Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanyama kuikosa safari na Southmptom

Mkenya Victor Wanyama ameikosa safari ya Ubeligiji na kikosi cha wachezaji 27 wa Southampton katika ziara ya preseason tour.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAMA WA ALIETEMBELEA TANZANIA NA KUFANYA SAFARI NDANI YA MBUGA ZA WANYAMA


Hapa akiongea juu kupitia camera ya Dr Temba, Tanzania na vifutio vyake jitiririshe na endelea kujivunia Utanzania wako kiroho safi

 

10 years ago

Vijimambo

MZUNGU ALIETEMBELEA TANZANIA NA KUFANYA SAFARI NDANI YA MBUGA ZA WANYAMA ALONGA


Hapa akiongea  kupitia camera ya Dr Temba, juu ya kilicho mvutia nchini Tanzania kwenye hiyo safari yake ya kutembelea mbuga za wanya. Jitiririshe na endelea kujivunia Utanzania wako kiroho safi. Kwa picha zaidi nenda hapa...http://tembaphoto.com/

 

10 years ago

Mwananchi

Okwi kuikosa Coastal

Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi huenda akawa mtazamaji wakati timu yake itakaposhuka uwanjani kesho kuikabili Coastal Union kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kutokana na kukosa kibali cha kufanya kazi nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Bocco kuikosa Mtibwa Jumamosi

Daktari wa timu ya Azam, Mwanandi Mwakemwa amesema mshambuliaji John Bocco hataweza kucheza mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar Jumamosi ijayo kwenye Uwanja wa Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na mshipa wa mguu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maria Sharapova kuikosa US Open

Nyota namba tatu wa mchezo wa Tenesi duniani kwa upande wa wanawake Maria Sharapova amejitoa kushirikia michuano Us Open

 

10 years ago

Mwananchi

Coutinho kuikosa Ngao ya Jamii

Kuelekea pambano la Ngao ya Jamii, kiungo mpya wa Yanga, Andrey Coutinho na mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco watakosa mechi hiyo itakayopigwa Jumapili hii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. 

 

10 years ago

BBCSwahili

Chris na Moeen kuikosa Afghanistan

Wachezaji Chris Woakes na Moeen Ali wameenguliwa katika kikosi cha timu ya kriket ya England sababu ya majeruhi.

 

10 years ago

Habarileo

Askofu: Wanaoua albino kuikosa mbingu

WATU wanaojihusisha na mauaji ya albino kwa lengo la kusaka vyeo au utajiri, wameonywa waache tabia hiyo mara moja kwa kuwa Mungu anawaona na kuchukizwa na vitendo vyao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Asamoah Gyan kuikosa mechi na Senegal

Nahodha wa timu Ghana Asamoah Gyan anaugua maradhi yanayosemekana kuwa ni malaria na huenda asikipige na Senegal leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani