Bocco kuikosa Mtibwa Jumamosi
Daktari wa timu ya Azam, Mwanandi Mwakemwa amesema mshambuliaji John Bocco hataweza kucheza mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar Jumamosi ijayo kwenye Uwanja wa Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na mshipa wa mguu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOKpUcWNJ7gv2-3PqynyjfYgmTTuFKV14FzXrAGNzneecjKfoYqSR6VRBXjX12w-64miLL9CQSfbqsSYrRKTUZyv/simbasc.jpg?width=650)
SIMBA KUCHEZA NA MTIBWA TAIFA JUMAMOSI
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa
Mchezo wa pili wa Kundi B wa michuano ya Mapinduzi 2016 ulichezwa usiku wa January 3 kwa kuzikutanisha klabu za Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC. Huu ni mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1-1, baada ya Azam FC kusawazisha goli, lakini pia kuna goli lilifungwa na Mtibwa Sugar lilikataliwa na muamuzi na kuleta […]
The post Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Okwi kuikosa Coastal
10 years ago
BBCSwahili14 Jul
Wanyama kuikosa safari na Southmptom
9 years ago
BBCSwahili31 Aug
Maria Sharapova kuikosa US Open
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Chris na Moeen kuikosa Afghanistan
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Coutinho kuikosa Ngao ya Jamii
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Sakho ajuta kuikosa Afcon 2015