Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbeya wajikata baada ya Lowassa kukatwa

HATUA ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwaengua wanachama wake walioaminika kuteuliwa na chama hicho

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Makamba apongeza Lowassa kukatwa CCM

KATIBU Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Makamba, amepongeza chama hicho kwa kukata jina la Edward Lowassa, katika kundi la wawania urais wa chama hicho kwa kuwa hakuwa na sifa za kuwa Rais.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtoto aliyenusurika kifo baada ya kukatwa kimeo

>“Mwanangu aitwaye Leri (si jina halisi) mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi mitatu. Siku ya pili baada ya kumpeleka kwa mkata vimeo maeneo ya Kariakoo, nilikuwa na matumaini atapona kikohozi kumbe nimemuongezea matatizo. Hali yake ni mbaya.

 

10 years ago

GPL

LOWASSA: SINA HOFU KUKATWA JINA CCM

Waziri Mkuu Mstaafu na mtangaza nia ya kuwania urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono wana-CCM  na wananchi wa Mkoa wa Ruvuma. WAZIRI Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa amesema hana shaka na swala la kukatwa jina lake katika vikao vya Chama Cha Mapinduzi(CCM), kwani anaamini chama chao kitatenda haki kwa kurudisha jina lake kuwa mgombea urais wa Tanzania.… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Juma Ali Khamis: Nimetelekezwa baada ya kukatwa miguu vitani

Mwanajeshi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Juma Ali Khamis aliyekatwa miguu katika vita vilivyolenga kumwondoa Idd Amini aliyeivamia Tanzania mwaka 1978, analalamikia maisha duni, huku akisema Serikali zote mbili yaani ya Tanzania na Zanzibar ni kama zimemtelekeza.

 

10 years ago

Vijimambo

MATUMAINI YA WATANZANIA NDANI YA CCM BAADA YA MEMBE NA MAKAMBA KUSEMEKANA KUKATWA

John Pombe MagufuliAsha-Rose MigiroBalozi Amina Salum Ali 

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa azungumza kwa ufupi na waandishi wa habari kuhusu jina lake kukatwa

Lowassa azungumza kwa ufupi na waandishi wa habari kuhusu jina lake kukatwa

 

10 years ago

Vijimambo

Baada ya Jina Lake Kukatwa, Haya Ndiyo Yanayomsumbua Edward Lowasa Mpaka Anashindwa Kula


Nimepata taarifa kutoka kwa watu walio karibu na Lowasa kuwa tangu juzi chakula hakijapanda kwa mzee. Kwamba kila akiwekewa chakula mezani, anachokonoa kidogo tu na inachukua muda mrefu kati ya tonge moja hadi jingine. Pia mdau huyo kanidokeza kuwa Mzee Lowasa kwa sasa ana mawazo mengi sana na hajui afanye nini. Wapo waliomshauri kuwa akae kimya katika kipindi hiki kigumu ili apate muda wa kutosha kutafakari na kufanya maamuzi. Hata hivyo, ushauri huo ameutupa kwani anahisi kwamba muda...

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA AZUA SINTOFAHAMU BAADA YA KUSEMA CCM OYEE KWENYE MKUTANO WA UKAWA MSINDAI NAE NI KAMA LOWASSA JITIRIRIKIE MWENYEWE

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (kulia) akimkabidhi kadi ya uanachama wa chama hicho aliyekuwa Mwenyekiti wa wenyeviti wa CCM, Mgana Msindai baada ya kujiunga na Chadema hivi karibuni. Kushoto ni Mbunge wa zamani wa Jimbo la Segerea, Makongoro Mahanga. Picha ya Maktaba
Tabora/Manyoni/Dar. Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa jana alizua sintofahamu baada ya kusema; “CCM oyee”, kauli iliyowafanya wananchi hao kukaa...

 

9 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani