Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ashiriki zoezi la usafi soko kuu la Chalinze
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Eng. Evarist Welle Ndikilo wakielekea soko kuu la Chalinze kushirikiana na wananchi kufanya usafi wa mazingira leo Desemba 9, 2015 ikiwa ni kuadhimisha miaka 54 ya UHURU kama ilivyoagizwa na Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli.
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakifanya usafi katika soko kuu la Chalinze leo Desemba 9, 2015 ikiwa ni kuadhimisha miaka 54 ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zOTWqsPeBOo/VngUBz5wg5I/AAAAAAAINt4/dqLwJ23ORN4/s72-c/ms14.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI ASHIRIKI MAZISHI YA DADA YAKE RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE KIJIJINI MSOGA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-zOTWqsPeBOo/VngUBz5wg5I/AAAAAAAINt4/dqLwJ23ORN4/s640/ms14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IMLXm88YdEA/VngUBqCqKdI/AAAAAAAINt0/OAfg7daVnz8/s640/ms15.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cMLjGldeRQI/VngUCPMcpoI/AAAAAAAINuA/vYzlQoMJjKk/s640/ms16.jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan ashiriki mazishi ya dada yake Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Kijijini Msoga
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipokelewana Mke wa Rais Mstaafu Mama Salma Kikwete,wakati alipowasili kwenye msiba wa Dada yake na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete, jana kijini Msoga Mkoa wa Pwani. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwafariji baadhi ya wanafamilia wa Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, aliyekuwa Dada yake na Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete, kijijini...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_2NsQvxpgXk/default.jpg)
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Rais Magufuli Ashiriki Mazishi ya Dada wa Rais Mstaafu Kikwete, Msoga
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo kaburini wakati wa mazishi ya dada yake, Marehemu Tausi Khalfani Kikwete kijijini Msoga wilaya ya Chalinze Mkoa wa Pwani jana Jumatatu Desemba 21, 2015.
Rais John Pombe Joseph Magufuli akiweka udongo kaburini.
Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi akiweka udongo kaburini.
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli, Marais Wastaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi na Dkt Jakaya Mrisho Kikwete wakishiriki katika dua wakati wa wa mazishi ya dada yake Rais...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ebOeoXUFsM4/XuXwPJZ0whI/AAAAAAALtxE/X-bqpmdUIMUr2z76A3etaBZcp8L81u0vwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B12.01.27%2BPM.jpeg)
RAIS MSTAAFU DKT JAKAYA KIKWETE AOMBOLEZA KIFO CHA ALIYEKUWA RAIS WA BURUNDI PIERRE NKURUNZINZA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ebOeoXUFsM4/XuXwPJZ0whI/AAAAAAALtxE/X-bqpmdUIMUr2z76A3etaBZcp8L81u0vwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B12.01.27%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-KZTgnwz4fuo/XuXwPYZ7umI/AAAAAAALtxI/t7YfcOZA1H8wdkBXxF9TJAWrTf7tt4lyQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B12.01.28%2BPM.jpeg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XswnwlaLlAiLoGgL8CrHx7lrZ11s5SccYFokRh6zk3vlE5FcEsDIjJ-MYPP69MtEDyo0AkcsbDDUBwhaZmd77Q9Jthzq9n6r/0L7C3878.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ASHIRIKI ZOEZI LA KUCHANGIA FEDHA ZA UJENZI WA CHUO KIKUU CHA TUMAINI TAWI LA DAR
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Dk Shein ashiriki usafi wa soko la matunda Z’bar
10 years ago
MichuziKAMANDA MSTAAFU WA UVCCM KINONDONI ASHIRIKI KATIKA USAFI WA MAZINGIRA