Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyetuhumiwa kuua wanawake auawa

MTUHUMIWA wa mauaji ya wanawake na watoto mkoani hapa, Ramadhan Jumanne (37) ameuawa katika tukio la majibizano ya risasi na askari polisi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ALIYETAKA KUUA KWA PANGA, AUAWA

Na Gregory Nyankaira, Butiama BULEMO Mugeta (36),  (pichani) mkazi wa Kitongoji cha Kibisa, Kijiji cha Nyamisisi Wilaya ya Butiama, ameuawa kinyama kwa kupondwa na mawe na kupasuliwa kichwa na wananchi wenye hasira kali akituhumiwa kujihusisha na matukio kadhaa ya wizi.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1fChjTE

 

11 years ago

Habarileo

Anayetuhumiwa kuua wanawake Arusha akamatwa

MTU mmoja ambaye inadaiwa kinara wa kuua na kujeruhi wanawake maarufu, wafanyabiashara na wenye vyeo katika ofisi mbalimbali jijini Arusha, Adamu Mussa (30) mkazi wa Majengo Juu jijini humo ametiwa mbaroni.

 

11 years ago

Mwananchi

Jambazi tishio kwa wanawake Arusha auawa

Jeshi la Polisi mkoani Arusha limefanikiwa kumuua jambazi aliyekuwa akiutikisa mkoa huo kwa matukio ya kuteka na kuwapora wanawake wenye magari na kisha kuwapiga risasi.

 

10 years ago

GPL

ALIYETUHUMIWA MWIZI WA MTOTO ANASWA!

Dustan Shekidele, Moro SIKU chache baada ya gazeti hili kuripoti kuibiwa kwa mtoto lrene Daniel mwenye umri wa siku 34, mkazi wa Kilakala, mkoani hapa, habari njema ni kwamba mwizi wa mtoto huyo amenaswa laivu, Ijumaa Wikienda lina full stori. Huyu ndio mama aliyeibiwa mtoto wake Mei 8 mwaka huu huko mkoani Morogoro. Mtoto huyo aliibiwa kimafia Mei 8, mwaka huu wakati mama yake Martha Masawe akiwa kwenye foleni katika Kliniki ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mvulana aliyetuhumiwa kuwa 'gaidi' adai fidia

Mvulana wa umri wa miaka 14 aliyezoa umaarufu baada ya kukamatwa kwa kupeleka saa ya kujitengenezea shuleni, anadai fidia ya dola milioni 15 ($15m).

 

9 years ago

Dewji Blog

Kijana aliyetuhumiwa kufanya jaribio la wizi aambulia kipigo cha ‘Mbwa mwizi’ na kulazwa Hospitali ya Wilaya ya Igunga

SAM_0331

Kijana aliyefanya jaribio la kuiba na kutofanikiwa zaidi ya kuambulia kipigo cha ‘Mbwa mwizi’ kutoka kwa wananchi wenye hasira kali mjini Igunga akipatiwa huduma ya kwanza mara tu baada ya kufikishwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga.(Picha zote na Jumbe Ismailly).

SAM_0330

SAM_0329

Mtuhumiwa huyo kabla ya kushushwa kwenye gari la polisi.

Na Jumbe Ismailly, Igunga                                        

KIJANA mmoja ambaye hakuweza kutambulika mara moja amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga,...

 

10 years ago

GPL

WANAWAKE WA MCD WASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA AINA YAKE

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa (MSD), Bw. Cosmas Mwaifani akifungua sherehe za Siku ya wanawake Duniani.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanawake wa MSD washerehekea siku ya wanawake duniani kwa aina yake

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa (MSD), Bw. Cosmas Mwaifani akifungua sherehe za Siku ya Akina Mama Duniani zilizofanyika.

Bw. Mwaifani akimkaribisha mgeni rasmi wa sherehe hizo, Bi.Helen Mwakipunda ambaye ni Mhasibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.

Bi. Mwakipunda akizungumza na wafanyakazi wa (MSD) wakati wa sherehe hizo.

Daktari Bingwa wa Magonjwa ya akina mama kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Matlida Ngarina aliyealikwa kwa ajili ya kutoa mada kuhusiana na magonjwa ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani