JK ALONGA BAADA YA KUFANYA USAFI SOKO KUU LA CHALINZE
![](http://img.youtube.com/vi/_2NsQvxpgXk/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ashiriki zoezi la usafi soko kuu la Chalinze
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Eng. Evarist Welle Ndikilo wakielekea soko kuu la Chalinze kushirikiana na wananchi kufanya usafi wa mazingira leo Desemba 9, 2015 ikiwa ni kuadhimisha miaka 54 ya UHURU kama ilivyoagizwa na Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli.
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakifanya usafi katika soko kuu la Chalinze leo Desemba 9, 2015 ikiwa ni kuadhimisha miaka 54 ya...
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU, MAJLIWA AFANYA USAFI SOKO KUU LA KARIAKOO
9 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA TANGA CEMENT WAFANYA USAFI SOKO KUU LA MJINI TANGA LA NGAMIANI
10 years ago
Vijimambo08 Jan
MZUNGU ALIETEMBELEA TANZANIA NA KUFANYA SAFARI NDANI YA MBUGA ZA WANYAMA ALONGA
Hapa akiongea kupitia camera ya Dr Temba, juu ya kilicho mvutia nchini Tanzania kwenye hiyo safari yake ya kutembelea mbuga za wanya. Jitiririshe na endelea kujivunia Utanzania wako kiroho safi. Kwa picha zaidi nenda hapa...http://tembaphoto.com/
11 years ago
Mwananchi08 May
Walalamikia usafi wa soko Kariakoo
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Dk Shein ashiriki usafi wa soko la matunda Z’bar
9 years ago
Dewji Blog31 Aug
UN yafanya usafi soko la Temeke Stereo kuadhimisha miaka 70
Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy akizungumza machache kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sophia Mjema (katikati) kabla ya kuanza zoezi la usafi katika soko la Temeke Stereo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa. Kushoto ni Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez.(Picha...
9 years ago
Dewji Blog10 Dec
TTCL waitumia 9 Desemba kusafisha Soko Temeke, wasaidia vifaa vya usafi
![](http://2.bp.blogspot.com/-pjWNNRKGQ70/VmgBC_xoAcI/AAAAAAAAFqI/iiDCT8TJ1a8/s640/IMG_0311.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OBqCG3-hUbs/VmgBCGtiAVI/AAAAAAAAFqA/EpbsJnQ0p5c/s640/IMG_0306.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aE3NtzgfBX8/VmgBDJVSwsI/AAAAAAAAFqM/pAo3dvUGa5A/s72-c/IMG_0323.jpg)
TTCL WAITUMIA 9 DESEMBA KUSAFISHA SOKO LA TEMEKE STEREO NA WASAIDIA VIFAA VYA USAFI
![](http://3.bp.blogspot.com/-aE3NtzgfBX8/VmgBDJVSwsI/AAAAAAAAFqM/pAo3dvUGa5A/s640/IMG_0323.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JHZVa96yu3s/VmgBEZ8_NdI/AAAAAAAAFqg/VZm7EmKGzcU/s640/IMG_0371.jpg)