Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msururu wa ubakaji: Mwanamume akamatwa kwa kuwabaka wanawake 40 Nigeria

Polisi nchini Nigeria wanasema mwanamume huyo alipatikana akijificha katika chumba cha watoto lakini majirani walimkamata akijaribu kutoroka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Baba mbaroni kwa kuwabaka watoto wake

Mkazi mmoja wa Miembe Saba wilayani Kibaha mkoani Pwani amekamatwa na polisi akituhumiwa kuwabaka watoto wake wawili wadogo kwa zaidi ya miaka miwili sasa.

 

10 years ago

Habarileo

Anayetuhumiwa kuua wanawake Arusha akamatwa

MTU mmoja ambaye inadaiwa kinara wa kuua na kujeruhi wanawake maarufu, wafanyabiashara na wenye vyeo katika ofisi mbalimbali jijini Arusha, Adamu Mussa (30) mkazi wa Majengo Juu jijini humo ametiwa mbaroni.

 

5 years ago

BBCSwahili

Nigeria ni miongoni mwa nchi zilizo hatari ulimwenguni kwa wanawake kuishi

Nigeria ni nchi ya 9 hatari ulimwenguni kwa usalama wa wanawake

 

10 years ago

GPL

HAMISA APANGUA MSURURU WA WANAUME

Stori: Musa Mateja
MODO maarufu Bongo, Hamisa Mabeto amekanusha vikali taarifa za kuwa ana msururu wa mabwana kama inavyosambaa kwenye mitandao ya kijamii. Modo maarufu Bongo, Hamisa Mabeto. Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, Hamisa alisema anawashangaa watu ambao wanamtaja kuwa na msururu wa wasanii ambao anafanya nao kazi wakiwemo wadau mbalimbali wa muziki kitu ambacho hakina ukweli wowote. “Nazushiwa tu...

 

11 years ago

Habarileo

Afungwa kwa `kubambikia’ mwanamume mtoto

MAHAKAMA ya Mwanzo Old Shinyanga katika Manispaa ya Shinyanga, imemhukumu Pendo Joachim (33) mkazi wa kijiji hicho, kutumikia kifungo cha nje cha mwaka mmoja na kutakiwa kulipa faini ya Sh milioni moja.

 

5 years ago

BBCSwahili

Rusty Hutson: Mwanamume aliyekuwa milionea kwa kununua visima 60,000 vya mafuta na gesi

Rusty Hutson Jr ni mkuu wa shirika la kawi la Marekani linalokuwa kwa kasi.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kizimbani kwa ubakaji


NA EMMANUEL MOHAMED
MKAZI wa Dar es Saalam Juma Omary, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kujibu shitaka la ubakaji.
Omary (65), alisemewa shitaka hilo jana, mahakamani hapo na Mwendesha Mashitaka Faustine Sylvester mbele ya Hakimu Boniphace Lihamwike.
Sylvester alidai kuwa mshitakiwa alitenda kosa hilo Agosti 19, mwaka huu, muda usiofahamika, katika mtaa wa Mkunguni, Kinondoni.
Mshitakiwa alikana shitaka hilo na alirudishwa rumande, baada ya kushindwa kutimiza...

 

11 years ago

Mwananchi

Mchungaji afungwa kwa ubakaji

>Kiongozi wa kanisa moja nchini Zimbabwe amehukumiwa kifungo cha miaka 40 jela kwa kosa la kuwabaka wanawake watatu na kukutwa na vifaa vya kuchochea kujamiiana.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbasha kizimbani kwa ubakaji

Mwimbaji wa nyimbo za Injili na mfanyabiashara, Emmanuel Mbasha amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kwa mashtaka ya ubakaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani