Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ASKARI AUAWA KWA PANGA AKIMUOKOA MTOTO HUKO DODOMA

Polisi mkoani Dodoma wanamsaka mkazi wa Chang’ombe Juu, Tisi Malya kwa kumuua askari polisi kwa kumcharanga mapanga wakati akijaribu kumuokoa mtoto wa miezi minane aliyekuwa anataka kuuawa na mtu huyo.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma, David Misime amemtaja askari aliyeuawa jana majira ya saa 5:00 asubuhi kuwa ni Joseph Swai.Akisimulia mkasa huo kwa waandishi wa habari, Kamanda Misime alisema kuwa askari huyo aliitikia mwito uliofika kwake wa kuwepo kwa dalili ya tendo la jinai nyumbani...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ALIYETAKA KUUA KWA PANGA, AUAWA

Na Gregory Nyankaira, Butiama BULEMO Mugeta (36),  (pichani) mkazi wa Kitongoji cha Kibisa, Kijiji cha Nyamisisi Wilaya ya Butiama, ameuawa kinyama kwa kupondwa na mawe na kupasuliwa kichwa na wananchi wenye hasira kali akituhumiwa kujihusisha na matukio kadhaa ya wizi.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1fChjTE

 

10 years ago

CloudsFM

ASKARI POLISI AMKATA VIDOLE VINNE MFANYAKAZI WAKE KWA PANGA AKIMTUHUMU KWA KUMWIBIA DEKI YA VIDEO.

JESHI la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia askari wake WP Fatuma wa Kituo cha Polisi Igogo wilayani Nyamagana kwa kosa la kumjeruhi mtumishi wake wa ndani kwa mkumkata vidole vyake vinne vya mkono wa kulia kwa panga, akimtuhumu kumwibia Deki ya Video nyumbani kwake.Tukio hilo la kujeruhiwa kijana Steven Magessa (18), lilitokea Oktoba 20 mwaka huu katika kijiji cha Magange Mugumu wilayani Serengeti mkoani Mara nyumbani kwao kijana huyo aliyekuwa amekimbilia huko baada ya kudaiwa kumwibia...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mtoto ajeruhi mzazi kwa panga

MKAZI wa kijiji cha Ndala, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, Andondile Mwasamlagila (50) amenusulika kufa baada ya kucharangwa na mapanga na mtoto wake, Yuda Mwasamlagila kutokana na ulevi wa kupindukia....

 

10 years ago

GPL

POLISI ALIYEUAWA AKIMUOKOA MTOTO, HAYA NDIYO MANENO YAKE YA MWISHO!

Na Mwandishi Wetu/Uwazi KILA nafsi itaonja mauti! Maneno ya mwisho ya Koplo Joseph Isaac Swai (27) aliyeuawa kwa kucharangwa mapanga na Tisi Sirili Mallya (29) katika zoezi la kumwokoa mtoto Valerian Tisi (miezi nane) asichinjwe, yanazidi kuzua simanzi, Uwazi limenasa mkononi. Marehemu, Koplo Joseph Isaac Swai (27) enzi za uhai wake. Katikati ya wiki iliyopita, eneo la Chang’ombe mjini hapa, Koplo Swai aliyekuwa akitumia...

 

11 years ago

Mwananchi

Askari FFU Z’bar auawa kwa risasi

Askari wa Kikosi cha FFU, Mohamed Mjombo (Namba E 5607) ameuawa kwa kupigwa risas, huku mwingine akijeruhiwa baada ya majambazi kuvamia hoteli ya kitalii ya Pongwe Bay iliyo Pongwe mkoani Kusini Unguja.

 

9 years ago

Mwananchi

Askari auawa kwa kisu na mtangazaji wa redio

Askari polisi wa mjini Babati, Mkoa wa Manyara ameuawa kwa kuchomwa kisu na mtangazaji mmoja wa redio kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtoto auawa kwa kukatwa kichwa

 Mtoto wa kike mwenye umri wa miaka sita, jina linahifadhiwa ameuawa kikatili kwa kujeruhiwa vibaya sehemu zake za siri baada ya kunajisiwa, kisha kukatwa kichwani na watu ambao bado hawajajulikana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani