI/AAAAAAAAJVY/vJ8T8dL1jfMi6ZBfpk5PKehi5EChsGLAQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_121206_549.jpg)
Sehemu ya risasi zilizokutwa kwenye magazine ya bunduki hiyo baada ya msako mkali wilayani Ngorongoro
![](https://1.bp.blogspot.com/-EuYjl9UP5CM/XrqJ6urwQ4I/AAAAAAAAJVU/6EP41pjeNvgqFVNLpdpfzbiSbaO9VsCPQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_121228_443.jpg)
Askari wa kikosi kazi cha Jeshi la Polisi akijaribu Silaha hiyo mbele ya waandishi wa habari kabla kamanda wa Jeshi hilo hajaongea nao leo jijini hapa
![](https://1.bp.blogspot.com/-RlT6LsGqBrg/XrqJ-uGDhEI/AAAAAAAAJVk/XE2kMqs5mb8Ne8ApERrqF-GH8n0ZSjQnwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_121409_797.jpg)
Kamanda Shana akiwa na...
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa dada yao