Polisi jela maisha kwa ulawiti
ASKARI Polisi mwenye namba G 9762 PC Daniel (24), amehukumiwa kifungo cha maisha jela, kulipa fidia ya Sh milioni mbili kwa mlalamikaji baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 13.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania30 Dec
Polisi jela maisha kwa kubaka, kulawiti mtoto
Na Faraja Masinde, Dar es Salaam
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, imemhukumu askari polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, G 9762 PC Daniel (24) kutumikia kifungo cha maisha jela, baada ya kupatikana na makosa ya kubaka na kumlawiti mtoto wa miaka 13.
Mbali na kifungo hicho, mtuhumiwa huyo ameamriwa kulipa fidia ya Sh milioni 2 ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia kama hizo.
Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi Mwandamizi Mfawidhi, Said Mkasiwa baada ya...
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Ulawiti; Kiongozi wa Malaysia miaka 5 Jela
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Polisi ahukumiwa maisha jela
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Jela maisha kwa kumdhalilisha mtoto
MAHAKAMA ya Wilaya ya Mpanda, mkoani Katavi, imemhukumu Athuman Mussa (54), mkazi wa Mtaa wa Nsemlwa Mjini, kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumwingizia uume mdomoni...
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Jela maisha kwa kumlawiti mtoto
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Jela maisha kwa kulawiti mtoto
11 years ago
BBCSwahili16 Jul
Maisha jela kwa wabakaji Misri
10 years ago
Mwananchi26 Dec
‘Houseboy’ jela maisha kwa kubaka mtoto
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa dada yao