Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afungwa kwa `kubambikia’ mwanamume mtoto

MAHAKAMA ya Mwanzo Old Shinyanga katika Manispaa ya Shinyanga, imemhukumu Pendo Joachim (33) mkazi wa kijiji hicho, kutumikia kifungo cha nje cha mwaka mmoja na kutakiwa kulipa faini ya Sh milioni moja.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Afungwa maisha kwa kumnajisi mtoto

MKAZI wa mtaa wa Nsemulwa, Athuman Mussa (54) amehukumiwa kifungo cha maisha jela na Mahakama ya Wilaya ya Mpanda, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumnajisi mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minne mdomoni.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtoto wa Rais Banda afungwa jela

Mtoto wa Rais wa zamani wa Zambia, Andrew Banda amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela, baada ya kutiwa hatiani katika makosa ya kuhusika na rushwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto afungwa kamba kuzuia asitoroke

MTOTO Samir anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka minne hadi mitano, mkazi wa Mtaa wa Langoni katika Manispaa ya Moshi, amekuwa akifungwa kamba mguuni na bibi yake kwa lengo la...

 

5 years ago

BBCSwahili

Msururu wa ubakaji: Mwanamume akamatwa kwa kuwabaka wanawake 40 Nigeria

Polisi nchini Nigeria wanasema mwanamume huyo alipatikana akijificha katika chumba cha watoto lakini majirani walimkamata akijaribu kutoroka.

 

11 years ago

Mwananchi

Mchungaji afungwa kwa ubakaji

>Kiongozi wa kanisa moja nchini Zimbabwe amehukumiwa kifungo cha miaka 40 jela kwa kosa la kuwabaka wanawake watatu na kukutwa na vifaa vya kuchochea kujamiiana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Afungwa miaka 70 kwa kulawiti

MAHAKAMA ya Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi  imemhukumu kifungo cha miaka 70, Forensi  Albeto (34) baada ya kupatikana na hatia  ya kumbaka na kumlawiti mtoto wake wa kambo mwenye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Daktari afungwa kwa ukeketaji Misri

Katika kesi cha kipekee Misri, daktari mmoja ametiwa mbaroni kwa kosa la kumkeketa msichana mwenye umri wa miaka kumi na tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Afungwa miaka 8 kwa kumuoza bintiye

Raia mmoja wa Australia ambaye alipanga ndoa ya kiislamu kumuoza bintiye mdogo mwenye umri wa miaka 12 amehukumiwa miaka minane jela.

 

9 years ago

Mwananchi

Mchungaji afungwa maisha kwa kumbaka mwanawe

Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemuhukumu kifungo cha maisha jela Mchungaji wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God, Athanas Ngomai (30), baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wake mwenye umri wa miaka 15.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani