BREAKING NYUZZZZZZ: Aliyekuwa Mkurugenzi wa TBS, Charles Ekelege ahukumiwa kwenda jela miaka mitatu
![](http://4.bp.blogspot.com/-crAmlu00R3Y/U_9Mf3BvpFI/AAAAAAAGMRM/-pUkJ3al_KQ/s72-c/00.jpg)
Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Nchini (TBS), Charles Ekelege amehukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwenda jela miaka mitatu na kuilipa serikali Dola 42,543 za Kimarekani, baada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka kwa kutoa asilimia 50.
Kadhalika, Ekelege anadaiwa kutoa asilimi hiyo ya punguzo la tozo ya utawala kwa Kampuni mbili Kampuni ya Jaffar Mohamed Ali Garage na Kampuni Quality Motors na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPgCEOtf8fyFZfWbcBylWu3j1sX4Cq3AOLGJxwtZmwomHed3Lj*56nyZTv3ZAHGqINTPOCQdf56hlbez56XZf9B2/ekelege.jpg?width=650)
CHARLES EKELEGE AHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA MITATU
10 years ago
Habarileo29 Aug
Mkurugenzi TBS jela miaka mitatu
ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekelege, amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela, baada ya kupatikana na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka na kutoa msamaha wa ada ya utawala kwa kampuni mbili bila kibali.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EHlJzME-Loc/Xl-csD2V8WI/AAAAAAALg8g/P8RkBbm8Bc4lh1xtuy75Jxe73SN8wLIRwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B15.13.39.jpeg)
RAIA WA CAMEROON AHUKUMIWA KULIPA FAINI YA SH. MILIONI 100 AMA KWENDA JELA MIAKA MITATU
![](https://1.bp.blogspot.com/-EHlJzME-Loc/Xl-csD2V8WI/AAAAAAALg8g/P8RkBbm8Bc4lh1xtuy75Jxe73SN8wLIRwCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B15.13.39.jpeg)
Pia Mahakama imeamuru kutaifishwa kwa USD 84,300 alizokutwa nazo mshtakiwa.
Hukumu hiyo imesomwa na Hakimu Mkazi Mwandamizi, Rashidi Chaungu baada ya mshtakiwa kukiri kosa lake.
Kabla ya kusomwa kwa hukumu hiyo Wakili wa Serikali Mkuu, Shadrack Kimaro aliomba mahakama pamoja na adhabu ya kulipa faini aliomba...
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Kigogo TBS jela miaka mitatu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salam jana imemuhukumu kifungo cha miaka mitatu jela aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekerege baada ya kumtia hatiani...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6GjqCm-D88o/Vmvh0FWqvMI/AAAAAAAAVGk/voOfygtZdi4/s72-c/mahakama.jpg)
DEREVA MZEMBE AHUKUMIWA MIAKA MITATU JELA MKOANI MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-6GjqCm-D88o/Vmvh0FWqvMI/AAAAAAAAVGk/voOfygtZdi4/s320/mahakama.jpg)
Na Ezekiel Kamanga, Mbeya
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya imememhukumu kwenda jela miaka mitatu Martin Mhina Dereva wa basi la Majinja kwa kuendesha gari kwa uzembe.
Waendesha Mashitaka wa Serikali Hannarose Kasambala na Catherine Gwatu wameiambia Mahakama kuwa Dereva huyo aliendesha Basi la Kampuni ya Majinja kwa uzembe mapema mwaka huu majira ya saa 12 asubuhi kwa kuigonga gari aina ya Toyota Hilux na kusababisha kifo cha mtu mmoja.
Mawakili hao wameiambia Mahakama kuwa Kesi hiyo namba...
10 years ago
Habarileo21 Apr
BREAKING NEWS: Rais Morsi ahukumiwa miaka 20 jela
Makahama nchini Mirsi imemhukumu aliyekuwa rais wa zamani Mohammed Mosri kifungo cha miaka 20 gerezani kutokana na kuuawa kwa waamdamanaji wakati akiwa madarakani.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1ifbrCGVTqo/XsPVLFx6FJI/AAAAAAALqxo/IrHiuHyd6AAnQCzuxj5HEVbt3Yga-DtRACLcBGAsYHQ/s72-c/3a36b112-8522-40dc-91cb-d1d35c49fcc1.jpg)
KORTI YAMUHUKUMU RAIA WA SOMALIA KWENDA JELA MIAKA MITATU
![](https://1.bp.blogspot.com/-1ifbrCGVTqo/XsPVLFx6FJI/AAAAAAALqxo/IrHiuHyd6AAnQCzuxj5HEVbt3Yga-DtRACLcBGAsYHQ/s400/3a36b112-8522-40dc-91cb-d1d35c49fcc1.jpg)
Hukumu hiyo imetolewa jana Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba baada ya mshtakiwa huyo kukiri shtaka lake na hivyo kutiwa hatiani.
Akisoma hukumu hiyo Hakimu Simba amesema amezingatia maombi ya mshtakiwa kuwa anategemewa na familia na hivyo, mahakama imemuhukumu kulipa faini ya Sh. Milioni moja...
10 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZ........BONDIA FRANCIS CHEKA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 3 JELA
Cheka alifikishwa kizimbani leo na kusomewa mashtaka ya kushambulia na kuzuru mwili,akidaiwa mnamo julai 02 mwaka 2014, bila uhalali na akijua kufanya hivyo ni kosa kisheria, alimpiga kwa ngumi maeneo ya kichwani na tumboni, Bahati Kabanda maarufu kama Masika,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhnVftMkqyjtUlp2oOi8bC8eKM5uoNzfF3ZfOt0FbstVJ7ezGJj20BbqOoDuoGKKPvo155Kl6F*-PoDYOgu-pTJQ/ulihoeness_uzqg74l0gmyrzsky6qgbfvto.jpg?width=650)
RAIS WA BAYERN MUNICH AHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 3 KWA KUKWEPA KODI