Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chris na Moeen kuikosa Afghanistan

Wachezaji Chris Woakes na Moeen Ali wameenguliwa katika kikosi cha timu ya kriket ya England sababu ya majeruhi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

GIVEMESPORT

WWE news: Chris Jericho says Dark Side of the Ring documentary on Chris Benoit won't glorify him

WWE news: Chris Jericho says Dark Side of the Ring documentary on Chris Benoit won't glorify him  GIVEMESPORTChris Jericho On Not Wanting To Glorify Chris Benoit Tragedy With New Documentary  Ringside NewsChris Jericho Discusses Dark Side Of The Ring Involvement  SEScoopsView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Mwananchi

Okwi kuikosa Coastal

Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi huenda akawa mtazamaji wakati timu yake itakaposhuka uwanjani kesho kuikabili Coastal Union kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kutokana na kukosa kibali cha kufanya kazi nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanyama kuikosa safari na Southmptom

Mkenya Victor Wanyama ameikosa safari ya Ubeligiji na kikosi cha wachezaji 27 wa Southampton katika ziara ya preseason tour.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maria Sharapova kuikosa US Open

Nyota namba tatu wa mchezo wa Tenesi duniani kwa upande wa wanawake Maria Sharapova amejitoa kushirikia michuano Us Open

 

10 years ago

Mwananchi

Coutinho kuikosa Ngao ya Jamii

Kuelekea pambano la Ngao ya Jamii, kiungo mpya wa Yanga, Andrey Coutinho na mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco watakosa mechi hiyo itakayopigwa Jumapili hii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. 

 

11 years ago

Mwananchi

Bocco kuikosa Mtibwa Jumamosi

Daktari wa timu ya Azam, Mwanandi Mwakemwa amesema mshambuliaji John Bocco hataweza kucheza mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar Jumamosi ijayo kwenye Uwanja wa Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na mshipa wa mguu.

 

9 years ago

Mwananchi

Kimwaga aumia rohoni kuikosa Stars

Kiungo mshambuliaji wa Simba, Joseph Kimwaga ametoa la moyoni akisema kwamba kama kuna jambo linalomuumiza kichwa katika kazi yake ni kukosa kujumuishwa kwenye kikosi cha Taifa Stars na badala yake anageuka shabiki wa kutazama wanachokifanya wenzake.

 

10 years ago

Mwananchi

Okwi aumia, kuikosa Tanzania Prisons

Jinamizi la majeruhi limezidi kuiandama Simba baada ya mshambuliaji wake mahiri Emmanuel Okwi kuumia kifundo cha mguu na kuna uwezekano wa kuikosa mechi ya kesho dhidi ya Prisons.

 

10 years ago

Habarileo

Askofu: Wanaoua albino kuikosa mbingu

WATU wanaojihusisha na mauaji ya albino kwa lengo la kusaka vyeo au utajiri, wameonywa waache tabia hiyo mara moja kwa kuwa Mungu anawaona na kuchukizwa na vitendo vyao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani