Msururu wa ubakaji: Mwanamume akamatwa kwa kuwabaka wanawake 40 Nigeria
Polisi nchini Nigeria wanasema mwanamume huyo alipatikana akijificha katika chumba cha watoto lakini majirani walimkamata akijaribu kutoroka.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Mar
Baba mbaroni kwa kuwabaka watoto wake
10 years ago
Habarileo28 Aug
Anayetuhumiwa kuua wanawake Arusha akamatwa
MTU mmoja ambaye inadaiwa kinara wa kuua na kujeruhi wanawake maarufu, wafanyabiashara na wenye vyeo katika ofisi mbalimbali jijini Arusha, Adamu Mussa (30) mkazi wa Majengo Juu jijini humo ametiwa mbaroni.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Nigeria ni miongoni mwa nchi zilizo hatari ulimwenguni kwa wanawake kuishi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvoxp7jhEtJCpOj1Ss5fCCT611Ya32adBrwo*RRvqwY099sOYuaUs6U70h6QlR91xAQoeby5sz4DFa*X5HsC4K1Bwp30YhZ7/hamisa.jpg)
HAMISA APANGUA MSURURU WA WANAUME
11 years ago
Habarileo03 May
Afungwa kwa `kubambikia’ mwanamume mtoto
MAHAKAMA ya Mwanzo Old Shinyanga katika Manispaa ya Shinyanga, imemhukumu Pendo Joachim (33) mkazi wa kijiji hicho, kutumikia kifungo cha nje cha mwaka mmoja na kutakiwa kulipa faini ya Sh milioni moja.
5 years ago
BBCSwahili26 May
Rusty Hutson: Mwanamume aliyekuwa milionea kwa kununua visima 60,000 vya mafuta na gesi
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
Kizimbani kwa ubakaji
NA EMMANUEL MOHAMED
MKAZI wa Dar es Saalam Juma Omary, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kujibu shitaka la ubakaji.
Omary (65), alisemewa shitaka hilo jana, mahakamani hapo na Mwendesha Mashitaka Faustine Sylvester mbele ya Hakimu Boniphace Lihamwike.
Sylvester alidai kuwa mshitakiwa alitenda kosa hilo Agosti 19, mwaka huu, muda usiofahamika, katika mtaa wa Mkunguni, Kinondoni.
Mshitakiwa alikana shitaka hilo na alirudishwa rumande, baada ya kushindwa kutimiza...
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Mchungaji afungwa kwa ubakaji
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Mbasha kizimbani kwa ubakaji