WAFANYAKAZI WA TANGA CEMENT WAFANYA USAFI SOKO KUU LA MJINI TANGA LA NGAMIANI
Meneja Rasilimali Watu wa Kampuni ya Saruji Tanga, Diana Malambugi (kulia) akiwa na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo wakifanya usafi katika Soko Kuu la Mji wa Tanga la Ngamiani mjini humo leo, kuadhimisha Siku ya Uhuru iliyodhimishwa kwa watanzania wote kujishughulisha na shuhuli za usafi wa mazingira.
Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Saruji Tanga, wakifanya usafi katika Soko Kuu la Mji wa Tanga la Ngamiani mjini humo jana kuadhimisha Siku ya Uhuru ambayo watanzania nchini kote...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mJT3I5FP5JA/VRJMez6ennI/AAAAAAAHNBk/lesA9AI-RfY/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
Wafanyakazi Wanawake wa Tanga Cement Walivyosherehekea Siku ya Wanawake Duniani mjini Tanga
![](http://4.bp.blogspot.com/-mJT3I5FP5JA/VRJMez6ennI/AAAAAAAHNBk/lesA9AI-RfY/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RWpCpAJwU6Y/VRJMgOF2ALI/AAAAAAAHNB0/DLcJWobAVMY/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gwauval1voc/U6LQQRJw4lI/AAAAAAAFrtY/iMN2kv1DR2M/s72-c/unnamed+(2).jpg)
NICE & LOVELY MISS TANGA 2014 WAFANYA USAFI OFISI YA MKUU WA MKOA TANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gwauval1voc/U6LQQRJw4lI/AAAAAAAFrtY/iMN2kv1DR2M/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yV436Qx_Lfw/U6LQVDt_48I/AAAAAAAFrtg/4T7j87GsFAc/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_fvF8g0djMo/U6LQVCmDiqI/AAAAAAAFrtk/Q3n9n9OUSuo/s1600/unnamed+(4).jpg)
5 years ago
MichuziTANGA CEMENT (PLC) WATOA MSAADA WA VIFAA VYA KUJIKINGA NA COVID -19 TANGA
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kulia akipokea msaada wa vifaa kinga kwa ajili ya kusaidia mapambano ya virusi vya Covid 19 kwa ajili ya Hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo na Jeshi la Polisi Mkoa huo kutoka kwa Mtendaji Mkazi wa Kiwanda cha Tanga Saruji cha Cement PLC Mhandisi Benedict Lema kushoto wanaoshuhudia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Judica Omari kulia na kushoto Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Blasius Chatanda
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kulia akipokea msaada wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lL2zlv-9190/XrUyw2XExWI/AAAAAAALpeY/jqf-MEZi6D8ywW_3smkW0HcB3Y6wqKv5QCLcBGAsYHQ/s72-c/6d92ec28-72f4-46f2-8e07-8e14b96d4b25.jpg)
RC TANGA APOKEA VIFAA VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 20.4 KUTOKA TANGA CEMENT KWA AJILI KUKABILIANA NA CORONA
Mwandishi Wetu, Michuzi TV -Tanga
MKUU wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigela amepokea misaada yenye thamani ya jumla ya Shilingi milioni 20.4 kutoka Kampuni ya Tanga Cement kwa ajili ya kukabiliana na homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona.
Akizungumza baada ya kupokea msaada huo mkoani hapa, Shigile amesema kuwa kwa niaba ya wananchi wa Mkoa huo wanaishukuru kampuni hiyo kwa namna ilivyoguswa katika mapambano dhidi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid-19.
"Kama...
5 years ago
MichuziTANGA UWASA YATOA VIFAA 85 VITAKAVYOTUMIKA KWA AJILI YA USAFI MKOANI TANGA
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Geofrey Hilly kulia akimkabidhi vifaa vya 85 vitakavyotumika kwa ajili ya usafi kwenye wilaya tatu zilizopo mkoani Tanga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto ili viweze kusambazwa maeneo mbalimbali ikiwemo masokoni,hospitalini na stendi sambamba na kujenga masinki ya kunawia mikono kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Judica Omari na Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Upendo Lugongo na wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9gq4S5QqcIM/VayinZ10NoI/AAAAAAAHqnA/K88X6ucTFAo/s72-c/board_reinhardt.jpg)
Tanga Cement MD Appointed East Africa Cement Producers Association Tanzania Chair
![](http://3.bp.blogspot.com/-9gq4S5QqcIM/VayinZ10NoI/AAAAAAAHqnA/K88X6ucTFAo/s400/board_reinhardt.jpg)
The East Africa Cement Producers Association (EACPA) brings together cement manufacturing companies from Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda and Burundi. EACPA TZ is a chapter of the East Africa Association which includes Kenya, Uganda, Burundi, Rwanda, and Tanzania. EACPA...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-CZHfw9OPFGg/VYe5zkQovQI/AAAAAAAAfMA/FgypuSSxG7Y/s72-c/3.jpg)
KINANA AKUTANA NA WAFANYA BIASHARA WA SOKO KUU SENGEREMA MJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-CZHfw9OPFGg/VYe5zkQovQI/AAAAAAAAfMA/FgypuSSxG7Y/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1biuRIbPLKQ/VYe50MHnk3I/AAAAAAAAfME/AgmRRGurb98/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-b8Ty1NLFl8g/VYe53IGLmmI/AAAAAAAAfMQ/wzeQqXdj75E/s1600/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-45lCw0LtKts/VYe5wpk9IXI/AAAAAAAAfL4/IEI9hUumQZs/s1600/10.jpg)
5 years ago
MichuziYANGA YATOA MSAADA WODI YA WAKINA MAMA KITUO CHA AFYA NGAMIANI JIJINI TANGA
11 years ago
TheCitizen30 Jan
Kili meet gets Tanga Cement support