Mtoto aliyenusurika kifo baada ya kukatwa kimeo
>“Mwanangu aitwaye Leri (si jina halisi) mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi mitatu. Siku ya pili baada ya kumpeleka kwa mkata vimeo maeneo ya Kariakoo, nilikuwa na matumaini atapona kikohozi kumbe nimemuongezea matatizo. Hali yake ni mbaya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili21 May
Amina ni Mtoto mchanga aliyenusurika baada ya kupigwa risasi mbili
Amina alikua ni mmoja wa manusura wenye umri mdogo zaidi katika wodi ya kujifungulia nchini Afghanstan.
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Mtoto aliyenusurika kimuujiza Sudan Kusini apata fahamu
Msichana wa umri wa miezi 14 aliyenusurika ajali ya ndege mjini Juba, Sudan Kusini Jumatano amepata fahamu, madaktari wamesema
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwJPaxQ43zv*u8PCj6Qv0Sj14YbEnHhBscx1s2s-t8v7Qnjl2wa47VkDcRr4RiDi4gJAjex5jW3U5gKhg5dhPS24/f.jpg?width=650)
MTOTO ALIYENUSURIKA KWA MKONO WA MUNGU! AJALI YA KONTENA MAFINGA
Na Mwandishi Wetu, Iringa
BADO Mji wa Mafinga wilayani Mufindi mkoani hapa haujakaa sawa kufuatia vifo vya watu 50 waliopoteza maisha kwa ajali ya kontena kudondokea Basi la Majinja lenye namba za usajili T 438 CED iliyotokea Machi 11, 2015, Uwazi limechimba. Mtoto aliyenusurika kwenye ajali. Ajali hiyo ilitokea maeneo ya Changarawe mjini Mafinga ambapo kontena hilo lilikuwa kwenye lori la mizigo la Scania lenye namba za...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykWcai-4ApDDfDt8G3RQmnY04TPdMEcrXS2sT9zPqzI9Bu793A8AU029NG*gGBZ0VIQmVbRzFG-JNoDACwytnp1c/Maajabu.jpg?width=650)
HAYA NDIYO MAAJABU YAKE MTOTO ALIYENUSURIKA KWA MKONO WA MUNGU
Na Haruni Sanchawa
MTOTO Jacqueline Lepenza, aliyenusurika katika ajali mbaya ya basi lililogongana na lori huko Mafinga mkoani Iringa wiki mbili zilizopita, ameripotiwa kuwa na maajabu baada ya baba yake mzazi kujitokeza na kusimulia, Uwazi linakutaarifu. Jacqueline Lepenza, akiwa na baba'ke. Willy Lupenza, baba mzazi wa mtoto huyo mwenye umri wa miaka mitatu na nusu, alisema marehemu mke wake, Anjela Osward (35) (pichani)...
10 years ago
Raia Mwema22 Jul
Mbeya wajikata baada ya Lowassa kukatwa
HATUA ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwaengua wanachama wake walioaminika kuteuliwa na chama hicho
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Mtoto auawa kwa kukatwa kichwa
 Mtoto wa kike mwenye umri wa miaka sita, jina linahifadhiwa ameuawa kikatili kwa kujeruhiwa vibaya sehemu zake za siri baada ya kunajisiwa, kisha kukatwa kichwani na watu ambao bado hawajajulikana.
11 years ago
GPLMTOTO MWENYE UVIMBE WA AJABU KUKATWA MGUU LEO
Mtoto Hamis Liguya, 13, akiwa Hospitali ya Ganga, Combatore, Tamil Nadu nchini India. Stori: Imelda Mtema, India
HATIMAYE mtoto mwenye uvimbe wa ajabu, Hamis Liguya, 13, leo anatarajiwa kufanyiwa upasuaji kisha kukatwa mguu katika Hospitali ya Ganga, Combatore, Tamil Nadu nchini India. Hamis Liguya akiwa na madaktari. Hospitali hiyo ni maalum kwa ajili ya watu waliopata ajali na matatizo mbalimbali ya… ...
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Juma Ali Khamis: Nimetelekezwa baada ya kukatwa miguu vitani
Mwanajeshi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Juma Ali Khamis aliyekatwa miguu katika vita vilivyolenga kumwondoa Idd Amini aliyeivamia Tanzania mwaka 1978, analalamikia maisha duni, huku akisema Serikali zote mbili yaani ya Tanzania na Zanzibar ni kama zimemtelekeza.
10 years ago
Vijimambo11 Jul
MATUMAINI YA WATANZANIA NDANI YA CCM BAADA YA MEMBE NA MAKAMBA KUSEMEKANA KUKATWA
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2783602/highRes/1058999/-/maxw/600/-/cqwrhoz/-/05-Magufuli.jpg)
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2783614/highRes/1059007/-/maxw/600/-/c4fxnfz/-/06-Migiro.jpg)
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2783596/highRes/1058994/-/maxw/600/-/7nt17oz/-/04-Salum+ali.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania