Kipindi cha “Mimi na Tanzania” chavuka mipaka ya Tanzania, safari ni ndani ya jiji la Washington DC
Pichani ni Mtangazaji anayeongoza Kipindi cha ‘Mimi na Tanzania’ Hoyce Temu aliyewahi kushika taji Miss Tanzania mwaka 1999 akiwa nje ya Ubalozi wetu wa Tanzania nchini Marekani mara baada ya kuwasili ambapo alimua kufunga safari kwa ajili ya kufanya mazungumzo maalum na Balozi wetu wa Tanzania nchini Marekani Mh. Liberata Mulamula.
Mtangazaji wa Kipindi cha Mimi na Tanzania Hoyce Temu akitia saini kitabu cha wageni kwenye Ubalozi wetu wa Tanzania nchini Marekani.
Hapa akiwa mapokezi ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog04 Oct
Kipindi cha “Mimi na Tanzania” chawashukuru watanzania kwa kuchangia matibabu
Pichani ni Zuhura Matata mgonjwa mwenye uhitaji wa upasuaji utakaofanyika nchini India.
Kipindi cha “Mimi na Tanzania” kinachoongozwa na mrembo aliyewahi kushika taji Miss Tanzania mwaka 1999 Hoyce Temu, kinatoa shukrani kwa watanzania wote walioguswa na kufanikisha michango ya matibabu ya Zuhura Matata mwenye tatizo la kuvimba mguu ambao unahitaji Oparesheni nchini India.
Kupitia Akaunti yake ya mtandao wa kijamii Facebook muongozaji wa kipindi hicho Hoyce Temu ameandikia ujumbe wa...
10 years ago
Michuzi04 Oct
KIPINDI CHA "MIMI NA TANZANIA" CHAWASHUKURU WATANZANIA KWA KUCHANGIA MATIBABU YA BI. ZUHURA MATATA
![10311052_1940774076061511_5395068416549286320_n](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/10311052_1940774076061511_5395068416549286320_n.jpg)
Kipindi cha “Mimi na Tanzania” kinachoongozwa na mrembo aliyewahi kushika taji Miss Tanzania mwaka 1999 Hoyce Temu, kinatoa shukrani kwa watanzania wote walioguswa na kufanikisha michango ya matibabu ya Zuhura Matata mwenye tatizo la kuvimba mguu ambao unahitaji Oparesheni nchini India.Kupitia Akaunti yake ya mtandao wa kijamii Facebook muongozaji wa kipindi hicho Hoyce Temu ameandikia ujumbe wa...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3A8Wwf5YAZ0/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g8Pcwf5OgxU/U288bmIru8I/AAAAAAAAYFM/EbLLH3fGX4Y/s72-c/TMT+TVP.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-15ig9u-SWs0/VdoaPnSET3I/AAAAAAAD4c0/UlVcgY11X60/s72-c/533151e8d80a8f2ac448b75f488b2b2f.jpg)
BALOZI AMINA SALUM ALI AANZA KUAGWA WASHINGTON, DC KWA SAFARI YA KURUDI NYUMBANI TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-15ig9u-SWs0/VdoaPnSET3I/AAAAAAAD4c0/UlVcgY11X60/s640/533151e8d80a8f2ac448b75f488b2b2f.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y2-D_oaQ0yQ/VdoaPhDGfgI/AAAAAAAD4c4/E8YbhAI9BOk/s640/a67d87a528e4bc811e586b1eb0217a77.jpg)
9 years ago
MichuziUtambulisho wa kipindi kipya cha Televisheni cha Kiswahili Washington DC
10 years ago
Vijimambo08 Jan
MAMA WA ALIETEMBELEA TANZANIA NA KUFANYA SAFARI NDANI YA MBUGA ZA WANYAMA
Hapa akiongea juu kupitia camera ya Dr Temba, Tanzania na vifutio vyake jitiririshe na endelea kujivunia Utanzania wako kiroho safi
9 years ago
Dewji Blog14 Nov
YAMOTO BAND: Kupiga show kwenye Tanzania Night @ 54 ndani ya Washington DMV, Desemba 5!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-h2yiT4-P5VI/VkVbklmNRSI/AAAAAAAATgc/FRaAOmSc34Q/s640/YB%2BFlyer%2BDMV%2BFlyer.jpg)
** KIINGILIO**
$ 30 – WATU 200 WA KWANZA
$ 40 – BAADA YA WATU 200 KUTIMIA
TUNAOMBA MUWAHI ILI SHOW IANZE...
10 years ago
Vijimambo08 Jan
MZUNGU ALIETEMBELEA TANZANIA NA KUFANYA SAFARI NDANI YA MBUGA ZA WANYAMA ALONGA
Hapa akiongea kupitia camera ya Dr Temba, juu ya kilicho mvutia nchini Tanzania kwenye hiyo safari yake ya kutembelea mbuga za wanya. Jitiririshe na endelea kujivunia Utanzania wako kiroho safi. Kwa picha zaidi nenda hapa...http://tembaphoto.com/