Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtanzania afungwa maisha Australia kwa kuua wanawe

Charles Mihayo akipelekwa gerezani baada ya hukumu yake.MTANZANIA Charles Mihayo (36), ambaye amechukua uraia wa Australia, amehukumiwa kifungo cha maisha jela, baada ya kupatikana na hatia ya kuua watoto wake wawili wa kike Aprili mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Afungwa maisha kwa kumnajisi mtoto

MKAZI wa mtaa wa Nsemulwa, Athuman Mussa (54) amehukumiwa kifungo cha maisha jela na Mahakama ya Wilaya ya Mpanda, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumnajisi mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minne mdomoni.

 

9 years ago

Mwananchi

Mchungaji afungwa maisha kwa kumbaka mwanawe

Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemuhukumu kifungo cha maisha jela Mchungaji wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God, Athanas Ngomai (30), baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wake mwenye umri wa miaka 15.

 

10 years ago

Michuzi

Msanii Maarufu Rwanda Kiziti Mihigo Afungwa Miaka 10 Jela kwa Kupanga Njama njama za kupindua serikali na kuua viongozi wake



Muimbaji maarufu wa Rwanda Kizito Mihigo amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela baada ya kushtakiwa kwa njama za kutaka kupindua serikali na kuua viongozi wake na kuonyesha chuki dhidi ya serikali.


Kizito Mihigo awali alisema alikuwa na makosa na kuomba msamaha, akimaanisha hukumu yake ipunguzwe.Kizito Mihigo amekuhumiwa jela miaka 10 kwa njama za kutaka kupindua serikali na kua viongozi wake.

Mshtakiwa mwenzake, Cassien Ntamuhanga kiongozi wa kituo cha redio ya Kikristo, alifungwa miaka 25 kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtanzania ahukumiwa maisha kwa mauaji

Mtanzania ,Charles Mihayo aliyekuwa akituhumiwa kwa mauaji ya binti zake wawili ,amehukumiwa kifungo cha maisha jela.

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wetu na kipimo cha maisha bora kwa kila Mtanzania

Mwaka 2005 wakati wa mchakato wa kampeni za urais, niliandika makala nikihadharisha kuhusu ahadi nyingi za ajira na maisha bora zilizokuwa zinatolewa na mgombea wa urais ambaye sasa ni Rais wa nchi.

 

11 years ago

GPL

WAISLAM WENYE ITIKADI KALI UINGEREZA WAHUKUMIWA JELA MAISHA KWA KUUA

Gemini Donnelly-Martin, 20, na mama yake Amanda (kulia) wakiongea na Adebolajo wakati Ingrid Loyau-Kennett (kushoto) akiongea na Adebowale. Pembeni kushoto ni mwili wa Lee Rigby baada ya kuuawa. Lee Rigby enzi za uhai wake akiwa na mpenzi wake Aimee West.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Brotherhood afungwa maisha

Mahakama moja nchini Misri imempatia kifungo cha maisha kiongozi wa Muslim Brotherhood Mohammed Badie

 

10 years ago

Mwananchi

Vurugu Afrika Kusini zadaiwa kuua Mtanzania

Dar es Salaam. Baadhi ya Watanzania wanaoishi Afrika Kusini wamedai kuwa mwenzao mmoja amefariki dunia kutokana na vurugu zinazoendelea nchini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani