Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto auawa kwa kukatwa kichwa

 Mtoto wa kike mwenye umri wa miaka sita, jina linahifadhiwa ameuawa kikatili kwa kujeruhiwa vibaya sehemu zake za siri baada ya kunajisiwa, kisha kukatwa kichwani na watu ambao bado hawajajulikana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ajitolea majaribio ya kukatwa kichwa ili abadilishiwe mwili

Duniani kuna mambo. Wakati watu wengi hawapendi kusikia taarifa za vifo au kufanya jambo lolote linaloweza kuwasababishia kifo, huko Urusi jamaa mmoja amewashangaza wengi baada ya kutangaza kuwa yuko tayari kufanyiwa majaribio ya kukatwa kichwa chake ili kuunganishwe kwenye mwili wa mtu mwingine.

 

9 years ago

Mwananchi

Bodaboda auawa, anyofolewa kichwa na sehemu za siri

Watu wasiofahamika wamemuua kwa kumchinja mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda, Hosam Abdallahaman (18) na kutoweka na kichwa chake, sehemu zake za siri na pikipiki.

 

9 years ago

Mwananchi

Mwendesha bodaboda auawa, anyofolewa kichwa na sehemu za siri

Watu wasiofahamika wamemuua kwa kumchinja mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda, Hosam Abdallahaman (18) na kutoweka na kichwa chake, sehemu zake za siri na pikipiki.

 

10 years ago

CloudsFM

ASKARI AUAWA KWA PANGA AKIMUOKOA MTOTO HUKO DODOMA

Polisi mkoani Dodoma wanamsaka mkazi wa Chang’ombe Juu, Tisi Malya kwa kumuua askari polisi kwa kumcharanga mapanga wakati akijaribu kumuokoa mtoto wa miezi minane aliyekuwa anataka kuuawa na mtu huyo.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma, David Misime amemtaja askari aliyeuawa jana majira ya saa 5:00 asubuhi kuwa ni Joseph Swai.Akisimulia mkasa huo kwa waandishi wa habari, Kamanda Misime alisema kuwa askari huyo aliitikia mwito uliofika kwake wa kuwepo kwa dalili ya tendo la jinai nyumbani...

 

11 years ago

GPL

MTOTO AUAWA NA BABA YAKE KWA KUPIGWA NGUMI MKOANI MBEYA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya,SACP Ahmed Msangi. KATIKA TUKIO LA KWANZA:
MTOTO ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA VANESA PATRICK NJOJO (03) MKAZI WA ISISI, WILAYANI MBARALI ALIUAWA KWA KUPIGWA NGUMI NA BABA YAKE MZAZI AITWAYE PATRICK NJOJO (23) MKAZI WA ISISI. TUKIO HILO LIMETOKEA MNAMO TAREHE 26.04.2014 MAJIRA YA SAA 23:45 USIKU HUKO KATIKA KIJIJI CHA ISISI, KATA NA TARAFA YA RUJEWA, WILAYA YA MBARALI, MKOA WA MBEYA. INADAIWA KUWA...

 

10 years ago

Mwananchi

Mtoto aliyenusurika kifo baada ya kukatwa kimeo

>“Mwanangu aitwaye Leri (si jina halisi) mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi mitatu. Siku ya pili baada ya kumpeleka kwa mkata vimeo maeneo ya Kariakoo, nilikuwa na matumaini atapona kikohozi kumbe nimemuongezea matatizo. Hali yake ni mbaya.

 

11 years ago

GPL

MTOTO MWENYE UVIMBE WA AJABU KUKATWA MGUU LEO

Mtoto Hamis Liguya, 13, akiwa Hospitali ya Ganga, Combatore, Tamil Nadu nchini India. Stori: Imelda Mtema, India
HATIMAYE mtoto mwenye uvimbe wa ajabu, Hamis Liguya, 13, leo anatarajiwa kufanyiwa upasuaji kisha kukatwa mguu katika Hospitali ya Ganga, Combatore, Tamil Nadu nchini India. Hamis Liguya akiwa na madaktari. Hospitali hiyo ni maalum kwa ajili ya watu waliopata ajali na matatizo mbalimbali ya… ...

 

10 years ago

Michuzi

Familia ya mtoto aliyegongwa na fuso na kukatwa miguu anaomba msaada wa kisheria

Naibu Kamanda wa UVCCM ,Innocent Melleck akiwa na mama mzazi wa mtoto Felista ,Beatrice Shirima mara baada ya kukabidhi kiti cha walemavu cha magurudumu kwa ajili ya kusaidia kutoka eneo moja hadi jingine.Naibu kamanda wa UVCCM wilaya ya Moshi vijijini ,Innocent Melleck akikabidhi Pempers kwa mama wa mtoto Felista ,Beatrice Shirima kwa ajili ya kumsaidia mtoto huyo aliyepata ulemavu wa miguu miwli baada ya kugongwa na gari aina ya Fuso.(Na Dixon Busagaga).Naibu kamanda wa UVCCM wilaya ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani