WAWILI MBARONI KWA KUJARIBU KUINGIA MBUGA ZA WANYAMA KWA UJANGILI HUKU WENGINE WAKIMBILIA NCHI JIRANI YA KENYA Inbox x
![](https://1.bp.blogspot.com/-Fti2MBZBnhk/XrqJ7R9j9UI/AAAAAAAAJVc/rP7f8gDFR5csyDd_VFfpx7dfdD2g5FowQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200512_121139_693.jpg)
Bunduki ya kivita aina ya AK47 ambayo imekamatwa wilayani Ngorongoro na Jeshi la polisi wakishirikiana pamoja na kikosi cha ujangili kanda ya Ziwa huko Oloshoo Kata ya Enguserosambu picha Zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
Sehemu ya risasi zilizokutwa kwenye magazine ya bunduki hiyo baada ya msako mkali wilayani Ngorongoro
Askari wa kikosi kazi cha Jeshi la Polisi akijaribu Silaha hiyo mbele ya waandishi wa habari kabla kamanda wa Jeshi hilo hajaongea nao leo jijini hapa
Kamanda Shana akiwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili15 Sep
Mbuga ya wanyama Kenya yawekwa mtandaoni
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Mbaroni kwa kumbaka mtoto wa jirani yake
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Watanzania 2 wazuiwa kuingia nchini Kenya huku idadi ya wagonjwa Kenya ikifikia 715
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gArkKqgBaiI/U2lDXBJdBOI/AAAAAAAFf78/6HbREOmldu4/s72-c/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
34 MBARONI KWA KUFANYA FUJO NA KUHARIBU MALI KIBAIGWA NA WENGINE WATATU (3) KWA KULIMA BANGI HEKARI SITA NA NUSU MKOANI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-gArkKqgBaiI/U2lDXBJdBOI/AAAAAAAFf78/6HbREOmldu4/s1600/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu 34 wakazi wa Mji mdogo wa Kibaigwa Kata ya Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma kwa makosa ya kufanya fujo na kuharibu mali tukio lililotokea tarehe 05/05/2014 majira ya saa 13:30Hrs.
Kamanada wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema Vijana wanaokadiriwa kuwa zaidi ya miatatu wakishirikiana na Wabeba mizigo wa Soko Kuu la Mazao la...
11 years ago
Michuzi34 MBARONI KWA KUFANYA FUJO NA KUHARIBU MALI KIBAIGWA NA WENGINE WATATU KWA KULIMA BANGI HEKARI SITA NA NUSU MKOANI DODOMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu 34 wakazi wa Mji mdogo wa Kibaigwa Kata ya Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma kwa makosa ya kufanya fujo na kuharibu mali tukio lililotokea tarehe 05/05/2014 majira ya saa 13:30Hrs. Kamanada wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP (pichani)amesema Vijana wanaokadiriwa kuwa zaidi ya 300 wakishirikiana na Wabeba mizigo wa Soko Kuu la Mazao...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JQuVfV7blpA/U1-fPPaQ-oI/AAAAAAAFd78/3OsAH9v86gA/s72-c/Dr-Harrison-Mwakyembe.jpg)
Serikali yadhamiria kuboresha huduma kwa nchi jirani-Mwakyembe
![](http://3.bp.blogspot.com/-JQuVfV7blpA/U1-fPPaQ-oI/AAAAAAAFd78/3OsAH9v86gA/s1600/Dr-Harrison-Mwakyembe.jpg)
Katika kuonyesha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wWAH3gYFm2c/XsKGu8za_lI/AAAAAAALqrM/kCU8IUyC_yEOn7GWEQWBrmm_N919v1RagCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20200518-145946_1589803522124.jpg)
WAWILI WASHIKILIWA NA POLISI KWA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-wWAH3gYFm2c/XsKGu8za_lI/AAAAAAALqrM/kCU8IUyC_yEOn7GWEQWBrmm_N919v1RagCLcBGAsYHQ/s320/Screenshot_20200518-145946_1589803522124.jpg)
Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha linawashikilia Waandishi wawili raia wa nchi jirani ya Kenya kwa kosa la kuingia nchini bila kibali
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Jonathan Shana amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Clinton Isimbu( 22)kabila Mluya,mpiga picha wa Elimu Tv ya Kenya,mwingine ni Kaleria Shadrack(23)kabila mmeru ambaye pia ni mwandishi wa habari Elimu Tv ya nchini Kenya.
Kamanda Shana amesema watuhumiwa hao waliingia nchini kwa njia ya Panya,ambapo kwa Sasa wote...
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Wawili watiwa mbaroni kwa ‘unga’
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Wawili mbaroni kwa meno ya tembo
JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia Fatuma Athumani (50) na Joel Antony kwa tuhuma za kukutwa na vipande tisa vya meno ya tembo ndani ya gari lenye namba ya usajili...