Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MZUNGU ALIETEMBELEA TANZANIA NA KUFANYA SAFARI NDANI YA MBUGA ZA WANYAMA ALONGA


Hapa akiongea  kupitia camera ya Dr Temba, juu ya kilicho mvutia nchini Tanzania kwenye hiyo safari yake ya kutembelea mbuga za wanya. Jitiririshe na endelea kujivunia Utanzania wako kiroho safi. Kwa picha zaidi nenda hapa...http://tembaphoto.com/

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAMA WA ALIETEMBELEA TANZANIA NA KUFANYA SAFARI NDANI YA MBUGA ZA WANYAMA


Hapa akiongea juu kupitia camera ya Dr Temba, Tanzania na vifutio vyake jitiririshe na endelea kujivunia Utanzania wako kiroho safi

 

11 years ago

GPL

NATIONAL GEOGRAPHIC WASHINGTON, DC YAFAGILIA MBUGA ZA WANYAMA ZA TANZANIA

National Geographic ya Washington, DC siku ya Jumatano, Dec 11, 2913 walionyesha vivutio mbalimbali vilivyopo kwenye mbuga zetu za wanyama kwa wahudhuriaji ambao wengi wao walikua Wamarekani pia ulialikwa Ubalozi wa Tanzania akiwemo Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknologia, Mhe. January Makamba.…

 

10 years ago

CloudsFM

MENEJA WA T.I ALIVYOTEMBELEA MBUGA ZA WANYAMA YA SERENGETI

Meneja wa mwanamuziki wa nchini Marekani T.I,Jason Geter akiwa na waziri wa Maliasiri na Utalii,Lazaro Nyarandu na Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga walivyotembelea mbuga za wanyama za Serengeti hivi karibu baada ya kumalizika tamasha la Fiesta.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mbuga ya wanyama Kenya yawekwa mtandaoni

Mbuga ya Samburu imekuwa ya kwanza Afrika kuwekwa kwenye Google Street View, huduma itakayowezesha watu kuitalii mtandaoni.

 

10 years ago

Dewji Blog

Hassan Mfaume aula shindano la “Tutoke na Serengeti” kutalii kwenye mbuga za wanyama

1

Mshindi wa kwanza wa shindano la Tutoke na Serengeti, lijulikanalo kama “MTOKO WA MBUGANI” Bw. Hassan Mfaume, akisaini mkataba wake na kampuni ya bia ya Serengeti.Katikati  ni meneja wa bia chapa ya Serengeti Bw.Rugambo Rodney na kushoto ni Meneja wa Serengeti kanda ya Dar es Salaam,Malalia Mmassy wakati wa mkutano na waandishi wa habari  uliofanyika makao makuu ya kampuni hiyo-Chang’ombe jijini Dar es Salaam.

2

Meneja wa Serengeti kanda ya Dar es Salaam, Malalia Mmassy akisaini mkataba wa...

 

10 years ago

Vijimambo

NYALANDU AZIDI KUFANYA MAKUBWA MALIASILI NA UTALII, MAREKANI NA UJERUMANI WAIPA TANZANIA VIFAA VYA KISASA KUKABILIANA NA UJANGILI MBUGA YA SELOUS LEO

Meneja wa Mbuga ya wanyama ya Selous, Benson Kibonde akimpatia maelezo kuhusu masalia ya injini ya mvuke iliyoachwa na Wajerumani, kwa Waziri wa Maliasili na Utalii Lazao Nyalandu (kushoto), waziri huyo alipofika katika mbuga hiyo, kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo kupokea vifaa vya kukabiliana na ujangili vilivyotolewa na serikali za Marekani na Ujerumani kwa ajili ya Mbuga ya Selous leoMaelezo kuhusu masalia hayo ya injini hiyo ya moshi iliyoachwa na wajerumani Benson KibongeWaziri...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kipindi cha “Mimi na Tanzania” chavuka mipaka ya Tanzania, safari ni ndani ya jiji la Washington DC

IMG-20140725-WA0004

Pichani ni Mtangazaji anayeongoza Kipindi cha ‘Mimi na Tanzania’ Hoyce Temu aliyewahi kushika taji Miss Tanzania mwaka 1999 akiwa nje ya Ubalozi wetu wa Tanzania nchini Marekani mara baada ya kuwasili ambapo alimua kufunga safari kwa ajili ya kufanya mazungumzo maalum na Balozi wetu wa Tanzania nchini Marekani Mh. Liberata Mulamula.

IMG-20140725-WA0006

Mtangazaji wa Kipindi cha Mimi na Tanzania Hoyce Temu akitia saini kitabu cha wageni kwenye Ubalozi wetu wa Tanzania nchini Marekani.

IMG-20140725-WA0005

Hapa akiwa mapokezi ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanyama kuikosa safari na Southmptom

Mkenya Victor Wanyama ameikosa safari ya Ubeligiji na kikosi cha wachezaji 27 wa Southampton katika ziara ya preseason tour.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani