Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dereva wa teksi ya Uber afungwa maisha

Dereva wa teksi wa kampuni inayotoa huduma ya pamoja ya teksi- Uber, amehukumiwa maisha jela nchini India kwa kumbaka abiria wake

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Dereva teksi apotea

DEREVA teksi wa Maili Moja na mkazi wa Mwendapole mjini hapa, Richard Ponera (36) amepotea katika mazingira ya kutatanisha baada ya kukodiwa na watu wasiofahamika.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Dereva teksi na akili za kuchungulia

HABARI za siku tele abiria wa teksi yangu hii, ambayo hata hivyo, kwa muda mrefu imekuwa katika mkwamo kuanzia wa kutokukamilika kwa matengenezo kule gereji hadi kufanya malipo kwa ajili ya leseni hizi kadhaa ambazo ni lazima niwe nazo kama dereva teksi.

Lakini salamu pia kwenu ninyi ambao si abiria wa teksi yangu, kuanzia ninyi wenye usafiri binafsi na wale wenzangu na mimi, wenye kutegemea zaidi usafiri wa umma kama daladala, na hata wale wengine watumiaji wa bajaji au...

 

11 years ago

Mwananchi

Kutoka dereva teksi hadi mwigizaji nyota wa Siri ya Mtungi

Si jambo rahisi kuamini kwamba Daudi Michael Tairo, anayefahamika zaidi kwa jina la Duma ndani ya tamthilia ya Siri ya Mtungi, aliwahi kuwa dereva teksi kwa miaka minne mfululizo.

 

10 years ago

Habarileo

Dereva teksi afumaniwa, auawa kwa kuchomwa kisu kifuani

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Mary NzukiDEREVA teksi Hamis Seleman (18), mkazi wa Vingunguti jijini Dar es Salaam, amekufa baada ya kuchomwa kisu kifuani na Ali Kimodo, aliyemfumania akiwa na mpenzi wake.

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI LAKAMATA WATATU KWA TUHUMA ZA KUMUUA DEREVA WA UBER

JESHI la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya dereva tax (UBER) aliyefahamika kwa jina la Joseph Tillya Mpokala,(51),Mkazi wa Mbezi kwa Msuguli.

Watuhumiwa hao ni Godson Laurent Mzaura,(29),Mkazi wa Mbezi Beach,Mpiga picha, Said Mohamed Mahadhi (38),Mkazi wa Afrikana,Fundi simu  na Denis Urassa @ Pasua,(45), Mkazi wa Makongo Juu,Fundi simu.
Mnamo tarehe 26.05.2020 Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dsm lilipata taarifa kutoka kwa mke wa marehemu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Brotherhood afungwa maisha

Mahakama moja nchini Misri imempatia kifungo cha maisha kiongozi wa Muslim Brotherhood Mohammed Badie

 

10 years ago

BBCSwahili

Muhubiri mwislamu afungwa maisha USA

Mhubiri wa kiislamu Abu Hamza amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani kwa makosa ya ugaidi katika mahakama moja mjini New York.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mhubiri afungwa jela maisha Rwanda

Mahakama Kuu nchini Rwanda imemhukumu kifungo cha maisha jela mhubiri aliyehusika katika mauaji ya kimbari ya 1994.

 

11 years ago

Habarileo

Afungwa maisha kwa kumnajisi mtoto

MKAZI wa mtaa wa Nsemulwa, Athuman Mussa (54) amehukumiwa kifungo cha maisha jela na Mahakama ya Wilaya ya Mpanda, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumnajisi mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minne mdomoni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani