Anayetuhumiwa kuua wanawake Arusha akamatwa
MTU mmoja ambaye inadaiwa kinara wa kuua na kujeruhi wanawake maarufu, wafanyabiashara na wenye vyeo katika ofisi mbalimbali jijini Arusha, Adamu Mussa (30) mkazi wa Majengo Juu jijini humo ametiwa mbaroni.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Nov
Meya anayetuhumiwa kuua akamatwa Mexico
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-a29hiDWqrh8/XkmL55-bHII/AAAAAAALdoQ/6RbKJeFKkiQ2dSUuC8plBuql03V6TsX3gCLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%252810%2529.jpg)
Makete:Wananchi waadhimia kufukuzwa mwananchi anayetuhumiwa kuwaingilia wanawake kishirikina
![](https://1.bp.blogspot.com/-a29hiDWqrh8/XkmL55-bHII/AAAAAAALdoQ/6RbKJeFKkiQ2dSUuC8plBuql03V6TsX3gCLcBGAsYHQ/s320/images%2B%252810%2529.jpg)
Wananchi wa kitongoji cha Ikonda bondeni kijiji cha Ikonda wilayani Makete mkoani Njombe wamemfukuza mkazi aliyehamia katika kitongoji hicho akitokea kijiji cha Ilevelo Bw. Mateso Mbilinyi wakimtuhumu kuwaingilia kimwili kwa njia ya ushirikina baadhi ya wanawake wa kitongoji hicho.
Katika mkutano wa kitongoji hicho uliofanyika kwenye kitongoji hicho wananchi wameelekezea tuhuma kwa Bw. Mateso wakisema amekuwa akiwaingilia kimwili kwa njia za ushirikina huku...
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Anayedaiwa kuua polisi Bukombe, akamatwa na SMG sita, mabomu 11
5 years ago
BBCSwahili21 May
Wasichana Pakistan: Mwanaume akamatwa kwa kuua binamu zake juu ya video tatanishi'
10 years ago
Habarileo11 Oct
Aliyetuhumiwa kuua wanawake auawa
MTUHUMIWA wa mauaji ya wanawake na watoto mkoani hapa, Ramadhan Jumanne (37) ameuawa katika tukio la majibizano ya risasi na askari polisi.
9 years ago
Mtanzania04 Sep
Padri mtarajiwa akamatwa kwa mauaji Arusha
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
JESHI la Polisi mkoani Arusha linamshikilia mwanafunzi wa mwaka wa tano wa masomo ya falsafa katika Chuo cha Dini cha Kanisa Katoliki kilichopo Segerea, Dar es Salaam kwa tuhuma za mauaji.
Elijus Lyatuu (31), anashikiliwa kwa tuhuma za kumuua Alfred Kimbaa (18) maarufu kwa jina la Mandela mwanzoni mwa wiki katika Hoteli ya A Square Belmont katikati ya Jiji la Arusha.
Mtuhumiwa huyo anadaiwa alimuua Kimbaa usiku wa kuamkia Jumatatu katika hoteli hiyo na kuchukua baadhi...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-bYNeliYF8NM/VekpLbG1ZnI/AAAAAAABUyY/8sspRL5Ao8Q/s72-c/275bLiberatus-Sabas.jpg)
ALIYEFANYA MAUAJI YA KINYAMA JIJINI ARUSHA AKAMATWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bYNeliYF8NM/VekpLbG1ZnI/AAAAAAABUyY/8sspRL5Ao8Q/s640/275bLiberatus-Sabas.jpg)
Mtuhumiwa mauaji ya kutisha ya kumkata viungo vya mwili marehemu zikiwemo sehemu za siri, viganja vya mikono na matiti mauaji yaliotokea kwenye hotel ya A Square Belmot amekamatwa na jeshi la polisi mkoani Arusha.
Akiongea na vyombo vya habari ofisini kwake kamanda wa polisi, Naibu kamishna wa jeshi la polisi mkoani hapa Liberatus Sabas (pichani) alisema kuwa mtuhumiwa alikamatwa juzi majira ya asubuhi katika eneo la TRA House jijini hapa.
Kamanda Sabas alisema kuwa...
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Msururu wa ubakaji: Mwanamume akamatwa kwa kuwabaka wanawake 40 Nigeria
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6rYIJZ9kmEY/VeloXU5D-CI/AAAAAAAC-eA/icSQwmYIR_Y/s72-c/sabas-may10-201328.jpg)
MTUHUMIWA WA MAUAJI YA KUTISHA YALIYOTOKEA MKOANI ARUSHA AKAMATWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-6rYIJZ9kmEY/VeloXU5D-CI/AAAAAAAC-eA/icSQwmYIR_Y/s640/sabas-may10-201328.jpg)
Akiongea na vyombo vya habari ofisini kwake kamanda wa polisi, Naibu kamishna wa jeshi la polisi mkoani hapa Liberatus Sabas alisema kuwa mtuhumiwa alikamatwa juzi majira ya asubuhi katika eneo la TRA House jijini Arusha.
Sabas ...