ASKARI AUAWA KWA PANGA AKIMUOKOA MTOTO HUKO DODOMA
Polisi mkoani Dodoma wanamsaka mkazi wa Chang’ombe Juu, Tisi Malya kwa kumuua askari polisi kwa kumcharanga mapanga wakati akijaribu kumuokoa mtoto wa miezi minane aliyekuwa anataka kuuawa na mtu huyo.
![](http://api.ning.com/files/nNOqzuU--h-uEEBiOCalhnYRgBH0LlRYVJFuDWxPNgk3gp33izCExG5EWgaHTacgCHhuC9AJRwR59EUpVN3MrFHeEQOMU8cB/POLISI.jpg?width=750)
![](http://api.ning.com/files/nNOqzuU--h-bigVeJA7VRywinS9lHXYfcsSpxe*IvX2GZifrXKzGL2ftt2iRO8ZqtC5WSTBW5KnJNZKBiJzmLnF*hW-Z49vY/POLISI1.jpg?width=750)
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0Le58*psIQf2aEfht84gKFIQBLfg7PX2o7QS-xAdHXpNwYcwXTQ3WIrX3g8xtpd4avjKBfHqq79m0kejKOSp00R/Panga.gif?width=650)
ALIYETAKA KUUA KWA PANGA, AUAWA
10 years ago
CloudsFM31 Oct
ASKARI POLISI AMKATA VIDOLE VINNE MFANYAKAZI WAKE KWA PANGA AKIMTUHUMU KWA KUMWIBIA DEKI YA VIDEO.
JESHI la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia askari wake WP Fatuma wa Kituo cha Polisi Igogo wilayani Nyamagana kwa kosa la kumjeruhi mtumishi wake wa ndani kwa mkumkata vidole vyake vinne vya mkono wa kulia kwa panga, akimtuhumu kumwibia Deki ya Video nyumbani kwake.
Tukio hilo la kujeruhiwa kijana Steven Magessa (18), lilitokea Oktoba 20 mwaka huu katika kijiji cha Magange Mugumu wilayani Serengeti mkoani Mara nyumbani kwao kijana huyo aliyekuwa amekimbilia huko baada ya kudaiwa kumwibia...
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Mtoto ajeruhi mzazi kwa panga
MKAZI wa kijiji cha Ndala, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, Andondile Mwasamlagila (50) amenusulika kufa baada ya kucharangwa na mapanga na mtoto wake, Yuda Mwasamlagila kutokana na ulevi wa kupindukia....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avqOshNr46D7vBhs9oF7yLzd3hNSR4mbmSNT3XhgNrYGIi**7YigpyyqJRjlmutkYl-scMHEmNmlkxwgprN4AElY/FRONTUWAZI.jpg)
POLISI ALIYEUAWA AKIMUOKOA MTOTO, HAYA NDIYO MANENO YAKE YA MWISHO!
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Askari FFU Z’bar auawa kwa risasi
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Askari auawa kwa kisu na mtangazaji wa redio
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Mtoto auawa kwa kukatwa kichwa
10 years ago
Michuzi31 Mar
10 years ago
Michuzi16 Mar