Mtanzania ahukumiwa maisha kwa mauaji
Mtanzania ,Charles Mihayo aliyekuwa akituhumiwa kwa mauaji ya binti zake wawili ,amehukumiwa kifungo cha maisha jela.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi19 Dec
10 years ago
Vijimambo
MTANZANIA CHARLES MIHAYO ALIYEUWA WATOTO WAKE AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA


A Melbourne man who murdered his two young daughters by smothering them with a pillow has been sentenced to life in jail.
Charles Mihayo, 36, smothered his daughters Savannah, 4, and Indianna, 3, at his unit at Watsonia in April.
He pleaded guilty to the killings in August and was today sentenced in the Supreme Court to a minimum of 31 years in...
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Ahukumiwa kwa utekaji na mauaji
Mwanamume mmoja mwenye asili ya Palestina,amekutwa na hatia ya kuandaa utekaji nyara na hatimaye mauaji ya vijana watatu-West Bank.
10 years ago
BBCSwahili01 Sep
Fraizier Glenn ahukumiwa kwa mauaji
Wanasheria nchini Marekani wamemhukumu kwenda jela Fraizier Glenn mwenye umri wa miaka 74 kwenda jela kwa kosa la mauajia.
10 years ago
GPL
SALMAN KHAN WA BOLLYWOOD AHUKUMIWA JELA MIAKA 5 KWA MAUAJI
Mwigizaji maarufu wa filamu za Bollywood nchini India Salman Khan. Mwigizaji maarufu wa filamu za Bollywood nchini India Salman Khan amekuhumiwa kifungo cha miaka mitano jela baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mtu mmoja asiye na makazi alipokuwa akiendesha gari huku akiwa amelewa mjini Mumbai. Khan alikuwa ameshtakiwa kwa kuua bila kukusudia baada ya kuelekeza gari lake kwenye kundi la watu waliokuwa wamelala kwenye njia...
5 years ago
Michuzi
Ahukumiwa maisha jela kwa kosa la kubaka na kulawiti
Na Amiri kilagalila,Njombe
Mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Njombe imemuhukumu Hezron Ndone ( 44) mkazi wa joshoni kata ya mji mwema mjini Njombe kwenda jela kifungo cha maisha kwa kosa kumbaka na kumlawiti mtoto wake wa kumzaa ambaye ni mwanafunzi darasa la tano mwenye umri wa miaka 10.
Akisoma hukumu ya kesi namba 14 ya mwaka 2020 hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya mkoa Njombe Hassan Mkakube alisema mtuhumiwaalishtakiwa kwa makosa manne mawili ya kuzini na maalimu kinyume na...
10 years ago
Habarileo20 Dec
Mtanzania afungwa maisha Australia kwa kuua wanawe
MTANZANIA Charles Mihayo (36), ambaye amechukua uraia wa Australia, amehukumiwa kifungo cha maisha jela, baada ya kupatikana na hatia ya kuua watoto wake wawili wa kike Aprili mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Viongozi wetu na kipimo cha maisha bora kwa kila Mtanzania
Mwaka 2005 wakati wa mchakato wa kampeni za urais, niliandika makala nikihadharisha kuhusu ahadi nyingi za ajira na maisha bora zilizokuwa zinatolewa na mgombea wa urais ambaye sasa ni Rais wa nchi.
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Polisi ahukumiwa maisha jela
Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemhukumu, kifungo cha maisha jela, polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, PC Daniel (24), baada ya kupatikana na hatia ya kubaka na kumlawiti mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 13.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania