BREAKING NEWS: Rais Morsi ahukumiwa miaka 20 jela
Makahama nchini Mirsi imemhukumu aliyekuwa rais wa zamani Mohammed Mosri kifungo cha miaka 20 gerezani kutokana na kuuawa kwa waamdamanaji wakati akiwa madarakani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZ........BONDIA FRANCIS CHEKA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 3 JELA
Cheka alifikishwa kizimbani leo na kusomewa mashtaka ya kushambulia na kuzuru mwili,akidaiwa mnamo julai 02 mwaka 2014, bila uhalali na akijua kufanya hivyo ni kosa kisheria, alimpiga kwa ngumi maeneo ya kichwani na tumboni, Bahati Kabanda maarufu kama Masika,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-crAmlu00R3Y/U_9Mf3BvpFI/AAAAAAAGMRM/-pUkJ3al_KQ/s72-c/00.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ: Aliyekuwa Mkurugenzi wa TBS, Charles Ekelege ahukumiwa kwenda jela miaka mitatu
![](http://4.bp.blogspot.com/-crAmlu00R3Y/U_9Mf3BvpFI/AAAAAAAGMRM/-pUkJ3al_KQ/s1600/00.jpg)
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Nchini (TBS), Charles Ekelege amehukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwenda jela miaka mitatu na kuilipa serikali Dola 42,543 za Kimarekani, baada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka kwa kutoa asilimia 50.
Kadhalika, Ekelege anadaiwa kutoa asilimi hiyo ya punguzo la tozo ya utawala kwa Kampuni mbili Kampuni ya Jaffar Mohamed Ali Garage na Kampuni Quality Motors na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo5feI*Ll5FNbTxOVyEp6gtIdtWOvN9ZSceXJzwQ7EDDwcL70SOd36sWSLoFE833jtLvX-h5PZPSL5atLQcbQopl/51ef89869d3c4.jpg?width=650)
RAIS WA ZAMANI WA MISRI MOHAMED MORSI KWENDA JELA MIAKA 20
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhnVftMkqyjtUlp2oOi8bC8eKM5uoNzfF3ZfOt0FbstVJ7ezGJj20BbqOoDuoGKKPvo155Kl6F*-PoDYOgu-pTJQ/ulihoeness_uzqg74l0gmyrzsky6qgbfvto.jpg?width=650)
RAIS WA BAYERN MUNICH AHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 3 KWA KUKWEPA KODI
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Morsi ahukumiwa miaka 20 gerezani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo42muqpuIYD2lNW12EIM5AOId28BuNTtJxjqE9ecYQls5qDoFDAAHCsnJbLDUElkTwlZgW51R4RY6tIls6WKuek/breakingnews.gif)
MORSI JELA MIAKA 20
9 years ago
StarTV03 Nov
Binti wa miaka 15 ahukumiwa jela miaka 8 kwa kuuwa bila kukusudia.
Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam iliyoketi mkoani Morogoro, imemuhukumu kwenda jela miaka nane, Judith Chomile binti mwenye umri wa miaka 15 mwananfunzi wa kidato cha kwanza mara baaada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuua bila ya kukusudia mtoto mwenzake Andrine Mafwere (9)
Akisoma hukumu hiyo jaji Eliezer Fereshi, amesema mahakama imemtia hatiani mshitakiwa huyo kutokana na upelelezi wa kesi hiyo kukamilika na maelezo ya maafisa ustawi wa jamii na maafisa wa huduma za...
11 years ago
BBCSwahili23 Jul
Muindaji haramu ahukumiwa miaka 77 jela