Muhubiri mwislamu afungwa maisha USA
Mhubiri wa kiislamu Abu Hamza amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani kwa makosa ya ugaidi katika mahakama moja mjini New York.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili05 Jul
Kiongozi wa Brotherhood afungwa maisha
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Dereva wa teksi ya Uber afungwa maisha
11 years ago
Habarileo22 Feb
Afungwa maisha kwa kumnajisi mtoto
MKAZI wa mtaa wa Nsemulwa, Athuman Mussa (54) amehukumiwa kifungo cha maisha jela na Mahakama ya Wilaya ya Mpanda, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumnajisi mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minne mdomoni.
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Mhubiri afungwa jela maisha Rwanda
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Mhubiri wa Canada afungwa maisha Korea Kaskazini
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Mchungaji afungwa maisha kwa kumbaka mwanawe
10 years ago
Mtanzania16 May
Gaidi aliyelipua Ubalozi Dar afungwa maisha Marekani
WASHINGTON, Marekani
MSHIRIKA wa aliyekuwa gaidi namba moja duniani, Osama bin Laden, Khaled al-Fawwaz, amehukumiwa kifungo cha maisha jela nchini Marekani.
Khaled al-Fawwaz amehukumiwa kifungo hicho baada ya kukutwa na tuhuma za kujihusisha na mpango wa mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea katika Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania na Kenya mwaka 1998.
Kwa mujibu wa mtandao wa habari wa AP, hukumu hiyo ilitolewa na Jaji Lewis Kaplan wa Mahakama ya Manhattan, iliyopo mjini New...
10 years ago
Habarileo20 Dec
Mtanzania afungwa maisha Australia kwa kuua wanawe
MTANZANIA Charles Mihayo (36), ambaye amechukua uraia wa Australia, amehukumiwa kifungo cha maisha jela, baada ya kupatikana na hatia ya kuua watoto wake wawili wa kike Aprili mwaka huu.
5 years ago
New Day Live24 Feb
Credit Settlement Market with Eminent Key Players and Future Outlook to 2026 | Guardian Debt Relief (USA), Freedom Debt Relief (USA), Debt Negotiation Services (USA)