Mtoto auawa kwa kukatwa kichwa
 Mtoto wa kike mwenye umri wa miaka sita, jina linahifadhiwa ameuawa kikatili kwa kujeruhiwa vibaya sehemu zake za siri baada ya kunajisiwa, kisha kukatwa kichwani na watu ambao bado hawajajulikana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi16 Mar
10 years ago
Mwananchi05 Jun
Ajitolea majaribio ya kukatwa kichwa ili abadilishiwe mwili
Duniani kuna mambo. Wakati watu wengi hawapendi kusikia taarifa za vifo au kufanya jambo lolote linaloweza kuwasababishia kifo, huko Urusi jamaa mmoja amewashangaza wengi baada ya kutangaza kuwa yuko tayari kufanyiwa majaribio ya kukatwa kichwa chake ili kuunganishwe kwenye mwili wa mtu mwingine.
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Bodaboda auawa, anyofolewa kichwa na sehemu za siri
Watu wasiofahamika wamemuua kwa kumchinja mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda, Hosam Abdallahaman (18) na kutoweka na kichwa chake, sehemu zake za siri na pikipiki.
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Mwendesha bodaboda auawa, anyofolewa kichwa na sehemu za siri
Watu wasiofahamika wamemuua kwa kumchinja mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda, Hosam Abdallahaman (18) na kutoweka na kichwa chake, sehemu zake za siri na pikipiki.
10 years ago
CloudsFM05 Feb
ASKARI AUAWA KWA PANGA AKIMUOKOA MTOTO HUKO DODOMA
Polisi mkoani Dodoma wanamsaka mkazi wa Chang’ombe Juu, Tisi Malya kwa kumuua askari polisi kwa kumcharanga mapanga wakati akijaribu kumuokoa mtoto wa miezi minane aliyekuwa anataka kuuawa na mtu huyo.
![](http://api.ning.com/files/nNOqzuU--h-uEEBiOCalhnYRgBH0LlRYVJFuDWxPNgk3gp33izCExG5EWgaHTacgCHhuC9AJRwR59EUpVN3MrFHeEQOMU8cB/POLISI.jpg?width=750)
![](http://api.ning.com/files/nNOqzuU--h-bigVeJA7VRywinS9lHXYfcsSpxe*IvX2GZifrXKzGL2ftt2iRO8ZqtC5WSTBW5KnJNZKBiJzmLnF*hW-Z49vY/POLISI1.jpg?width=750)
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-HHw7P_B8MaI/UsqT9p7-g8I/AAAAAAAFE-E/yM_qMszmEJY/s1600/1.jpg?width=640)
MTOTO AUAWA NA BABA YAKE KWA KUPIGWA NGUMI MKOANI MBEYA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya,SACP Ahmed Msangi. KATIKA TUKIO LA KWANZA:
MTOTO ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA VANESA PATRICK NJOJO (03) MKAZI WA ISISI, WILAYANI MBARALI ALIUAWA KWA KUPIGWA NGUMI NA BABA YAKE MZAZI AITWAYE PATRICK NJOJO (23) MKAZI WA ISISI. TUKIO HILO LIMETOKEA MNAMO TAREHE 26.04.2014 MAJIRA YA SAA 23:45 USIKU HUKO KATIKA KIJIJI CHA ISISI, KATA NA TARAFA YA RUJEWA, WILAYA YA MBARALI, MKOA WA MBEYA. INADAIWA KUWA...
10 years ago
Mwananchi13 Feb
Mtoto aliyenusurika kifo baada ya kukatwa kimeo
>“Mwanangu aitwaye Leri (si jina halisi) mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi mitatu. Siku ya pili baada ya kumpeleka kwa mkata vimeo maeneo ya Kariakoo, nilikuwa na matumaini atapona kikohozi kumbe nimemuongezea matatizo. Hali yake ni mbaya.
11 years ago
GPLMTOTO MWENYE UVIMBE WA AJABU KUKATWA MGUU LEO
Mtoto Hamis Liguya, 13, akiwa Hospitali ya Ganga, Combatore, Tamil Nadu nchini India. Stori: Imelda Mtema, India
HATIMAYE mtoto mwenye uvimbe wa ajabu, Hamis Liguya, 13, leo anatarajiwa kufanyiwa upasuaji kisha kukatwa mguu katika Hospitali ya Ganga, Combatore, Tamil Nadu nchini India. Hamis Liguya akiwa na madaktari. Hospitali hiyo ni maalum kwa ajili ya watu waliopata ajali na matatizo mbalimbali ya… ...
10 years ago
MichuziFamilia ya mtoto aliyegongwa na fuso na kukatwa miguu anaomba msaada wa kisheria
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania