Dereva wa teksi ya Uber afungwa maisha
Dereva wa teksi wa kampuni inayotoa huduma ya pamoja ya teksi- Uber, amehukumiwa maisha jela nchini India kwa kumbaka abiria wake
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Aug
Dereva teksi apotea
DEREVA teksi wa Maili Moja na mkazi wa Mwendapole mjini hapa, Richard Ponera (36) amepotea katika mazingira ya kutatanisha baada ya kukodiwa na watu wasiofahamika.
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Dereva teksi na akili za kuchungulia
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Kutoka dereva teksi hadi mwigizaji nyota wa Siri ya Mtungi
10 years ago
Habarileo03 Jan
Dereva teksi afumaniwa, auawa kwa kuchomwa kisu kifuani
DEREVA teksi Hamis Seleman (18), mkazi wa Vingunguti jijini Dar es Salaam, amekufa baada ya kuchomwa kisu kifuani na Ali Kimodo, aliyemfumania akiwa na mpenzi wake.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AuRRxvOL4xY/XtesOcC_kNI/AAAAAAALshA/qx5AlXlhYlAUUNuWIZyrb8p44qAHGwJJgCLcBGAsYHQ/s72-c/29c207d22aa64313c559ca903989666e.jpg)
JESHI LA POLISI LAKAMATA WATATU KWA TUHUMA ZA KUMUUA DEREVA WA UBER
![](https://1.bp.blogspot.com/-AuRRxvOL4xY/XtesOcC_kNI/AAAAAAALshA/qx5AlXlhYlAUUNuWIZyrb8p44qAHGwJJgCLcBGAsYHQ/s400/29c207d22aa64313c559ca903989666e.jpg)
Watuhumiwa hao ni Godson Laurent Mzaura,(29),Mkazi wa Mbezi Beach,Mpiga picha, Said Mohamed Mahadhi (38),Mkazi wa Afrikana,Fundi simu na Denis Urassa @ Pasua,(45), Mkazi wa Makongo Juu,Fundi simu.
Mnamo tarehe 26.05.2020 Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dsm lilipata taarifa kutoka kwa mke wa marehemu...
11 years ago
BBCSwahili05 Jul
Kiongozi wa Brotherhood afungwa maisha
10 years ago
BBCSwahili10 Jan
Muhubiri mwislamu afungwa maisha USA
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Mhubiri afungwa jela maisha Rwanda
11 years ago
Habarileo22 Feb
Afungwa maisha kwa kumnajisi mtoto
MKAZI wa mtaa wa Nsemulwa, Athuman Mussa (54) amehukumiwa kifungo cha maisha jela na Mahakama ya Wilaya ya Mpanda, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumnajisi mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minne mdomoni.