Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi jela maisha kwa ulawiti

ASKARI Polisi mwenye namba G 9762 PC Daniel (24), amehukumiwa kifungo cha maisha jela, kulipa fidia ya Sh milioni mbili kwa mlalamikaji baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 13.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Polisi jela maisha kwa kubaka, kulawiti mtoto

Na Faraja Masinde, Dar es Salaam

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, imemhukumu askari polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, G 9762 PC Daniel (24) kutumikia kifungo cha maisha jela, baada ya kupatikana na makosa ya kubaka na kumlawiti mtoto wa miaka 13.

Mbali na kifungo hicho, mtuhumiwa huyo ameamriwa kulipa fidia ya Sh milioni 2 ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia kama hizo.

Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi Mwandamizi Mfawidhi, Said Mkasiwa baada ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ulawiti; Kiongozi wa Malaysia miaka 5 Jela

Mahakama ya juu nchini Malaysia imekataa kubadilisha uamuzi wa mahakama ya chini dhidi ya kiongozi wa upinzani Anwar Ibrahim.

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi ahukumiwa maisha jela

Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemhukumu, kifungo cha maisha jela, polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, PC Daniel (24), baada ya kupatikana na hatia ya kubaka na kumlawiti mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 13.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jela maisha kwa kumdhalilisha mtoto

MAHAKAMA ya Wilaya ya Mpanda, mkoani Katavi, imemhukumu   Athuman  Mussa (54), mkazi  wa Mtaa wa Nsemlwa Mjini, kifungo  cha maisha jela  baada ya kupatikana  na hatia ya kumwingizia uume  mdomoni...

 

10 years ago

Mwananchi

Jela maisha kwa kumlawiti mtoto

Kijana mmoja aitwaye Michael Edward (25) mkazi wa Mtaa wa Mji wa Zamani, Mkoa wa Katavi amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka na kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka saba.

 

9 years ago

Mwananchi

Jela maisha kwa kulawiti mtoto

Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemuhukumu kifungo cha maisha jela, Seleman Nassibu (20) baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa miaka 13.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maisha jela kwa wabakaji Misri

Wananume saba wafungwa maisha jela na wengine 2 kupata kifungo cha miaka 20 au zaidi kila mmoja kwa kuwadhulumu kingono wanawake

 

10 years ago

Mwananchi

‘Houseboy’ jela maisha kwa kubaka mtoto

Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemhukumu kifungo cha maisha mfanyakazi wa ndani, Habibu Adamu (20) baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wa miaka sita na kumsababishia maumivu.

 

9 years ago

Mwananchi

Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa dada yao

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Singida, imemuhukumu Mkazi wa Veta Kata ya Mandewa, Ramadhan John (20) na mdogo wake, Karim (18) kutumikia kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka kwa zamu mtoto wa kike wa dada yao (9).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani