Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbaroni kwa kumbaka mwanawe

MKAZI wa Mtaa wa Lizaboni katika Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, Abdallah Bakari (43) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma ya kumwingilia kimapenzi mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka 11.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mchungaji afungwa maisha kwa kumbaka mwanawe

Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemuhukumu kifungo cha maisha jela Mchungaji wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God, Athanas Ngomai (30), baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wake mwenye umri wa miaka 15.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mbaroni kwa kumbaka bintiye



NA DOROTHY CHAGULA, MUSOMA MKAZI wa Musoma mkoani Mara, Emmanuel  Lucas, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumbaka kwa nyakati tofauti binti yake wa miaka 19 (jina linahifadhiwa) na kumwambukiza ukimwi. Lucas (52), anatuhumiwa kufanya kitendo hicho kuanzia mwaka 2007 na  kumsababishia binti yake kupata maambukizi ya ukimwi. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Paul Kasabago, alisema mtuhumiwa huyo alikuwa akimbaka binti yake huyo mara kwa mara hadi kupata ujauzito, ambapo mtoto...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni kwa tuhuma za kumbaka mlemavu

JESHI la Polisi mkoani hapa, linamshikilia Hamad Banda (42), Mkazi wa Ligula B, kwa tuhumu ya kumbaka msichana wa miaka 17 (jina linahifadhiwa), ambaye ni mlemavu wa akili. Akizungumza na...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbaroni kwa kumbaka mtoto wa jirani yake

Mtoto wa miaka (5) mkazi wa Kijiji cha Kabuhima Kata ya Uyovu Wilaya ya Bukombe mkoani Geita amefanyiwa ukatili wa kinyama baada ya kubakwa na jirani yao.

 

9 years ago

Mwananchi

Mwanamke mbaroni akidaiwa kuua mwanawe

Mkazi wa Kitongoji cha Majengo, Kata ya Uyovu wilayani Bukombe mkoani Geita, Siwema Kayu (27) anadaiwa kumuua mtoto wake mwenye umri wa miezi miwili kutokana na ulevi.

 

11 years ago

Habarileo

Miaka 30 kwa kumbaka mtoto

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, imemhukumu mkazi wa Kitunda, Ally Suna (60) kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka tisa.

 

11 years ago

BBCSwahili

3 hatiani kwa kumbaka mtawa India

Mahakama nchini India imewapata na hatia watu 3 waliombaka mtawa wa kikatoliki wakati wa ghasia za kupinga dini ya kikristo mwaka 2008

 

10 years ago

Mwananchi

Jela kwa kumbaka mtoto wake

Hanang’. Mkulima wa Kijiji cha Waama, wilayani Hanang’ mkoani Manyara, Pachal Yoya amehukumiwa jela miaka 30 baada ya kupatikana na hatia ya kufanya mapenzi na mtoto wake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanajeshi wa UK hatiani kwa kumbaka mtoto

Mwanajeshi mwingereza ameshtakiwa kwa kosa la kumbaka na kumdhalilisha mtoto mwenye umri wa miaka 6 nchini Austria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani