Khan wa Bollywood kwenda jela miaka 5
Mwigizaji maarufu wa filamu za Bollywood nchini India Salman Khan amekuhumiwa kifungo cha miaka mitano jela baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mtu mmoja asiye na makazi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LDRZ*VdxUTF4mKAVOROcEMvaS1OCek7lMQOzKvGWksZ8w5P-VHX6J8xSJDL3IoEx9mOFKuPxtO7sCbc7Rvk5KahbIREJCIwp/SalmanKhanHDwallpaper3.jpg?width=650)
SALMAN KHAN WA BOLLYWOOD AHUKUMIWA JELA MIAKA 5 KWA MAUAJI
Mwigizaji maarufu wa filamu za Bollywood nchini India Salman Khan. Mwigizaji maarufu wa filamu za Bollywood nchini India Salman Khan amekuhumiwa kifungo cha miaka mitano jela baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mtu mmoja asiye na makazi alipokuwa akiendesha gari huku akiwa amelewa mjini Mumbai. Khan alikuwa ameshtakiwa kwa kuua bila kukusudia baada ya kuelekeza gari lake kwenye kundi la watu waliokuwa wamelala kwenye njia...
10 years ago
Bongo506 May
Muigizaji wa Bollywood Salman Khan ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela, kwa kumgonga na kumuua mtu kwa gari
Mahakama ya nchini India imemhukumu muigizaji wa Bollywood, Salman Khan kifungo cha miaka mitano jela kwa kumgonga na kumuua mtu asiye na makazi mwaka 2002 mjini Mumbai. Mtu huyo alikuwa mmoja wa watu wengine watano waliogongwa kwenye tukio hilo. Muigizaji huyo alikuwa akikabiliwa na kosa la kuua bila kukusudia. Khan alikuwa akijitetea kuwa ni dereva […]
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dGjuJOOhO2o/VUoX9J38qjI/AAAAAAABNpE/HEg8BSzkoyw/s72-c/1.jpg)
SALMAN KHAN KWENDA JELA MIAKA 5 BAADA YA KUMGONGA NA KUMUUA MTU KWA GARI
![](http://3.bp.blogspot.com/-dGjuJOOhO2o/VUoX9J38qjI/AAAAAAABNpE/HEg8BSzkoyw/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1wb8tUFhTak/VUoX9IL6qyI/AAAAAAABNpI/2NGrKfWeagc/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4kZqidDmWDk/VUoZIgkESFI/AAAAAAABNpc/5qPtVAAi2L0/s1600/1cf81f294920b114750f6a7067004433.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPgCEOtf8fyFZfWbcBylWu3j1sX4Cq3AOLGJxwtZmwomHed3Lj*56nyZTv3ZAHGqINTPOCQdf56hlbez56XZf9B2/ekelege.jpg?width=650)
CHARLES EKELEGE AHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA MITATU
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Nchini (TBS), Charles Ekelege. Aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Nchini (TBS), Charles Ekelege amehukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwenda jela miaka mitatu na kuilipa serikali Dola 42,543 za Kimarekani, baada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka kwa kutoa asilimia 50. Kadhalika, Ekelege anadaiwa kutoa asilimia hiyo ya punguzo...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Basil-Mramba-na-Daniel-Yona-wakiwa-mahakamani-hapo-leo..jpg)
YONA, MRAMBA KWENDA JELA MIAKA 2 BILA FAINI
Basil Mramba na Daniel Yona wakiwa Mahakama Kuu ya Tanzania kusikiliza rufaa yao. Daniel Yona akiteta jambo na mmoja wa mawakili mahakamani hapo. Ndugu wa Daniel Yona wakimsalimia mara baada ya kufika mahakamani hapo. Yona akiwasiliana na ndugu zake. MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Dar es Salaam leo imetoa hukumu ya rufaa dhidi ya mawaziri wa zamani, Bazil Mramba na Daniel Yona waliohukumiwa kifungo cha miaka mitatu na faini ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1ifbrCGVTqo/XsPVLFx6FJI/AAAAAAALqxo/IrHiuHyd6AAnQCzuxj5HEVbt3Yga-DtRACLcBGAsYHQ/s72-c/3a36b112-8522-40dc-91cb-d1d35c49fcc1.jpg)
KORTI YAMUHUKUMU RAIA WA SOMALIA KWENDA JELA MIAKA MITATU
![](https://1.bp.blogspot.com/-1ifbrCGVTqo/XsPVLFx6FJI/AAAAAAALqxo/IrHiuHyd6AAnQCzuxj5HEVbt3Yga-DtRACLcBGAsYHQ/s400/3a36b112-8522-40dc-91cb-d1d35c49fcc1.jpg)
Hukumu hiyo imetolewa jana Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba baada ya mshtakiwa huyo kukiri shtaka lake na hivyo kutiwa hatiani.
Akisoma hukumu hiyo Hakimu Simba amesema amezingatia maombi ya mshtakiwa kuwa anategemewa na familia na hivyo, mahakama imemuhukumu kulipa faini ya Sh. Milioni moja...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo5feI*Ll5FNbTxOVyEp6gtIdtWOvN9ZSceXJzwQ7EDDwcL70SOd36sWSLoFE833jtLvX-h5PZPSL5atLQcbQopl/51ef89869d3c4.jpg?width=650)
RAIS WA ZAMANI WA MISRI MOHAMED MORSI KWENDA JELA MIAKA 20
Rais wa zamani wa Misri Bw. Mohamed Morsi.
Rais wa zamani wa Misri Bw. Mohamed Morsi amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela kwa makosa ya kusababisha kuuliwa waandamanaji mwaka 2012. Korti ya makosa ya jinai mjini Cairo imetoa hukumu hiyo wakati Morsi na watuhumiwa wengine katika kesi hiyo, wengi wao wakiwa viongozi wa chama cha Udugu wa kiislam wakisimama ndani ya tundu la vigae katika ya ukumbi wa mahakama katika Chuo cha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhnVftMkqyjtUlp2oOi8bC8eKM5uoNzfF3ZfOt0FbstVJ7ezGJj20BbqOoDuoGKKPvo155Kl6F*-PoDYOgu-pTJQ/ulihoeness_uzqg74l0gmyrzsky6qgbfvto.jpg?width=650)
RAIS WA BAYERN MUNICH AHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 3 KWA KUKWEPA KODI
Rais wa Bayern Munich, Uli Hoeness. Rais wa Bayern Munich amehukumiwa kwenda jela kwa kifungo cha miaka mitatu na miezi sita kutokana na kosa la kukwepa kodi. Uli Hoeness, 62, alikiri kukwepa kodi inayofikia kiasi cha €18.5 million kupitia akaunti zake za benki za siri lakini utetezi wake wa kukiri kosa akidhania ungemsaidia kuepukana na adhabu ya kifungo ulishindwa kumsaidia. Mwendesha mashtaka alitaka Hoeness afungwe...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania