SALMAN KHAN WA BOLLYWOOD AHUKUMIWA JELA MIAKA 5 KWA MAUAJI
![](http://api.ning.com:80/files/LDRZ*VdxUTF4mKAVOROcEMvaS1OCek7lMQOzKvGWksZ8w5P-VHX6J8xSJDL3IoEx9mOFKuPxtO7sCbc7Rvk5KahbIREJCIwp/SalmanKhanHDwallpaper3.jpg?width=650)
Mwigizaji maarufu wa filamu za Bollywood nchini India Salman Khan. Mwigizaji maarufu wa filamu za Bollywood nchini India Salman Khan amekuhumiwa kifungo cha miaka mitano jela baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mtu mmoja asiye na makazi alipokuwa akiendesha gari huku akiwa amelewa mjini Mumbai. Khan alikuwa ameshtakiwa kwa kuua bila kukusudia baada ya kuelekeza gari lake kwenye kundi la watu waliokuwa wamelala kwenye njia...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo506 May
Muigizaji wa Bollywood Salman Khan ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela, kwa kumgonga na kumuua mtu kwa gari
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dGjuJOOhO2o/VUoX9J38qjI/AAAAAAABNpE/HEg8BSzkoyw/s72-c/1.jpg)
SALMAN KHAN KWENDA JELA MIAKA 5 BAADA YA KUMGONGA NA KUMUUA MTU KWA GARI
![](http://3.bp.blogspot.com/-dGjuJOOhO2o/VUoX9J38qjI/AAAAAAABNpE/HEg8BSzkoyw/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1wb8tUFhTak/VUoX9IL6qyI/AAAAAAABNpI/2NGrKfWeagc/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4kZqidDmWDk/VUoZIgkESFI/AAAAAAABNpc/5qPtVAAi2L0/s1600/1cf81f294920b114750f6a7067004433.jpg)
10 years ago
BBCSwahili06 May
Khan wa Bollywood kwenda jela miaka 5
9 years ago
StarTV03 Nov
Binti wa miaka 15 ahukumiwa jela miaka 8 kwa kuuwa bila kukusudia.
Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam iliyoketi mkoani Morogoro, imemuhukumu kwenda jela miaka nane, Judith Chomile binti mwenye umri wa miaka 15 mwananfunzi wa kidato cha kwanza mara baaada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuua bila ya kukusudia mtoto mwenzake Andrine Mafwere (9)
Akisoma hukumu hiyo jaji Eliezer Fereshi, amesema mahakama imemtia hatiani mshitakiwa huyo kutokana na upelelezi wa kesi hiyo kukamilika na maelezo ya maafisa ustawi wa jamii na maafisa wa huduma za...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhnVftMkqyjtUlp2oOi8bC8eKM5uoNzfF3ZfOt0FbstVJ7ezGJj20BbqOoDuoGKKPvo155Kl6F*-PoDYOgu-pTJQ/ulihoeness_uzqg74l0gmyrzsky6qgbfvto.jpg?width=650)
RAIS WA BAYERN MUNICH AHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 3 KWA KUKWEPA KODI
5 years ago
Ykileo![](https://2.bp.blogspot.com/-mM2PgHUNAwE/XJ7CkCYdzPI/AAAAAAAACT0/EwENgq_zKAMqjWZ14acOk7uS9So5vlvLACLcBGAs/s72-c/115-Cyber-security-top-banner-2.jpg)
AHUKUMIWA MIAKA MIWILI JELA KWA KOSA LA KUHARIBU TAARIFA ZA ALIYEKUA MUAJIRI WAKE
![](https://2.bp.blogspot.com/-mM2PgHUNAwE/XJ7CkCYdzPI/AAAAAAAACT0/EwENgq_zKAMqjWZ14acOk7uS9So5vlvLACLcBGAs/s640/115-Cyber-security-top-banner-2.jpg)
KWA UFUPI: Steffan Needham, Amabae alihudumu kama mshauri wa maswala ya tehama (IT Cosultant) katika kampuni ya Voova ya nchini Uingereza amehukumiwa kifungo cha miaka 2 Jela kwa kosa la kuharibu taarifa za muajiri wake wa wa zamani.--------------------------------
Kwa mujibu wa Thames Valley Police ya Nchini Uingereza, Mtuhumiwa alifukuzwa kazi na mwaajiri wake na baadae kuharibu taarifa zote muhimu za kampuni hiyo kwa kile kilicho tafsiriwa kama kulipiza kisasi kutokana na kufukuzwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SE2ydJigMcM/XlU1RfNNQtI/AAAAAAALfSg/tVxJ4JYeEm0XphPSUEJYzl10_2J5fEcYwCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-02-25-04h55m51s247.png)
Mwalimu ahukumiwa miaka 3 jela na kulipa fidia Mil.10 kwa kumsababishia ulemavu mwanafunzi wake
Mahakama ya wilaya ya Njombe imemhukumu mwalimu Focus Mbilinyi aliyekuwa akifundisha shule ya msingi Madeke hapo awali kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na kulipa fidia ya shilingi milioni kumi baada ya kumkuta na hatia ya kumpiga mwanafunzi wake na kumsababishia ulemavu wa kudumu.
Hukumu hiyo imetolewa na mahakama ya wilaya ya Njombe kupitia hakimu Ivran Msaki ambae amesema mahakama imesikiliza ushahidi wa pande zote mbili wa shauri namba 141 la mwaka 2019 na...
11 years ago
BBCSwahili23 May
Germain Katanga ahukumiwa jela miaka 12
11 years ago
BBCSwahili23 Jul
Muindaji haramu ahukumiwa miaka 77 jela