Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi ahukumiwa maisha jela

Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemhukumu, kifungo cha maisha jela, polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, PC Daniel (24), baada ya kupatikana na hatia ya kubaka na kumlawiti mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 13.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Ahukumiwa maisha jela kwa kosa la kubaka na kulawiti



Na Amiri kilagalila,Njombe

Mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Njombe imemuhukumu Hezron Ndone ( 44) mkazi wa joshoni kata ya mji mwema mjini Njombe kwenda jela kifungo cha maisha kwa kosa kumbaka na kumlawiti mtoto wake wa kumzaa ambaye ni mwanafunzi darasa la tano mwenye umri wa miaka 10.

Akisoma hukumu ya kesi namba 14 ya mwaka 2020 hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya mkoa Njombe Hassan Mkakube alisema mtuhumiwaalishtakiwa kwa makosa manne mawili ya kuzini na maalimu kinyume na...

 

9 years ago

Global Publishers

Aliyepongeza majambazi yaliyovamia Polisi Stakishari… ahukumiwa jela

1 (1)

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Bruno Kimaryo, kifungo cha miaka miwili jela baada ya kupatikana na hatia ya kusambaza ujumbe katika mtandao wa kijamii wa kuyapongeza majambazi yaliyovamia Kituo cha Polisi cha Stakishari na kuua polisi.  Aidha, mshtakiwa huyo ametakiwa ama kulipa faini ya Sh. 600,000 kwa kosa hilo.

Katika tukio la Stakishari lililotokea Julai 12, mwaka huu, majambazi yalivamia kituo hicho na kuua polisi wanne na raia watatu pamoja na kupora bunduki 20 aina ya...

 

9 years ago

Habarileo

Polisi jela maisha kwa ulawiti

ASKARI Polisi mwenye namba G 9762 PC Daniel (24), amehukumiwa kifungo cha maisha jela, kulipa fidia ya Sh milioni mbili kwa mlalamikaji baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 13.

 

9 years ago

Mtanzania

Polisi jela maisha kwa kubaka, kulawiti mtoto

Na Faraja Masinde, Dar es Salaam

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, imemhukumu askari polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, G 9762 PC Daniel (24) kutumikia kifungo cha maisha jela, baada ya kupatikana na makosa ya kubaka na kumlawiti mtoto wa miaka 13.

Mbali na kifungo hicho, mtuhumiwa huyo ameamriwa kulipa fidia ya Sh milioni 2 ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia kama hizo.

Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi Mwandamizi Mfawidhi, Said Mkasiwa baada ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ahukumiwa jela kwa kubakwa Sudan

Mwanamke 1 raia wa Ethiopia aliyebakwa na genge la watu nchini Sudan amehukumiwa kifungo cha mwezi 1 jela kwa kufanya kitendo kichafu

 

11 years ago

BBCSwahili

Germain Katanga ahukumiwa jela miaka 12

Kiongozi wa zamani wa wapiganaji waasi nchini Jamuhuri ya kidemokrasi ya kongo Germain Katanga amehukumiwa kwenda jela miaka 12

 

11 years ago

BBCSwahili

Muindaji haramu ahukumiwa miaka 77 jela

Mtuhumiwa wa uwindaji haramu Mandla Chauke ,amehukumiwa kifungo cha miaka 77 jela kwa kuua vifaru 4

 

10 years ago

Vijimambo

Capt.Francesco Schettino ahukumiwa miaka 16 jela



Nahodha wa meli ya Costa Concordia iliyosababisha vifo vya watu watu 32 wakiwemo wafanyakazi wa meli hiyo amehukumiwa kwenda jela.Kwa mjibu wa hukumu hiyo Nahodha huyo atatumikia kifungo cha miaka 16 jela baada ya kubainika kuwa na makosa ya kuua bila kukusudia.Francesco Schettino hakuwepo Mahakamani wakati hukumu hiyo ikitolewa. Miaka mitatu iliyopita Meli hiyo ya Costa Concordia iligonga miamba karibu na pwani ya Giglio nchini Italia na kusababisha vifo hivyo.Hata hivyo Schettino bado...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani