ALIYETAKA KUUA KWA PANGA, AUAWA
![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0Le58*psIQf2aEfht84gKFIQBLfg7PX2o7QS-xAdHXpNwYcwXTQ3WIrX3g8xtpd4avjKBfHqq79m0kejKOSp00R/Panga.gif?width=650)
Na Gregory Nyankaira, Butiama BULEMO Mugeta (36), (pichani) mkazi wa Kitongoji cha Kibisa, Kijiji cha Nyamisisi Wilaya ya Butiama, ameuawa kinyama kwa kupondwa na mawe na kupasuliwa kichwa na wananchi wenye hasira kali akituhumiwa kujihusisha na matukio kadhaa ya wizi. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1fChjTE
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM05 Feb
ASKARI AUAWA KWA PANGA AKIMUOKOA MTOTO HUKO DODOMA
Polisi mkoani Dodoma wanamsaka mkazi wa Chang’ombe Juu, Tisi Malya kwa kumuua askari polisi kwa kumcharanga mapanga wakati akijaribu kumuokoa mtoto wa miezi minane aliyekuwa anataka kuuawa na mtu huyo.
![](http://api.ning.com/files/nNOqzuU--h-uEEBiOCalhnYRgBH0LlRYVJFuDWxPNgk3gp33izCExG5EWgaHTacgCHhuC9AJRwR59EUpVN3MrFHeEQOMU8cB/POLISI.jpg?width=750)
![](http://api.ning.com/files/nNOqzuU--h-bigVeJA7VRywinS9lHXYfcsSpxe*IvX2GZifrXKzGL2ftt2iRO8ZqtC5WSTBW5KnJNZKBiJzmLnF*hW-Z49vY/POLISI1.jpg?width=750)
10 years ago
Habarileo11 Oct
Aliyetuhumiwa kuua wanawake auawa
MTUHUMIWA wa mauaji ya wanawake na watoto mkoani hapa, Ramadhan Jumanne (37) ameuawa katika tukio la majibizano ya risasi na askari polisi.
10 years ago
CloudsFM31 Oct
ASKARI POLISI AMKATA VIDOLE VINNE MFANYAKAZI WAKE KWA PANGA AKIMTUHUMU KWA KUMWIBIA DEKI YA VIDEO.
JESHI la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia askari wake WP Fatuma wa Kituo cha Polisi Igogo wilayani Nyamagana kwa kosa la kumjeruhi mtumishi wake wa ndani kwa mkumkata vidole vyake vinne vya mkono wa kulia kwa panga, akimtuhumu kumwibia Deki ya Video nyumbani kwake.
Tukio hilo la kujeruhiwa kijana Steven Magessa (18), lilitokea Oktoba 20 mwaka huu katika kijiji cha Magange Mugumu wilayani Serengeti mkoani Mara nyumbani kwao kijana huyo aliyekuwa amekimbilia huko baada ya kudaiwa kumwibia...
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Mtoto ajeruhi mzazi kwa panga
MKAZI wa kijiji cha Ndala, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, Andondile Mwasamlagila (50) amenusulika kufa baada ya kucharangwa na mapanga na mtoto wake, Yuda Mwasamlagila kutokana na ulevi wa kupindukia....
10 years ago
Mwananchi04 Aug
Panga la urais CCM kuhamia kwa wabunge
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Amuua jirani yake kwa rungu, panga
VILIO na simanzi vilitawala katika Kijiji cha Kikavu Chini, Kata ya Machame Kusini wilayani Hai, baada ya Alex Peter kudaiwa kumshambulia jirani yake aliyefahamika kwa jina la Pili Mnyamvua (65)...
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Mume ajinyonga baada ya kumuua mkewe kwa panga
10 years ago
Mwananchi16 Feb
MAONI: Panga pangua ya ratiba Ligi Kuu ni aibu kwa TFF
10 years ago
BBCSwahili28 Dec
Aliyetaka kumuua Papa John Paul amuenzi