Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchungaji afungwa maisha kwa kumbaka mwanawe

Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemuhukumu kifungo cha maisha jela Mchungaji wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God, Athanas Ngomai (30), baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wake mwenye umri wa miaka 15.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mbaroni kwa kumbaka mwanawe

MKAZI wa Mtaa wa Lizaboni katika Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, Abdallah Bakari (43) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma ya kumwingilia kimapenzi mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka 11.

 

11 years ago

Mwananchi

Mchungaji afungwa kwa ubakaji

>Kiongozi wa kanisa moja nchini Zimbabwe amehukumiwa kifungo cha miaka 40 jela kwa kosa la kuwabaka wanawake watatu na kukutwa na vifaa vya kuchochea kujamiiana.

 

10 years ago

Habarileo

Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka mitano

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora imemhukumu kifungo cha maisha Kashindje Shija (50), baada ya kupatikana na kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka mitano.

 

10 years ago

Mwananchi

Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa dada yao

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Singida, imemuhukumu Mkazi wa Veta Kata ya Mandewa, Ramadhan John (20) na mdogo wake, Karim (18) kutumikia kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka kwa zamu mtoto wa kike wa dada yao (9).

 

11 years ago

Habarileo

Afungwa maisha kwa kumnajisi mtoto

MKAZI wa mtaa wa Nsemulwa, Athuman Mussa (54) amehukumiwa kifungo cha maisha jela na Mahakama ya Wilaya ya Mpanda, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumnajisi mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minne mdomoni.

 

10 years ago

Habarileo

Mtanzania afungwa maisha Australia kwa kuua wanawe

Charles Mihayo akipelekwa gerezani baada ya hukumu yake.MTANZANIA Charles Mihayo (36), ambaye amechukua uraia wa Australia, amehukumiwa kifungo cha maisha jela, baada ya kupatikana na hatia ya kuua watoto wake wawili wa kike Aprili mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

Ushirikina wa kumbaka mtoto wamtupa jela maisha

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi wilaya ya Shinyanga imemhukumu kifungo cha maisha jela mkazi wa mtaa wa Kitangili katika manispaa ya Shinyanga baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka na kumpa ujauzito mtoto wake wa kambo, mwanafunzi wa darasa la tatu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Brotherhood afungwa maisha

Mahakama moja nchini Misri imempatia kifungo cha maisha kiongozi wa Muslim Brotherhood Mohammed Badie

 

10 years ago

BBCSwahili

Dereva wa teksi ya Uber afungwa maisha

Dereva wa teksi wa kampuni inayotoa huduma ya pamoja ya teksi- Uber, amehukumiwa maisha jela nchini India kwa kumbaka abiria wake

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani