Gaidi aliyelipua Ubalozi Dar afungwa maisha Marekani
WASHINGTON, Marekani
MSHIRIKA wa aliyekuwa gaidi namba moja duniani, Osama bin Laden, Khaled al-Fawwaz, amehukumiwa kifungo cha maisha jela nchini Marekani.
Khaled al-Fawwaz amehukumiwa kifungo hicho baada ya kukutwa na tuhuma za kujihusisha na mpango wa mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea katika Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania na Kenya mwaka 1998.
Kwa mujibu wa mtandao wa habari wa AP, hukumu hiyo ilitolewa na Jaji Lewis Kaplan wa Mahakama ya Manhattan, iliyopo mjini New...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5HOowEdkBCg/Vh7VPwO9-nI/AAAAAAAH_-Y/bAH3KnLKwik/s72-c/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
UBALOZI WA MAREKANI DAR ES SALAAM MNADA WA HADHARA:
![](http://1.bp.blogspot.com/-5HOowEdkBCg/Vh7VPwO9-nI/AAAAAAAH_-Y/bAH3KnLKwik/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z-A24MxWBlw/Vh7VQHkgowI/AAAAAAAH_-c/ZyetRsFdAnk/s640/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
MALI ZITAKAZOUZWA: Computer sets, Toshiba laptop, Notebook (Laptop), Colour Laser printer, HP Design jet plotter, Xerox Photocopy m/c, Canon Photocopy m/c, Mashuatec Photocopy m/c, OCE Photocopy m/c, Fax machines, UPS, Electric typewriters,...
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Neno ‘gaidi’ linavyopotoshwa nchini Marekani
HIVI karibuni nchini Marekani, kijana wa kizungu mwenye umri wa miaka 21, Dylann Roof, aliingia
Nizar Visram
10 years ago
Michuzi10 Jul
UBALOZI WA MAREKANI DAR ES SALAAM: MNADA WA HADHARA JUMAMOSI JULAI 11, 2015
11 years ago
BBCSwahili05 Jul
Kiongozi wa Brotherhood afungwa maisha
10 years ago
BBCSwahili10 Jan
Muhubiri mwislamu afungwa maisha USA
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Mhubiri afungwa jela maisha Rwanda
11 years ago
Habarileo22 Feb
Afungwa maisha kwa kumnajisi mtoto
MKAZI wa mtaa wa Nsemulwa, Athuman Mussa (54) amehukumiwa kifungo cha maisha jela na Mahakama ya Wilaya ya Mpanda, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumnajisi mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minne mdomoni.
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Dereva wa teksi ya Uber afungwa maisha
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Mhubiri wa Canada afungwa maisha Korea Kaskazini