RAIS WA ZAMANI WA MISRI MOHAMED MORSI KWENDA JELA MIAKA 20
![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo5feI*Ll5FNbTxOVyEp6gtIdtWOvN9ZSceXJzwQ7EDDwcL70SOd36sWSLoFE833jtLvX-h5PZPSL5atLQcbQopl/51ef89869d3c4.jpg?width=650)
Rais wa zamani wa Misri Bw. Mohamed Morsi. Rais wa zamani wa Misri Bw. Mohamed Morsi amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela kwa makosa ya kusababisha kuuliwa waandamanaji mwaka 2012. Korti ya makosa ya jinai mjini Cairo imetoa hukumu hiyo wakati Morsi na watuhumiwa wengine katika kesi hiyo, wengi wao wakiwa viongozi wa chama cha Udugu wa kiislam wakisimama ndani ya tundu la vigae katika ya ukumbi wa mahakama katika Chuo cha...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo21 Apr
BREAKING NEWS: Rais Morsi ahukumiwa miaka 20 jela
Makahama nchini Mirsi imemhukumu aliyekuwa rais wa zamani Mohammed Mosri kifungo cha miaka 20 gerezani kutokana na kuuawa kwa waamdamanaji wakati akiwa madarakani.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo42muqpuIYD2lNW12EIM5AOId28BuNTtJxjqE9ecYQls5qDoFDAAHCsnJbLDUElkTwlZgW51R4RY6tIls6WKuek/breakingnews.gif)
MORSI JELA MIAKA 20
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhnVftMkqyjtUlp2oOi8bC8eKM5uoNzfF3ZfOt0FbstVJ7ezGJj20BbqOoDuoGKKPvo155Kl6F*-PoDYOgu-pTJQ/ulihoeness_uzqg74l0gmyrzsky6qgbfvto.jpg?width=650)
RAIS WA BAYERN MUNICH AHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 3 KWA KUKWEPA KODI
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Waziri mkuu wa zamani wa Israel ahukumiwa kwenda jela
Ehud Olmert
Jerusalem, Israel
Mahakama Kuu ya Israel, imemhukumu aliyekuwa waziri mkuu wa nchi hiyo kuanzia mwaka 2006-2009, Ehud Olmert kifungo cha miezi 18 jela baada ya kukutwa na hatia kwenye makosa ya kula rushwa yaliyokuwa yanamkabili.
Awali, Mei, 2014, Olmert alihukumiwa kifungo cha miaka 6 jela kufuatia kukutwa na hatia katika makosa ya kupokea rushwa katika kipindi cha 1993 hadi 2003 alipokuwa Meya wa Jiji la Jerusalem. Baada ya hukumu ya awali, Olmert alikata rufaa na baada ya...
10 years ago
BBCSwahili16 May
Misri:aliyekuwa rais Morsi kunyongwa
11 years ago
BBCSwahili15 Mar
Jasusi wa zamani Rwanda jela miaka 25
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Waziri wa zamani Rwanda kukaa jela miaka 47
10 years ago
BBCSwahili23 Feb
Misri yamhukumu mwandishi miaka 5 jela