Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gaidi aliyelipua Ubalozi Dar afungwa maisha Marekani

A courtroom sketch shows Khalid al-Fawwaz at the New York federal courtWASHINGTON, Marekani

MSHIRIKA wa aliyekuwa gaidi namba moja duniani, Osama bin Laden, Khaled al-Fawwaz, amehukumiwa kifungo cha maisha jela nchini Marekani.

Khaled al-Fawwaz amehukumiwa kifungo hicho baada ya kukutwa na tuhuma za kujihusisha na mpango wa mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea katika Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania na Kenya mwaka 1998.

Kwa mujibu wa mtandao wa habari wa AP, hukumu hiyo ilitolewa na Jaji Lewis Kaplan wa Mahakama ya Manhattan, iliyopo mjini New...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

UBALOZI WA MAREKANI DAR ES SALAAM MNADA WA HADHARA:


UNIVERSAL AUCTION CENTRE Kwa idhini waliyopewa na Ubalozi wa Marekani watauza kwa mnada wa hadhara magari, fork lift, makontena na vifaa vya electronic tarehe 17 October, 2015 Jumamosi saa 4:00 asubuhi. Mnada utafanyika Golden Resort Sinza,  Lion Street.
MALI ZITAKAZOUZWA: Computer sets, Toshiba laptop, Notebook (Laptop), Colour Laser printer, HP Design jet plotter, Xerox Photocopy m/c, Canon Photocopy m/c, Mashuatec Photocopy m/c, OCE Photocopy m/c, Fax machines, UPS, Electric typewriters,...

 

10 years ago

Raia Mwema

Neno ‘gaidi’ linavyopotoshwa nchini Marekani

HIVI karibuni nchini Marekani, kijana wa kizungu mwenye umri wa miaka 21, Dylann Roof, aliingia

Nizar Visram

 

10 years ago

Michuzi

UBALOZI WA MAREKANI DAR ES SALAAM: MNADA WA HADHARA JUMAMOSI JULAI 11, 2015

  UNIVERSAL AUCTION CENTRE Kwa idhini waliyopewa na Ubalozi wa Marekani watauza kwa mnada wa hadhara gari, generator, fanicha za ofisi na nyumbani,  makontena na mashine za gym   tarehe 11 Julai, 2015 Jumamosi saa 3:00 asubuhi. Mnada utafanyika Golden Resort Sinza,  Lion Street.MALI ZITAKAZOUZWA:sofa sets, chest drawer, recliner, dressers, coffee table, book shelve, meza za ofisi/viti, dining table/chairs, carpet, hoover,  vitanda, magodoro, fridges, freezer, cookers, TV set, washer, dryer,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Brotherhood afungwa maisha

Mahakama moja nchini Misri imempatia kifungo cha maisha kiongozi wa Muslim Brotherhood Mohammed Badie

 

10 years ago

BBCSwahili

Muhubiri mwislamu afungwa maisha USA

Mhubiri wa kiislamu Abu Hamza amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani kwa makosa ya ugaidi katika mahakama moja mjini New York.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mhubiri afungwa jela maisha Rwanda

Mahakama Kuu nchini Rwanda imemhukumu kifungo cha maisha jela mhubiri aliyehusika katika mauaji ya kimbari ya 1994.

 

11 years ago

Habarileo

Afungwa maisha kwa kumnajisi mtoto

MKAZI wa mtaa wa Nsemulwa, Athuman Mussa (54) amehukumiwa kifungo cha maisha jela na Mahakama ya Wilaya ya Mpanda, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumnajisi mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minne mdomoni.

 

9 years ago

BBCSwahili

Dereva wa teksi ya Uber afungwa maisha

Dereva wa teksi wa kampuni inayotoa huduma ya pamoja ya teksi- Uber, amehukumiwa maisha jela nchini India kwa kumbaka abiria wake

 

9 years ago

BBCSwahili

Mhubiri wa Canada afungwa maisha Korea Kaskazini

Mahakama ya juu zaidi Korea Kaskazini imemhukumu mhubiri kutoka Canada kifungo cha maisha jela na kazi ngumu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani