Mbuga ya wanyama Kenya yawekwa mtandaoni
Mbuga ya Samburu imekuwa ya kwanza Afrika kuwekwa kwenye Google Street View, huduma itakayowezesha watu kuitalii mtandaoni.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
WAWILI MBARONI KWA KUJARIBU KUINGIA MBUGA ZA WANYAMA KWA UJANGILI HUKU WENGINE WAKIMBILIA NCHI JIRANI YA KENYA Inbox x

Bunduki ya kivita aina ya AK47 ambayo imekamatwa wilayani Ngorongoro na Jeshi la polisi wakishirikiana pamoja na kikosi cha ujangili kanda ya Ziwa huko Oloshoo Kata ya Enguserosambu picha Zote na Ahmed Mahmoud Arusha.

Sehemu ya risasi zilizokutwa kwenye magazine ya bunduki hiyo baada ya msako mkali wilayani Ngorongoro

Askari wa kikosi kazi cha Jeshi la Polisi akijaribu Silaha hiyo mbele ya waandishi wa habari kabla kamanda wa Jeshi hilo hajaongea nao leo jijini hapa

Kamanda Shana akiwa na...
11 years ago
CloudsFM22 Oct
MENEJA WA T.I ALIVYOTEMBELEA MBUGA ZA WANYAMA YA SERENGETI
Meneja wa mwanamuziki wa nchini Marekani T.I,Jason Geter akiwa na waziri wa Maliasiri na Utalii,Lazaro Nyarandu na Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga walivyotembelea mbuga za wanyama za Serengeti hivi karibu baada ya kumalizika tamasha la Fiesta.
11 years ago
GPLNATIONAL GEOGRAPHIC WASHINGTON, DC YAFAGILIA MBUGA ZA WANYAMA ZA TANZANIA
10 years ago
Vijimambo08 Jan
MAMA WA ALIETEMBELEA TANZANIA NA KUFANYA SAFARI NDANI YA MBUGA ZA WANYAMA
Hapa akiongea juu kupitia camera ya Dr Temba, Tanzania na vifutio vyake jitiririshe na endelea kujivunia Utanzania wako kiroho safi
10 years ago
Vijimambo08 Jan
MZUNGU ALIETEMBELEA TANZANIA NA KUFANYA SAFARI NDANI YA MBUGA ZA WANYAMA ALONGA
Hapa akiongea kupitia camera ya Dr Temba, juu ya kilicho mvutia nchini Tanzania kwenye hiyo safari yake ya kutembelea mbuga za wanya. Jitiririshe na endelea kujivunia Utanzania wako kiroho safi. Kwa picha zaidi nenda hapa...http://tembaphoto.com/
10 years ago
Dewji Blog24 Dec
Hassan Mfaume aula shindano la “Tutoke na Serengeti” kutalii kwenye mbuga za wanyama
Mshindi wa kwanza wa shindano la Tutoke na Serengeti, lijulikanalo kama “MTOKO WA MBUGANI” Bw. Hassan Mfaume, akisaini mkataba wake na kampuni ya bia ya Serengeti.Katikati ni meneja wa bia chapa ya Serengeti Bw.Rugambo Rodney na kushoto ni Meneja wa Serengeti kanda ya Dar es Salaam,Malalia Mmassy wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika makao makuu ya kampuni hiyo-Chang’ombe jijini Dar es Salaam.
Meneja wa Serengeti kanda ya Dar es Salaam, Malalia Mmassy akisaini mkataba wa...
10 years ago
BBCSwahili17 Sep
Wanyama waliohamia Kenya warudi Somalia
11 years ago
TheCitizen06 Mar
What Lupita, Binyavanga and footballer Wanyama have really done for Kenya
5 years ago
BBC04 Mar
Kenya's Wanyama joins MLS side Montreal