MATUMAINI YA WATANZANIA NDANI YA CCM BAADA YA MEMBE NA MAKAMBA KUSEMEKANA KUKATWA
John Pombe Magufuli
Asha-Rose Migiro
Balozi Amina Salum Ali
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo07 Sep
Makamba apongeza Lowassa kukatwa CCM
KATIBU Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Makamba, amepongeza chama hicho kwa kukata jina la Edward Lowassa, katika kundi la wawania urais wa chama hicho kwa kuwa hakuwa na sifa za kuwa Rais.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-GM0U-Fq-kHY/XlkM8IW0lJI/AAAAAAACH8Y/2yl5WskW6Ok62Ww5O31cpn6jN-bIkOtOgCLcBGAsYHQ/s72-c/kinana%2Bmembe%2Bmakamba.jpg)
CCM YAMVUA UANACHAMA MEMBE, KINANA YAMPA KARIPIO, YAMSAMEHE MZEE MAKAMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GM0U-Fq-kHY/XlkM8IW0lJI/AAAAAAACH8Y/2yl5WskW6Ok62Ww5O31cpn6jN-bIkOtOgCLcBGAsYHQ/s320/kinana%2Bmembe%2Bmakamba.jpg)
NA BASHIR NKOROMO, Dar es Salaam
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemvua uanachama Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje Bernard Membe huku Katibu Mkuu mstaafu Abdulrahman Kinana akipewa karipio na kutakiwa kutogombea nafasi yoyote ndani ya chama kwa miezi 18 na Katibu Mkuu mwingine mstaafu Yusuf Makamba akisamehewa.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wdLXfrsULNw/VaC5nOnPysI/AAAAAAAHomM/-FUoRHWQLdg/s72-c/MMGL0620.jpg)
UPDATES KUTOKA DODOMA ASUBIHI HII: TANO BORA YA WAGOMBEA URAIS WA CCM NI MEMBE, MAGUFULI, MIGIRO,MAKAMBA NA BALOZI AMINA SALUM
![](http://3.bp.blogspot.com/-wdLXfrsULNw/VaC5nOnPysI/AAAAAAAHomM/-FUoRHWQLdg/s640/MMGL0620.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
January Makamba ashinda Uchaguzi wa ndani ya CCM na kuwa Mgombea wa Ubunge Bumbuli
Mh January amepewa tena ridhaa ya kuendelea kugombea Jimbo la Bumbuli na wana CCM katika uchaguzi uliofanyika ndani ya chama na Kuibuka kinara kwa kura nyingi na zakishindo dhidi ya wagombea wenzake.
Hivi Ndivyo Matokeo yalivyokuwa…..
11 years ago
Michuzi18 Feb
5 years ago
CCM BlogKAMATI KUU YA CCM YAIPA SIKU SABA KAMATI NDOGO YA UDHIBITI NA NIDHAMU KUKAMILISHA NA KUWASILISHA KWENYE VIKAO HUSIKA TAARIFA ZA KINA KINANA, MAKAMBA NA MEMBE
Na Bashir Nkoromo, Dar es Salaam
Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kenya: Raia alichapwa viboko na raia wa China baada ya kusemekana alichelewa kazini
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qoeOzzM8-yU/Vc2NzCb90pI/AAAAAAAAzWI/IHXcUl_bo98/s72-c/benard%2Bmembe.jpg)
Benard Membe Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Baada ya Kuanguka Mbio za Urais- CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-qoeOzzM8-yU/Vc2NzCb90pI/AAAAAAAAzWI/IHXcUl_bo98/s640/benard%2Bmembe.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amefunguka kwa mara ya kwanza na kuweka wazi kilichotokea mjini Dodoma na kusababisha ashindwe katika uteuzi wa kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Membe amekuwa kada wa tatu kueleza hadharani jinsi uteuzi huo ulivyoendeshwa ambao Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, aliibuka kidedea kati ya makada 42 waliojitokeza kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa.Makada wengine waliojitokeza hadharani kuelezea mchakato huo ni...