Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi jela maisha kwa kubaka, kulawiti mtoto

Na Faraja Masinde, Dar es Salaam

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, imemhukumu askari polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, G 9762 PC Daniel (24) kutumikia kifungo cha maisha jela, baada ya kupatikana na makosa ya kubaka na kumlawiti mtoto wa miaka 13.

Mbali na kifungo hicho, mtuhumiwa huyo ameamriwa kulipa fidia ya Sh milioni 2 ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia kama hizo.

Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi Mwandamizi Mfawidhi, Said Mkasiwa baada ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Ahukumiwa maisha jela kwa kosa la kubaka na kulawiti



Na Amiri kilagalila,Njombe

Mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Njombe imemuhukumu Hezron Ndone ( 44) mkazi wa joshoni kata ya mji mwema mjini Njombe kwenda jela kifungo cha maisha kwa kosa kumbaka na kumlawiti mtoto wake wa kumzaa ambaye ni mwanafunzi darasa la tano mwenye umri wa miaka 10.

Akisoma hukumu ya kesi namba 14 ya mwaka 2020 hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya mkoa Njombe Hassan Mkakube alisema mtuhumiwaalishtakiwa kwa makosa manne mawili ya kuzini na maalimu kinyume na...

 

9 years ago

Mwananchi

Jela maisha kwa kulawiti mtoto

Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemuhukumu kifungo cha maisha jela, Seleman Nassibu (20) baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa miaka 13.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Houseboy’ jela maisha kwa kubaka mtoto

Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemhukumu kifungo cha maisha mfanyakazi wa ndani, Habibu Adamu (20) baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wa miaka sita na kumsababishia maumivu.

 

10 years ago

Habarileo

Atupwa jela miaka 30 kwa kumsaidia mtoto kubaka

MAMA aliyemsaidia mwanawe kubaka , Regina Kigelulye, ametupwa jela miaka 30 sawa na mtoto wake ambaye alikuwa anakabiliwa na kosa la kubaka, Sagimembe Mroso.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jela maisha kwa kumdhalilisha mtoto

MAHAKAMA ya Wilaya ya Mpanda, mkoani Katavi, imemhukumu   Athuman  Mussa (54), mkazi  wa Mtaa wa Nsemlwa Mjini, kifungo  cha maisha jela  baada ya kupatikana  na hatia ya kumwingizia uume  mdomoni...

 

10 years ago

Mwananchi

Jela maisha kwa kumlawiti mtoto

Kijana mmoja aitwaye Michael Edward (25) mkazi wa Mtaa wa Mji wa Zamani, Mkoa wa Katavi amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka na kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka saba.

 

10 years ago

Habarileo

Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka mitano

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora imemhukumu kifungo cha maisha Kashindje Shija (50), baada ya kupatikana na kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka mitano.

 

9 years ago

Mwananchi

Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa dada yao

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Singida, imemuhukumu Mkazi wa Veta Kata ya Mandewa, Ramadhan John (20) na mdogo wake, Karim (18) kutumikia kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka kwa zamu mtoto wa kike wa dada yao (9).

 

9 years ago

Habarileo

Polisi jela maisha kwa ulawiti

ASKARI Polisi mwenye namba G 9762 PC Daniel (24), amehukumiwa kifungo cha maisha jela, kulipa fidia ya Sh milioni mbili kwa mlalamikaji baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 13.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani