CCM YAMVUA UANACHAMA MEMBE, KINANA YAMPA KARIPIO, YAMSAMEHE MZEE MAKAMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GM0U-Fq-kHY/XlkM8IW0lJI/AAAAAAACH8Y/2yl5WskW6Ok62Ww5O31cpn6jN-bIkOtOgCLcBGAsYHQ/s72-c/kinana%2Bmembe%2Bmakamba.jpg)
<<Kutoka kushoto ni Waziri wa zamani Bernard Membe, Katibu Mkuu mstaafu wa CCM Yusuf Makamba na Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana,
NA BASHIR NKOROMO, Dar es Salaam
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemvua uanachama Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje Bernard Membe huku Katibu Mkuu mstaafu Abdulrahman Kinana akipewa karipio na kutakiwa kutogombea nafasi yoyote ndani ya chama kwa miezi 18 na Katibu Mkuu mwingine mstaafu Yusuf Makamba akisamehewa.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogKAMATI KUU YA CCM YAIPA SIKU SABA KAMATI NDOGO YA UDHIBITI NA NIDHAMU KUKAMILISHA NA KUWASILISHA KWENYE VIKAO HUSIKA TAARIFA ZA KINA KINANA, MAKAMBA NA MEMBE
Na Bashir Nkoromo, Dar es Salaam
Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
10 years ago
Vijimambo11 Jul
MATUMAINI YA WATANZANIA NDANI YA CCM BAADA YA MEMBE NA MAKAMBA KUSEMEKANA KUKATWA
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2783602/highRes/1058999/-/maxw/600/-/cqwrhoz/-/05-Magufuli.jpg)
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2783614/highRes/1059007/-/maxw/600/-/c4fxnfz/-/06-Migiro.jpg)
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2783596/highRes/1058994/-/maxw/600/-/7nt17oz/-/04-Salum+ali.jpg)
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Makada waandamizi Makamba, Kinana ‘waitikia wito’ licha ya uvumi wa kuikacha CCM
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wdLXfrsULNw/VaC5nOnPysI/AAAAAAAHomM/-FUoRHWQLdg/s72-c/MMGL0620.jpg)
UPDATES KUTOKA DODOMA ASUBIHI HII: TANO BORA YA WAGOMBEA URAIS WA CCM NI MEMBE, MAGUFULI, MIGIRO,MAKAMBA NA BALOZI AMINA SALUM
![](http://3.bp.blogspot.com/-wdLXfrsULNw/VaC5nOnPysI/AAAAAAAHomM/-FUoRHWQLdg/s640/MMGL0620.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7k3VMaPNbtM/XoYAKvDS_UI/AAAAAAAC83g/0n-2APXAuTcrm34dPc5wOUQYqSVWBwOnQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
CCM IKUNGI CHATOA KARIPIO KWA WANAOJIPITISHA PITISHA KUTOA RUSHWA ILI WACHAGULIWE
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida
kimekamilisha zoezi la kutoa mafunzo kwa viongozi wa serikali za
vijiji,mitaa na vitongoji waliochaguliwa katika uchaguzi wa serikali
za mitaa na kutoa karipio kali kwa baadhi ya watu wanaotarajia
kugombea nafasi mbali mbali za uongozi kwenye uchaguzi mkuu ujao
walioanza kujipitisha pitisha na kutoa rushwa kwamba majina yao
hayatasita kukatwa.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Ikungi,Bwana...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mv-xGMUXdvo/VQ_lPt-fHdI/AAAAAAAHMW8/34jsuPt4kao/s72-c/_MG_4687.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AMJULIA HALI MZEE ISRAELI NAWINGA KIJIJINI KWAKE MASAMA LOSAA WILAYANI HAI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-mv-xGMUXdvo/VQ_lPt-fHdI/AAAAAAAHMW8/34jsuPt4kao/s1600/_MG_4687.jpg)
9 years ago
Raia Tanzania07 Sep
Mzee Makamba asema mgombea Ukawa fisadi
KATIBU Mkuu wa zamani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yussuf Makamba, amesema mgombea urais kwa tiketi ya Chadema kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ni fisadi, mwongo na hakerwi na umasikini wa Watanzania.
Amemtaka kujitokeza hadharani kukanusha kwamba yeye si fisadi na kwamba, alitaka kuondoka CCM mwaka 1995 na alimwandikia barua kueleza hayo.
Makamba alisema hayo jana, kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro, alipohutubia mkutano wa hadhara wa kampeni wa mgombea urais wa...
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-YJ-CvBYuNjY/Ut7lV0_ScxI/AAAAAAAALao/WusFQQkLstU/s1600/3.jpg)
MAMIA WASHIRIKI MAZISHI YA MAMA WA MZEE MAKAMBA