Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchungaji afungwa kwa ubakaji

>Kiongozi wa kanisa moja nchini Zimbabwe amehukumiwa kifungo cha miaka 40 jela kwa kosa la kuwabaka wanawake watatu na kukutwa na vifaa vya kuchochea kujamiiana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mchungaji afungwa maisha kwa kumbaka mwanawe

Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemuhukumu kifungo cha maisha jela Mchungaji wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God, Athanas Ngomai (30), baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wake mwenye umri wa miaka 15.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Afungwa miaka 70 kwa kulawiti

MAHAKAMA ya Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi  imemhukumu kifungo cha miaka 70, Forensi  Albeto (34) baada ya kupatikana na hatia  ya kumbaka na kumlawiti mtoto wake wa kambo mwenye...

 

11 years ago

Habarileo

Afungwa kwa `kubambikia’ mwanamume mtoto

MAHAKAMA ya Mwanzo Old Shinyanga katika Manispaa ya Shinyanga, imemhukumu Pendo Joachim (33) mkazi wa kijiji hicho, kutumikia kifungo cha nje cha mwaka mmoja na kutakiwa kulipa faini ya Sh milioni moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Afungwa miaka 8 kwa kumuoza bintiye

Raia mmoja wa Australia ambaye alipanga ndoa ya kiislamu kumuoza bintiye mdogo mwenye umri wa miaka 12 amehukumiwa miaka minane jela.

 

11 years ago

Habarileo

Afungwa maisha kwa kumnajisi mtoto

MKAZI wa mtaa wa Nsemulwa, Athuman Mussa (54) amehukumiwa kifungo cha maisha jela na Mahakama ya Wilaya ya Mpanda, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumnajisi mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minne mdomoni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Daktari afungwa kwa ukeketaji Misri

Katika kesi cha kipekee Misri, daktari mmoja ametiwa mbaroni kwa kosa la kumkeketa msichana mwenye umri wa miaka kumi na tatu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jenerali afungwa kwa kushindwa na Boko Haram

Mahakama ya kijeshi Nigeria imemhukumu kifungo cha miezi sita jela jenerali aliyeongoza wanajeshi walioshindwa vibaya na Boko Haram.

 

5 years ago

BBCSwahili

Afungwa siku thelathini kwa kulamba 'Ice Cream'

Mwanamme mmoja kutoka Texas aliyejirekodi akilamba Ice cream na kisha kuirudisha kwenye jokovu katika duka la Walmart amefungwa kwa siku 30

 

10 years ago

Habarileo

Mtanzania afungwa maisha Australia kwa kuua wanawe

Charles Mihayo akipelekwa gerezani baada ya hukumu yake.MTANZANIA Charles Mihayo (36), ambaye amechukua uraia wa Australia, amehukumiwa kifungo cha maisha jela, baada ya kupatikana na hatia ya kuua watoto wake wawili wa kike Aprili mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani